Shaa adai ana video 3 alizoshoot nje tangu mwaka jana
Malkia wa Uswazi, Shaa, amesema tayari ameshashoot video 3 nje ya nchi toka mwaka jana na sasa hivi zinasubiri muda wake ili zitoke. Shaa ameiambia Bongo5 kuwa anajisikia fahari kuwa kati ya wasanii wa kwanza waliovuka boda na kufanya video. “Mimi kwenye video tena kwenye release zangu zinazofuata ambazo nimesha-shoot video tatu nje toka mwaka […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Juma Nature: Pombe nimeacha tangu mwaka jana
KAMA kawaida ya safu hii inakuletea maisha ya watu mbalimbali maarufu kuona wanaishi vipi katika maisha yao ya kawaida. Leo tunaye mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva na kiongozi wa kundi la Wanaume Halisi, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature.
Juma Nature ni miongoni mwa wanamuziki wachache walioweza kudumu katika Bongo Fleva kwa muda mrefu na kuwa na mashabiki wengi ndani na nje ya Tanzania.
Mwanamuziki huyo alikuja na mtindo wa kipekee katika muziki wake na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yUwMs8n2ETc/VXXJKoXVMPI/AAAAAAAHdHI/k5xDAmZuwUE/s72-c/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
97.3 EFM wamwaga wese kwa kila mdau waliyemkuta ana sticker yao ya mwaka jana. zoezi kuendelea tena jumatano
![](http://3.bp.blogspot.com/-yUwMs8n2ETc/VXXJKoXVMPI/AAAAAAAHdHI/k5xDAmZuwUE/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1RXRZw5mVWs/VXXJKsUlM0I/AAAAAAAHdHE/dw31DNEbaRA/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-J0H2pVhqBww/VXXJKqdkxLI/AAAAAAAHdHQ/VtyCsIEPkvE/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WNDLvd-dE8c/VXXJLCELYiI/AAAAAAAHdHU/hYbpNFszMiw/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
9 years ago
Bongo530 Oct
Video: Belle 9 adai waongozaji wa Bongo na location nzuri za nyumbani zinamshawishi kutofikiria kwenda kufanya video nje
![_K0A1374](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/K0A1374-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo522 Dec
Mwaka 2016 ni kazi tu – Shaa, aliweka ‘pending’ deal nono la Kenya ili kufanya muziki (Video)
![12345711_718016738342763_71673018_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12345711_718016738342763_71673018_n-300x194.jpg)
Shaa ameutangaza mwaka 2016 kuwa ni mwaka wa ‘hapa kazi tu.’
Akiongea kwenye kipindi cha Uhondo cha EFM kinachoendeshwa na Dina Marious na Swebe Santana, Shaa alisema alilazimika kutolea nje deal nono aliyokuwa aifanye Kenya ili kuutumia mwaka ujao nyumbani na kufanya muziki zaidi.
“Kuna kazi nyingine tena inabidi itoke mwezi wa tatu, na nyingine tena inabidi itoke mwezi wa sita, nyingine tena mwezi wa tisa. Kwahiyo utakuwa ni mwaka ambao nitakuwa niko busy sana. Nataka niutumie kimuziki...
9 years ago
Bongo510 Oct
Kala Jeremiah adai nyimbo zake haziitaji kusafiri nje kufanya video
9 years ago
Bongo524 Dec
Barnaba kuachia video mbili alizoshoot Afrika Kusini
![Barnaba Elias](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Barnaba-Elias-300x194.jpg)
Barnaba amesema atafungua mwaka 2016 kwa kuachia video mbili moja ikiwa ya wimbo ‘Nakutunza’aliyomshirikisha Jose Chameleone wa Uganda.
Muimbaji huyo ambaye pia ni mwandishi mzuri wa nyimbo, ameiambia Bongo5 kuwa video nyingi za wasanii zilizotoka zimemfanya aweke zake kapuni ili atoe mwakani.
“Mwaka huu hatuwezi tena kutoa video kutokana na population ya wasanii kutoa video. Watu wanaojua marketing ya muziki wanajipanga na kuangalia muda sahihi wa kuachia video. Nashukuru Mungu video...
10 years ago
Bongo530 Aug
Shaa adai Coke Studio imempa connection kubwa, afanya colabo na Redsan na Chidinma
9 years ago
Bongo506 Jan
G-Nako aeleza sababu za kusogeza kuachia video yake mpya ‘Original’ iliyokuwa itoke mwaka jana
![Gnako](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/08/Gnako-150x200.jpg)
Weusi walipanga kuumaliza mwaka 2015 kwa kuachia nyimbo tatu, ambapo walifanikiwa kuachia ‘Don’t Bother’ ya Joh Makini aliyomshirikisha AKA na nyingine ya Nikki Wa Pili ‘Baba Swalehe’.
Single ya G-Nako ‘Original’ ambayo ndio ingekamilisha ahadi yao ya nyimbo tatu haikufanikiwa kutoka mwaka uliopita kutokana na msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka kuvuruga mipango iliyokuwepo.
Video ya wimbo huo iliyofanyika Afrika Kusini chini ya muongozaji Justin Campos wa Gorilla Films imekamilika toka...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Tangu lini kura iliyopigwa jana ikarudiwa kesho yake?