Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tangu lini wananchi tukawa na urafiki na wanasiasa?

Katika nchi zenye watu makini, pamoja na ushabiki au ufurukutwa wa vyama, chama kikija na sera dhaifu wanachama hawakipigii kura.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Umanamba huu wa tangu enzi za mkoloni utaisha lini?

Mkoa wa Kigoma upo magharibi ya Tanzania. Wakazi wake wanajishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula na biashara, zaidi ikiwa zao la Kahawa linalostawi kwa wingi katika eneo zima la Manyovu.

 

10 years ago

Mwananchi

Umanamba huu ni tangu enzi za mkoloni utaisha lini?

Historia inaonyesha kwamba enzi za utawala wa kikiloni chini ya Mjerumani na hata Mwingereza baadhi ya watu wa Kigoma walichukuliwa na kupelekwa katika mikoa ya Morogoro, Pwani na Tanga kufanya kazi ya kulima mashamba ya Mkonge.

 

10 years ago

Mwananchi

Tangu lini kura iliyopigwa jana ikarudiwa kesho yake?

Wiki iliyopita Bunge la Katiba lilipitisha Katiba waliyoipendekeza, badala ya ile ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Joseph Warioba na kuwashawishi Watanzania waipigie kura ya ndiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Lini watawala watakuwa wasikivu kwa wananchi?

Msimamo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wa kusitisha kwa muda usiojulikana kufanyika kwa Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa iliyokuwa imepangwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu, umepokelewa kwa hisia tofauti miongoni mwa Watanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi hawa watakunywa maji yasiyo salama hadi lini?

UNAPOSHINDWA kutekeleza majukumu yako kwa kiwango ulichokusudia katika jamii ili iweze kunufaika; unaweza kusababisha matatizo kwa kuwapa kisichofaa. Hapa nchini kuna changamoto kubwa ya maji katika halmashauri nyingi na imesababisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanasiasa waponda anasa, wananchi wanateseka!

SIASA ni itikadi na msingi wa kuendesha uchumi, utamaduni na mwenendo mzima wa maisha ya jamii. Ni mbinu ya utekelezaji wa jambo kwa kutumia busara na hekima ili kufikia lengo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa’

WANANCHI wametakiwa kuwa makini na kauli za wanasiasa, kwani si kila kitu wanachosema ni cha kweli kwa kuwa baadhi yao hupotosha jamii kwa maslahi yao binafsi. Akizungumza wakati wa harambee...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wanataka maji sio ngumi za wanasiasa

SIASA ni uchumi, Siasa ni kilimo, hizi zilikuwa ni kauli mbiu ambazo  hayati Mwalimu Nyerere alizianzisha ili kuonesha kuwa huwezi kutenganisha siasa na maendeleo. Siasa ni kila kitu katika maisha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa-IPTL

SONY DSC

Katibu na Mshauri Mkuu wa Makapuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Bw. Joseph Makandege, (mwenye suti nyeusi kushoto) akimkabidhi Mwinjilisti wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba Wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Bi Martha Musa Kivuyo (mwenye nguo nyeupe), mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 kati ya Silingi milioni 20 (Tsh 20m/-) iliyotolewa na kampuni ya IPTL/PAP, kusaidia kwaya ya Patano la Usharika wa Likamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani