TUPO TAYARI KUIKABILI ZIMBABWE- NOOIJ
Kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij. KOCHA wa Taifa Stars, Mart Nooij amesema wachezaji wake wako tayari kwa ajili ya mechi ya Kombe la Afrika dhidi ya Zimbabwe (Mighty Warriors) itakayochezwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo (Mei 16 mwaka huu), Nooij amesema kabla ya kuja Tanzania alikuwa akifuatilia Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), hivyo anawafahamu wachezaji...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Dec
Ikulu: Tupo tayari
Fredy Azzah na Esther Mbussi, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya Bunge kuhitimisha mjadala wa uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kupitisha maazimio nane ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha watendaji na wanasiasa waliohusika, Ikulu imesema itayafanyia kazi maazimio hayo kwa uzito mkubwa.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipozungumza na MTANZANIA juu ya hatua iliyofikiwa katika kutekeleza maazimio yaliyofikiwa na Bunge.
Balozi...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Tupo tayari kupokea Katiba inayoburushwa?
SWALI la msingi na lenye maana kwa kipindi hiki, ni kujiuliza kama tunaamini kuwa mchakato wa Katiba unakwenda vizuri, na hakuna tatizo, Je Watanzania wameulizwa kama wapo tayari kuipokea Katiba...
10 years ago
MichuziTupo tayari kwa Uhurumarathon 2014
Mratibu wa Uhurumarathon Tanzania Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya kukamilika kwa maandalizi yam bio hizo zinazotarajiwa kufanyika jumapili hii jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Leders Club kushoto ni katibu mkuu wa shirikisho la Riadha la Taifa Selemani Nyambui.
MAANDALIZI ya mbio za Uhuru, Uhuru Marathon, zinazotarajiwa kufanyika Desemba 7 (jumapili) jijini Dar es Salaam yamekamilika, huku wanaridha kadhaa kutoka ndani na nje ya...
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Mwansasu: Tupo tayari dhidi ya Misri
11 years ago
GPLNAVY KENZO: TUPO TAYARI KUKINUKISHA TAIFA
5 years ago
MichuziBODI YA UTALII TANZANIA: TUPO TAYARI KUANZA KUPOKEA WATALII
Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii (TTB), Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akifafanua jambo katika Mkutano wake na waandishi wa habari hawapo pichani Jijini Dar es Salaam, kuhusu kurejeshwa kwa huduma za utalii nchini.
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii...
11 years ago
Michuzi26 Feb
SHEPOLOPPOLO KUTUA NCHINI KESHO TAYARI KUIKABILI TWIGA STARS KESHOKUTWA
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe awasili Arusha tayari kwa kufungua mkutano wa vijana viongozi wa China na Afrika Ngurudoto
Rais wa Zimbabwe Mh. Robert Mugabe akishuka kwenye Ndege wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro International Airport (KIA) tayari kwa kufungua mkutano wa Vijana Viongozi wa Afrika na China (African- China Young Leaders Forum) unaofanyika kwenye hoteli ya Ngurudoto Mkoani Arusha kwa siku 4 ukijumuisha vijana kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika na China, Mzee Robert Mugabe amepokelewa na Makamu wa Rais Mh. Dr. Gharib Bilal kulia na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu...
10 years ago
Africanjam.Com