Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uzembe kama huu Mv Victoria usirudiwe

Jana katika gazeti hili tulichapisha habari iliyokuwa ikielezea watumiaji wanaotegemea meli ya Mv Victoria, Jumatano walipata adha ya usafiri baada ya kusitishwa kwa safari ya kuelekea Mwanza, hatua iliyochukuliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) kwamba ilitoroshwa bila kukaguliwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TFF iwajibike kwa uzembe huu wa U-23

Juzi, gazeti hili liliandika habari ya kusikitisha iliyohusu timu ya Taifa ya Vijana, chini ya umri wa miaka 23 ‘Ngorongoro Heroes’ kuondolewa kwenye mchakato wa kufuzu kushiriki michezo ya Olimpiki mwakani mjini Rio de Janeiro, Brazil.

 

10 years ago

GPL

KWA UZEMBE HUU AJALI ZITAKWISHA KWELI?

DEREVA wa basi la Abood linalofanya safari zake Dar-Moro akijaribu kuyapita magari manne akiwa mwendo kasi katika maeneo ya Kibamba - Darajani jijini Dar leo huku mbele yake likija lori kwa kasi. Ili kuepusha ajali hiyo, ilibidi madereva wa magari yaliyokuwa mbele waingie pembezoni mwa barabara ili kulinusuru basi hilo lisigongane uso kwa uso na lori. Je, kwa hali hii ni kweli ajali zitakwisha nchini? (Picha na Global Whatsapp...

 

9 years ago

Bongo5

Victoria Kimani adai hapewi support na mashabiki wa nyumbani Kenya kama anayoipata Nigeria ambako sio kwao

Kwa mara nyingine tena mwimbaji wa Kenya, Victoria Kimani amezungumzia swala la kukosa support ya kutosha nyumbani Kenya, tofauti na anavyopata Nigeria ambako ameishi kwa muda mrefu licha ya kuwa si kwao. Kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika ujumbe huu mrefu; “I could choose to highlight all the negativity I get from my Fellow Kenyans […]

 

11 years ago

Mwananchi

Ulaji fedha za ‘Tokomeza Ujangili’ usirudiwe

Tunaipongeza jumuiya ya kimataifa kwa kuungana na Tanzania katika vita yake dhidi ya ujangili ambao umewaangamiza wanyamapori, wakiwamo tembo kwa kiasi kikubwa.

 

9 years ago

Bongo Movies

Lulu: Napenda Kuangalia ‘Utumbo’ Wangu Kama Huu

Nime Mute hii Video kwa Sababu Maalum Mara nyingi Huwa napenda kuangalia utumbo wangu Kama huu nikiona kuna watu wanajifanya wamevurugwaaa unavurugwa Leo 2015 kweli!?

Watu tulishakuwa machizi yani mpk milembe tuna Gate pass ya bure, sema inafika pahala unajitambua na unaona hakuna faida ya kubaki ulipowahi kuwa...sasa mnavyojifanya mmevurugwa sio kama hatuwaoni...tunawaona sana sema tunaamua kuwa wajinga coz tumeshatoka huko mlipo..!
Between....huyo hairstyle lazima ni ya mchepuko wa Baba...

 

10 years ago

GPL

JOHARI, CHUCHU HUU KAMA SIYO USHAMBA NI NINI?

NINAMFAHAMU Blandina Changula maarufu kama Johari, tokea akiwa underground wa maigizo katika kikundi cha Kaole, kabla hajapata jina linalomfanya kuwa mmoja wa wakongwe katika filamu Tanzania. Wakati ule akichipukia, alikuwa mmoja kati ya chipukizi waliokuwa wanaonyesha wazi kwamba watakuja kuwa waigizaji wazuri. Anapatia sehemu nyingi katika sanaa, lakini utampenda zaidi Johari akiigiza sehemu inayohitaji majonzi, au mtu...

 

10 years ago

Michuzi

JIHADHARI NA UJUMBE KAMA HUU, UKIUFUATA AKAUNTI YAKO INASOMBWA...



Dear Valued USER,

We received your instruction to terminate your Google accountYou need to confirm you made this request or we will continue with the requestIf you think it is an error, take action immediately to stop this process.CANCEL REQUEST 

Thank You,
Google Account Team.

 

10 years ago

Vijimambo

Wawabeba Watalii Mabegani,Kama Watumwa Walivyobeba Mabwana,Huu ni Utalii au Utumwa

Nimeangalia sana picha hapo chini,sikuelewa,ni Utalii wa aina gani huu, kweli tunahitaji pesa lakini ndio kwa namba hii? hapana,tukiendekeza hela tutaenzi hata utumwa wa kikoloni.tazama mwenyewe labda utakuwa na mtazamo tofauti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani