Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


97.3 EFM wamwaga wese kwa kila mdau waliyemkuta ana sticker yao ya mwaka jana. zoezi kuendelea tena jumatano

UnaambiwanKama una sticker ya 97.3 EFM ya mwaka jana….wese la bure la kumwaga. Jana tuligawa wese Kinondoni…TSN Bamaga, Jumatano  tupo Ilala, TSN TABATA...Ushindwe wewe tu...!Wadau wa 97.3 EFM wakipata wese la bure katika kituo cha mafuta cha TSN Bamaga jijini Dar es salaam baada ya kukutwa na sticker ya mwaka jana ya 97.3 EFMFoleni katika kituo cha mafuta cha TSN Bamaga jijini Dar es salaam baada ya wadau kukutwa na sticker ya mwaka jana ya 97.3 EFMWese mbele kwa mbeleMtangazaji wa Gardner...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MDAU PALLA ANA KWA ANA NA RAIS MSTAAF BENJAMINI MKAPA

Mwandishi wa habari wa kituo cha uhuru Fm Athumani Palla na mkewe Rukia Bakari wakiwa katika picha ya pamoja na Rais mstaafu Mh.Benjamin Mkapa Ofisini kwake Upanga hapo jana jijini Dar.

 

9 years ago

Bongo5

Shaa adai ana video 3 alizoshoot nje tangu mwaka jana

Malkia wa Uswazi, Shaa, amesema tayari ameshashoot video 3 nje ya nchi toka mwaka jana na sasa hivi zinasubiri muda wake ili zitoke. Shaa ameiambia Bongo5 kuwa anajisikia fahari kuwa kati ya wasanii wa kwanza waliovuka boda na kufanya video. “Mimi kwenye video tena kwenye release zangu zinazofuata ambazo nimesha-shoot video tatu nje toka mwaka […]

 

10 years ago

Mwananchi

CUF yaapa kuendelea na maandamano kila mwaka

Chama cha Wananchi (CUF) kimesema, hakitarudi nyuma na kitaendelea kufanya maandamano na mikutano ya hadhara kila Januari 26 na 27 kila mwaka kuazimisha mauaji ya wanachama wake yaliyotokea Zanzibar mwaka 2001.

 

9 years ago

Michuzi

ZOEZI ZA UPIGAJI KURA LAANZA NA KUENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI JIJINI DAR ES SALAAM

 Wapiga kura kituo cha Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam wakiwajibika kwa utulivu na amani asubuhi hii. Utulivu na amani watawala kituo cha Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam Nidhamu, utulivu, uvumilivu na amani vyatawala kila sehemu. Hapa ni Kibaha Machinjioni, mkoa wa PwaniHapa ni Kibaha Machinjioni, mkoa wa Pwani Kituo cha Afisa Mtendaji wa Kata ya Olorieni jijini Arusha 
Kituo cha Dispensary ya Kata ya Olorieni, Arusha. 
Picha kwa hisani ya blogger Seria

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

EFM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MWAKA KWA KISHINDO

Jikekizz la nguvu la kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Radio 93.7 EFM.Mstahiki Meya wa Kinondoni, Yussuf Mwenda akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila walipo kutana katika ofisi za EFM asubuhi ya leo.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Mtangazaji wa kipindi cha Joto la Asubuhi, Dennis Ssebo akiwa na Mkurugrnzi Mkuu wa Radio 93.7 EFM, Francis Ciza.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

EFM RADIO YATIMIZA MWAKA MMOJA KWA KISHINDO

Keki ya bethidei ya Efm kutimiza mwaka mmoja. Keki ya bethidei ikikatwa. Happy birthday Efm Radio. Familia ya Efm…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani