CUF yaapa kuendelea na maandamano kila mwaka
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema, hakitarudi nyuma na kitaendelea kufanya maandamano na mikutano ya hadhara kila Januari 26 na 27 kila mwaka kuazimisha mauaji ya wanachama wake yaliyotokea Zanzibar mwaka 2001.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Jan
CUF ngangari yaapa kuandamana kila mwaka
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimedai kuwa licha ya kushindwa kuandamana hivi karibuni huku viongozi na wafuasi wake wakiingia matatani kutokana na kukiuka agizo la Jeshi la Polisi la kutoandamana, kimesisitiza kitaendelea kuandamana kila ifikapo Januari 27, ya kila mwaka.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yUwMs8n2ETc/VXXJKoXVMPI/AAAAAAAHdHI/k5xDAmZuwUE/s72-c/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
97.3 EFM wamwaga wese kwa kila mdau waliyemkuta ana sticker yao ya mwaka jana. zoezi kuendelea tena jumatano
![](http://3.bp.blogspot.com/-yUwMs8n2ETc/VXXJKoXVMPI/AAAAAAAHdHI/k5xDAmZuwUE/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1RXRZw5mVWs/VXXJKsUlM0I/AAAAAAAHdHE/dw31DNEbaRA/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-J0H2pVhqBww/VXXJKqdkxLI/AAAAAAAHdHQ/VtyCsIEPkvE/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WNDLvd-dE8c/VXXJLCELYiI/AAAAAAAHdHU/hYbpNFszMiw/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Jordan yaapa kuimaliza IS kwa kila hali
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Lipumba azima maandamano ya CUF
10 years ago
Habarileo26 Jan
Lipumba kuongoza maandamano ya CUF
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimepanga kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 14 tangu mauaji ya Zanzibar, kesho.
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Maandamano ya vijana CUF yapigwa marufuku
10 years ago
Habarileo13 Feb
Maandamano ya Vijana CUF yapigwa ‘stop’
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imepiga marufuku maandamano ya Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Wananchi (JUVICUF) kutokana na kile ilichosema yana lengo la kusababisha uvunjifu wa amani.
10 years ago
Habarileo14 Feb
CUF yatii amri, yasitisha maandamano
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesalimu amri kwa kukubali kutii agizo ya jeshi la polisi kwa kusitisha maandamano yao yaliypokuwa yafanyike jana, Jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Polisi yazima maandamano ya Chadema Dodoma, ni ya kupinga kuendelea Bunge la Katiba