Wawabeba Watalii Mabegani,Kama Watumwa Walivyobeba Mabwana,Huu ni Utalii au Utumwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-xf_jHa_Wu3w/VPASGW_tbVI/AAAAAAAAB-g/ary4UCa7fEo/s72-c/1.jpg)
Nimeangalia sana picha hapo chini,sikuelewa,ni Utalii wa aina gani huu, kweli tunahitaji pesa lakini ndio kwa namba hii? hapana,tukiendekeza hela tutaenzi hata utumwa wa kikoloni.tazama mwenyewe labda utakuwa na mtazamo tofauti.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z1ChDE7q0Ng/XsUsYFKuNrI/AAAAAAALq-g/1eItV6A-l3YYDFupJ_UQVlAF7unWowv0wCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-4-768x468.jpg)
BODI YA UTALII TANZANIA: TUPO TAYARI KUANZA KUPOKEA WATALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-z1ChDE7q0Ng/XsUsYFKuNrI/AAAAAAALq-g/1eItV6A-l3YYDFupJ_UQVlAF7unWowv0wCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-4-768x468.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-3-3-1024x643.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii (TTB), Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akifafanua jambo katika Mkutano wake na waandishi wa habari hawapo pichani Jijini Dar es Salaam, kuhusu kurejeshwa kwa huduma za utalii nchini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-4-3-1024x756.jpg)
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-inETHZcs_KU/XuhZfZ42ySI/AAAAAAALt-g/07fmVuCThTIIDEvb6JeAUxEtEjXLncNzgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200615-WA0289.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAJIPANGA KUTOA USHIRIKIANO KWA WAONGOZA UTALII WAKATI HUU WA CORONA
Jeshi la polisi Mkoa wa Arusha,limejipanga kutoa ushirikiano kwa waongoza utalii mkoani hapa katika kipindi hiki ambacho wanatarajia kuanza kupokea watalii kwa vingi baada ya ugonjwa wa Corona kupungua kwa kiasi kikubwa hapa nchini.
Akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku sita ya wadau wa utalii yaliyoandaliwa na chama cha waongoza utalii Tanzania (TSG)jijini hapa,Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha,Jonathan Shanna alisema kuwa jeshi hilo lipo imara kuimarisha ulinzi...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Uzembe kama huu Mv Victoria usirudiwe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s72-c/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MWONGOZO WA TAIFA WAUENDESHAJI WA SHUGHULI ZA UTALII NCHINI TANZANIA WAKATI HUU WA JANGA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZG6ooWFLmPg/XuG5FRWdPbI/AAAAAAAEHlQ/BggLxGJ34PseOVBUqjAZ5ieGSfMCrpTtACLcBGAsYHQ/s640/Uzinduzi%2B-%2B1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0af0099e-3e4f-4770-b66e-79678b3f934b.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0bXxbr1AOPU/Vl2T62GAcbI/AAAAAAAIJgs/L9Pq26OuIt8/s72-c/IMG_1541%2B2%2B%2528Medium%2529.jpg)
MKUTANO WA KUKUZA SEKTA YA UKARIMU NA UTALII HUFANYIKA KWA MARA YA PILI JIJINI DAR DISEMBA 7 NA 8 MWAKA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-0bXxbr1AOPU/Vl2T62GAcbI/AAAAAAAIJgs/L9Pq26OuIt8/s640/IMG_1541%2B2%2B%2528Medium%2529.jpg)
Mkutano huu unahusu sekta ya ukarimu na utalii, Katika jukwaa hilo litategemea kuzungumzia ujumbe juu ya ukarimu kwa wadau wa sekta ya utalii wakiwemo wawekezaji, wamiliki wahoteli, kampuni za usimamizi, bidhaa, mashirika ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali, wasambazaji na...
9 years ago
Bongo Movies30 Sep
Lulu: Napenda Kuangalia ‘Utumbo’ Wangu Kama Huu
Nime Mute hii Video kwa Sababu Maalum Mara nyingi Huwa napenda kuangalia utumbo wangu Kama huu nikiona kuna watu wanajifanya wamevurugwaaa unavurugwa Leo 2015 kweli!?
Watu tulishakuwa machizi yani mpk milembe tuna Gate pass ya bure, sema inafika pahala unajitambua na unaona hakuna faida ya kubaki ulipowahi kuwa...sasa mnavyojifanya mmevurugwa sio kama hatuwaoni...tunawaona sana sema tunaamua kuwa wajinga coz tumeshatoka huko mlipo..!
Between....huyo hairstyle lazima ni ya mchepuko wa Baba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH3yt-bwxjSjM*1MQyjWrRhOZa6C3jW1UVtFmUa9SV6WGnjwxFWZyWF1ETRjwmZAAjpw2k*reDMTA97bybvahBU5/MAMAWEMA.jpg?width=650)
JOHARI, CHUCHU HUU KAMA SIYO USHAMBA NI NINI?
10 years ago
Mwananchi12 May
Wakipingao Kiswahili ni watumwa