Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DOWNLOAD: TUPO PAMOJA - MKOLONI

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

China: Rafiki wa Afrika au mkoloni mpya?

Siku chache zilizopita, kulikuwa na mkutano kati ya China na nchi za Afrika ujulikanao kama Forum on Africa China Coo-peration uliofanyika jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini.     

 

10 years ago

Mwananchi

Umanamba huu ni tangu enzi za mkoloni utaisha lini?

Historia inaonyesha kwamba enzi za utawala wa kikiloni chini ya Mjerumani na hata Mwingereza baadhi ya watu wa Kigoma walichukuliwa na kupelekwa katika mikoa ya Morogoro, Pwani na Tanga kufanya kazi ya kulima mashamba ya Mkonge.

 

10 years ago

Mwananchi

Umanamba huu wa tangu enzi za mkoloni utaisha lini?

Mkoa wa Kigoma upo magharibi ya Tanzania. Wakazi wake wanajishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula na biashara, zaidi ikiwa zao la Kahawa linalostawi kwa wingi katika eneo zima la Manyovu.

 

10 years ago

Mtanzania

Ikulu: Tupo tayari

mtanzaniaFredy Azzah na Esther Mbussi, Dar es Salaam

SIKU chache baada ya Bunge kuhitimisha mjadala wa uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kupitisha maazimio nane ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha watendaji na wanasiasa waliohusika, Ikulu imesema itayafanyia kazi maazimio hayo kwa uzito mkubwa.

Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipozungumza na MTANZANIA juu ya hatua iliyofikiwa katika kutekeleza maazimio yaliyofikiwa na Bunge.

Balozi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwansasu: Tupo tayari dhidi ya Misri

Fainali za Afrika za soka la ufukweni zitakazofanyika visiwa vya Shelisheli mwezi Aprili mwaka huu,Tanzania yategemea ushindi .

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tupo tayari kupokea Katiba inayoburushwa?

SWALI la msingi na lenye maana kwa kipindi hiki, ni kujiuliza kama tunaamini kuwa mchakato wa Katiba unakwenda vizuri, na hakuna tatizo, Je Watanzania wameulizwa kama wapo tayari kuipokea Katiba...

 

10 years ago

Michuzi

Tupo tayari kwa Uhurumarathon 2014


 Mratibu wa Uhurumarathon Tanzania Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya kukamilika kwa maandalizi yam bio hizo zinazotarajiwa kufanyika jumapili hii jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Leders Club kushoto ni katibu mkuu wa shirikisho la Riadha la Taifa Selemani Nyambui.
MAANDALIZI ya mbio za Uhuru, Uhuru Marathon, zinazotarajiwa kufanyika Desemba 7  (jumapili) jijini Dar es Salaam yamekamilika, huku wanaridha kadhaa kutoka ndani na nje ya...

 

11 years ago

GPL

TUPO TAYARI KUIKABILI ZIMBABWE- NOOIJ

Kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij. KOCHA wa Taifa Stars, Mart Nooij amesema wachezaji wake wako tayari kwa ajili ya mechi ya Kombe la Afrika dhidi ya Zimbabwe (Mighty Warriors) itakayochezwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo (Mei 16 mwaka huu), Nooij amesema kabla ya kuja Tanzania alikuwa akifuatilia Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), hivyo anawafahamu wachezaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani