Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umanamba huu ni tangu enzi za mkoloni utaisha lini?

Historia inaonyesha kwamba enzi za utawala wa kikiloni chini ya Mjerumani na hata Mwingereza baadhi ya watu wa Kigoma walichukuliwa na kupelekwa katika mikoa ya Morogoro, Pwani na Tanga kufanya kazi ya kulima mashamba ya Mkonge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Umanamba huu wa tangu enzi za mkoloni utaisha lini?

Mkoa wa Kigoma upo magharibi ya Tanzania. Wakazi wake wanajishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula na biashara, zaidi ikiwa zao la Kahawa linalostawi kwa wingi katika eneo zima la Manyovu.

 

10 years ago

Mwananchi

Tangu lini wananchi tukawa na urafiki na wanasiasa?

Katika nchi zenye watu makini, pamoja na ushabiki au ufurukutwa wa vyama, chama kikija na sera dhaifu wanachama hawakipigii kura.

 

10 years ago

Mwananchi

Tangu lini kura iliyopigwa jana ikarudiwa kesho yake?

Wiki iliyopita Bunge la Katiba lilipitisha Katiba waliyoipendekeza, badala ya ile ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Joseph Warioba na kuwashawishi Watanzania waipigie kura ya ndiyo.

 

9 years ago

Global Publishers

Kumbe Aliens wamekuwepo enzi na enzi!

AliensILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita tuliona ni kwa jinsi gani hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens walivyo na tabia zinazoaminika ni za majini japokuwa wana utofauti kidogo. Tuliona kuwa tofauti kubwa iliyopo kati ya Aliens na majini ni kwamba majini wana maumbile maalum na uwezo wa kujibadilisha japo wote wana uwezo wa kusafiri kwa kasi ya upepo. SASA ENDELEA…

Kama nilivyoeleza awali katika matoleo ya simulizi hii huko nyuma, kuna filamu na tamthiliya...

 

9 years ago

Vijimambo

Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari

By Shaban Lupimo, Mwananchi
Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.

Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.

Hata hivyo, hali...

 

10 years ago

Africanjam.Com

9 years ago

Mwananchi

China: Rafiki wa Afrika au mkoloni mpya?

Siku chache zilizopita, kulikuwa na mkutano kati ya China na nchi za Afrika ujulikanao kama Forum on Africa China Coo-peration uliofanyika jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini.     

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani