Tupo tayari kwa Uhurumarathon 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-7Km8K8v4UKA/VIGAm5UymWI/AAAAAAAG1YI/wahKwZBS3FE/s72-c/unnamed.jpg)
Mratibu wa Uhurumarathon Tanzania Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya kukamilika kwa maandalizi yam bio hizo zinazotarajiwa kufanyika jumapili hii jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Leders Club kushoto ni katibu mkuu wa shirikisho la Riadha la Taifa Selemani Nyambui.
MAANDALIZI ya mbio za Uhuru, Uhuru Marathon, zinazotarajiwa kufanyika Desemba 7 (jumapili) jijini Dar es Salaam yamekamilika, huku wanaridha kadhaa kutoka ndani na nje ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Dec
Ikulu: Tupo tayari
Fredy Azzah na Esther Mbussi, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya Bunge kuhitimisha mjadala wa uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kupitisha maazimio nane ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha watendaji na wanasiasa waliohusika, Ikulu imesema itayafanyia kazi maazimio hayo kwa uzito mkubwa.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipozungumza na MTANZANIA juu ya hatua iliyofikiwa katika kutekeleza maazimio yaliyofikiwa na Bunge.
Balozi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzUuf2fgrkEdPvvglHGRdHTW4HIO4V7hcD3UQNOtgwB8JVLQwAyGZxL3BoDJ6O8NIqKkaYneTRutWMz*yI6iiqrd/1MARTNOOIJ2.jpg?width=650)
TUPO TAYARI KUIKABILI ZIMBABWE- NOOIJ
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Tupo tayari kupokea Katiba inayoburushwa?
SWALI la msingi na lenye maana kwa kipindi hiki, ni kujiuliza kama tunaamini kuwa mchakato wa Katiba unakwenda vizuri, na hakuna tatizo, Je Watanzania wameulizwa kama wapo tayari kuipokea Katiba...
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Mwansasu: Tupo tayari dhidi ya Misri
11 years ago
GPLNAVY KENZO: TUPO TAYARI KUKINUKISHA TAIFA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z1ChDE7q0Ng/XsUsYFKuNrI/AAAAAAALq-g/1eItV6A-l3YYDFupJ_UQVlAF7unWowv0wCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-4-768x468.jpg)
BODI YA UTALII TANZANIA: TUPO TAYARI KUANZA KUPOKEA WATALII
![](https://1.bp.blogspot.com/-z1ChDE7q0Ng/XsUsYFKuNrI/AAAAAAALq-g/1eItV6A-l3YYDFupJ_UQVlAF7unWowv0wCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-4-768x468.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-3-3-1024x643.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii (TTB), Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akifafanua jambo katika Mkutano wake na waandishi wa habari hawapo pichani Jijini Dar es Salaam, kuhusu kurejeshwa kwa huduma za utalii nchini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-4-3-1024x756.jpg)
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii...
10 years ago
Michuzi12 Nov
ZAIDI YA WANARIADHA ELFU KUMI NA TANO KUSHIRIKI UHURUMARATHON 2014
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mratibu wa mbio hizo, Innocent Melleck, alisema kuwa maandalizi yako katika hatua za mwisho huku akimtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, anatarajiwa kuongoa mbio hizo.
Melleck pia alikabidhi ada ya Sh. Milioni mbili...
11 years ago
Michuzi15 Aug
WASANII WATUA BUKOBA TAYARI KWA UFUNGUZI WA FIESTA 2014 LEO UWANJA WA KAITABA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10