Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tangu lini kura iliyopigwa jana ikarudiwa kesho yake?

Wiki iliyopita Bunge la Katiba lilipitisha Katiba waliyoipendekeza, badala ya ile ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Joseph Warioba na kuwashawishi Watanzania waipigie kura ya ndiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tangu lini wananchi tukawa na urafiki na wanasiasa?

Katika nchi zenye watu makini, pamoja na ushabiki au ufurukutwa wa vyama, chama kikija na sera dhaifu wanachama hawakipigii kura.

 

10 years ago

Mwananchi

Umanamba huu ni tangu enzi za mkoloni utaisha lini?

Historia inaonyesha kwamba enzi za utawala wa kikiloni chini ya Mjerumani na hata Mwingereza baadhi ya watu wa Kigoma walichukuliwa na kupelekwa katika mikoa ya Morogoro, Pwani na Tanga kufanya kazi ya kulima mashamba ya Mkonge.

 

10 years ago

Mwananchi

Umanamba huu wa tangu enzi za mkoloni utaisha lini?

Mkoa wa Kigoma upo magharibi ya Tanzania. Wakazi wake wanajishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula na biashara, zaidi ikiwa zao la Kahawa linalostawi kwa wingi katika eneo zima la Manyovu.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Juma Nature: Pombe nimeacha tangu mwaka jana

KAMA kawaida ya safu hii inakuletea maisha ya watu mbalimbali maarufu kuona wanaishi vipi katika maisha yao ya kawaida. Leo tunaye mwanamuziki  mkongwe  wa Bongo Fleva  na kiongozi  wa kundi la Wanaume Halisi, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature.

Juma Nature ni miongoni mwa wanamuziki wachache walioweza kudumu katika  Bongo Fleva kwa muda mrefu  na kuwa na mashabiki wengi ndani na nje ya Tanzania.

Mwanamuziki huyo alikuja na mtindo wa kipekee  katika muziki wake na...

 

11 years ago

GPL

SOKO LA KARUME LATEKETEA KWA MOTO TANGU JANA USIKU

Mali za wafanyabiashara zikiteketea. Waokoaji wakijitahidi kuzima moto. Kibaka akila kisago baada ya kujaribu kuiba wakati wengine wakililia…

 

9 years ago

Bongo5

Shaa adai ana video 3 alizoshoot nje tangu mwaka jana

Malkia wa Uswazi, Shaa, amesema tayari ameshashoot video 3 nje ya nchi toka mwaka jana na sasa hivi zinasubiri muda wake ili zitoke. Shaa ameiambia Bongo5 kuwa anajisikia fahari kuwa kati ya wasanii wa kwanza waliovuka boda na kufanya video. “Mimi kwenye video tena kwenye release zangu zinazofuata ambazo nimesha-shoot video tatu nje toka mwaka […]

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

ZEC lini itatowa daftari la wapiga kura?

Kila mtu sasa hivi yuko katika kuhesabu siku zilizobaki kufikia uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Huku tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ikikesha mchana kutwa pale Bwawani kutoa na kupokea fomu za wagombea, bado tume hii inayokazi […]

The post ZEC lini itatowa daftari la wapiga kura? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

Kwa mara ya kwanza tangu atoke jela, Francis Cheka apima uzito kuzichapa na Mthailand kesho!


BONDIA Francis Cheka wa Tanzania na Kiatchai Singwancha kutoka Thailand wamepima uzito leo kwenye ukumbi wa Green Grill uliopo maeneo ya Victoria jijini Dar es Salaam tayari kwa pambano lao linalosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Masumbwi.Pambano hilo litapigwa kesho usiku kwenye ukumbi wa PTA Manispaa ya Temeke.
Cheka na Singwancha watazichapa kwenye pambano hilo la raundi 10 lisilo na ubingwa wowote, lakini ni mabondia hao wawili wanatafuta kulinda heshima. 
Singwancha alitua Dar jana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani