Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasiasa waponda anasa, wananchi wanateseka!

SIASA ni itikadi na msingi wa kuendesha uchumi, utamaduni na mwenendo mzima wa maisha ya jamii. Ni mbinu ya utekelezaji wa jambo kwa kutumia busara na hekima ili kufikia lengo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa’

WANANCHI wametakiwa kuwa makini na kauli za wanasiasa, kwani si kila kitu wanachosema ni cha kweli kwa kuwa baadhi yao hupotosha jamii kwa maslahi yao binafsi. Akizungumza wakati wa harambee...

 

10 years ago

Mwananchi

Tangu lini wananchi tukawa na urafiki na wanasiasa?

Katika nchi zenye watu makini, pamoja na ushabiki au ufurukutwa wa vyama, chama kikija na sera dhaifu wanachama hawakipigii kura.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wananchi kuweni makini na kauli za wanasiasa-IPTL

SONY DSC

Katibu na Mshauri Mkuu wa Makapuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Bw. Joseph Makandege, (mwenye suti nyeusi kushoto) akimkabidhi Mwinjilisti wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba Wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Bi Martha Musa Kivuyo (mwenye nguo nyeupe), mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 kati ya Silingi milioni 20 (Tsh 20m/-) iliyotolewa na kampuni ya IPTL/PAP, kusaidia kwaya ya Patano la Usharika wa Likamba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wanataka maji sio ngumi za wanasiasa

SIASA ni uchumi, Siasa ni kilimo, hizi zilikuwa ni kauli mbiu ambazo  hayati Mwalimu Nyerere alizianzisha ili kuonesha kuwa huwezi kutenganisha siasa na maendeleo. Siasa ni kila kitu katika maisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanasiasa wasipore haki ya wananchi katiba mpya

INAFAHAMIKA na kukubalika popote duniani kuwa katiba ni waraka wa kisiasa. Nadhani wanasiasa tangu awali walifanya njama na hila iwe hivyo kama njia ya kujiwekea ulinzi na kujipatia nafasi kubwa...

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi waaswa kuwa makini na kauli za wanasiasa-IPTL

Katibu na Mshauri Mkuu wa Makapuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP), Bw. Joseph Makandege, (mwenye suti nyeusi kushoto) akimkabidhi Mwinjilisti wa Kanisa la KKKT Usharika wa Likamba Wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Bi Martha Musa Kivuyo (mwenye nguo nyeupe), mfano wa hundi ya Shilingi milioni 10 kati ya Silingi milioni 20 (Tsh 20m/-) iliyotolewa na kampuni ya IPTL/PAP, kusaidia kwaya ya Patano la Usharika wa Likamba...

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima bado wanateseka kutafuta soko

Moja ya jambo ninaloliona mara kwa mara ninapokuwa safarini ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari kusimama kununua bidhaa zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Kulikoni wakulima wanateseka kutafuta soko?

Moja ya mambo ninayoyaona mara kwa mara ninapokuwa safarini, ni wakulima wakiwa barabarani wakibembeleza wapita njia, hasa wanaoendesha magari, kusimama kununua bidhaa zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani