BODI YA UTALII TANZANIA: TUPO TAYARI KUANZA KUPOKEA WATALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-z1ChDE7q0Ng/XsUsYFKuNrI/AAAAAAALq-g/1eItV6A-l3YYDFupJ_UQVlAF7unWowv0wCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-4-768x468.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii (TTB), Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani Jijini Dar es Salaam, kuhusu kurejeshwa kwa huduma za utalii nchini, kushoto ni Mkurugenzi Mwendeshaji wa TTB, Bi. Devota Madachi.
Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii (TTB), Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akifafanua jambo katika Mkutano wake na waandishi wa habari hawapo pichani Jijini Dar es Salaam, kuhusu kurejeshwa kwa huduma za utalii nchini.
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-l8AJB6FUh6M/XtPo-eJITGI/AAAAAAAC6eU/qr7p9ky7v4YWWMxp-T1-lz2KrGj_udafwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WATALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-l8AJB6FUh6M/XtPo-eJITGI/AAAAAAAC6eU/qr7p9ky7v4YWWMxp-T1-lz2KrGj_udafwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo leo katika ziara iliyomjumuisha Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ikiwa na lengo la kukagua utayari wa nchi katika kudhibiti ugonjwa wa Corona katika uwanja wa ndege wa KIA na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9xjqquX0b9o/XtO-_KcHZoI/AAAAAAALsJA/C714scfKueEL-hkmEHMxrcwxr11NV8cpQCLcBGAsYHQ/s72-c/1d32d7cb-a6b7-47c1-ad8f-0f97662760b2.jpg)
TANZANIA IPO TAYARI KUPOKEA WATALII - DKT. KIGWANGALLA
Na WAMJW- Kilimanjaro
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ameweka wazi kuwa, Tanzania ipo tayari kupokea wageni kutoka sehemu yoyote Dunia kwa ajili ya utalii, kufuatia kuimarisha mifumo ya tahadhari zote za kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
Dkt. Kigwangalla ameyasema hayo leo katika ziara iliyomjumuisha Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ikiwa na lengo la kukagua utayari wa nchi katika kudhibiti ugonjwa wa Corona katika uwanja wa ndege wa KIA na...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Tupo tayari kupokea Katiba inayoburushwa?
SWALI la msingi na lenye maana kwa kipindi hiki, ni kujiuliza kama tunaamini kuwa mchakato wa Katiba unakwenda vizuri, na hakuna tatizo, Je Watanzania wameulizwa kama wapo tayari kuipokea Katiba...
10 years ago
Vijimambo08 Dec
BODI YA UTALII TANZANIA (TTB) TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA SUNDERLAND (SAFC) ZATANGAZA UTALII WA TANZANIA UINGEREZA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/110.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) zatangaza utalii wa Tanzania Uingereza
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kallaghe na Garry Hutchinson Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya mpira ya Sunderland wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za timu hiyo wakati wa uzinduzi rasmi wa matangazo ya Utalii wa Tanzania yanayotangazwa katika uwanja wa timu hiyo kutoka kulia ni Meneja wa Masoko wa Bodi ya Utalii Bw. Geofrey Meena, Teddy Mapunda mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya (TTB) na kutoka kushoto ni Mdau wa Utalii Bw. Nestor Mapunda na Kaimu Mkurugenzi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ycuUS5p9Qkc/XvPlb7TzWLI/AAAAAAAAdgY/McR-yTw7U6sert6YyNc1FwilvgCgX9Q9QCLcBGAsYHQ/s72-c/Sweden%2B-%2B1.jpg)
WAZIRI KIGWANGALLA ATETA NA MABALOZI MBALIMBALI JUU UTAYARI WA TANZANIA KUPOKEA WATALII
![Sweden%2B-%2B1 Sweden%2B-%2B1](https://1.bp.blogspot.com/-ycuUS5p9Qkc/XvPlb7TzWLI/AAAAAAAAdgY/McR-yTw7U6sert6YyNc1FwilvgCgX9Q9QCLcBGAsYHQ/s400/Sweden%2B-%2B1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KZ4AL469p0U/XvN9LCYzo8I/AAAAAAALvSI/HIKOKHnSoaArPTYI0RoV6dzb3oIC8KWSACLcBGAsYHQ/s72-c/c7cc93d4-7171-4288-bfd1-6bd8ac1890da.jpg)
WAZIRI KIGWANGALLA ATETA NA MABALOZI WA NCHI MBALIMBALI KUHUSU UTAYARI WA TANZANIA KUPOKEA WATALII.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZ4AL469p0U/XvN9LCYzo8I/AAAAAAALvSI/HIKOKHnSoaArPTYI0RoV6dzb3oIC8KWSACLcBGAsYHQ/s640/c7cc93d4-7171-4288-bfd1-6bd8ac1890da.jpg)
Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Ulf Kallstig akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) leo jijini Dar es salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/f6e869ab-4b74-402f-af98-e06beea37b45.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/94650104-25ea-4f44-a6b5-13c0aefb0a60.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6dfb5317-2731-4406-b729-8655296cd699.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii...
10 years ago
Mtanzania02 Dec
Ikulu: Tupo tayari
Fredy Azzah na Esther Mbussi, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya Bunge kuhitimisha mjadala wa uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kupitisha maazimio nane ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha watendaji na wanasiasa waliohusika, Ikulu imesema itayafanyia kazi maazimio hayo kwa uzito mkubwa.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipozungumza na MTANZANIA juu ya hatua iliyofikiwa katika kutekeleza maazimio yaliyofikiwa na Bunge.
Balozi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7Km8K8v4UKA/VIGAm5UymWI/AAAAAAAG1YI/wahKwZBS3FE/s72-c/unnamed.jpg)
Tupo tayari kwa Uhurumarathon 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-7Km8K8v4UKA/VIGAm5UymWI/AAAAAAAG1YI/wahKwZBS3FE/s1600/unnamed.jpg)
MAANDALIZI ya mbio za Uhuru, Uhuru Marathon, zinazotarajiwa kufanyika Desemba 7 (jumapili) jijini Dar es Salaam yamekamilika, huku wanaridha kadhaa kutoka ndani na nje ya...