Jordan yaapa kuimaliza IS kwa kila hali
Jordan yasema mashambulizi waliyoyafanya dhidi ya IS ni mwanzo tu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Jordan yaapa kupambana na Islamic State
Mfalme wa Jordan ameahidi mapambano yasiyo na huruma dhidi ya wapiganaji wa Islamic State kufuatia kuuawa kwa rubani wa nchi hiyo.
10 years ago
Habarileo30 Jan
CUF ngangari yaapa kuandamana kila mwaka
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimedai kuwa licha ya kushindwa kuandamana hivi karibuni huku viongozi na wafuasi wake wakiingia matatani kutokana na kukiuka agizo la Jeshi la Polisi la kutoandamana, kimesisitiza kitaendelea kuandamana kila ifikapo Januari 27, ya kila mwaka.
10 years ago
Mwananchi29 Jan
CUF yaapa kuendelea na maandamano kila mwaka
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema, hakitarudi nyuma na kitaendelea kufanya maandamano na mikutano ya hadhara kila Januari 26 na 27 kila mwaka kuazimisha mauaji ya wanachama wake yaliyotokea Zanzibar mwaka 2001.
10 years ago
Bongo512 Mar
Michael Jordan anaingiza dola milioni 100 kila mwaka, fahamu zinakotoka
Mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu, Michael Jordan aliingiza dola milioni 100 kutoka kwa Nike na washirika wengine mwaka jana kwa mujibu wa mtandao wa Forbes, kuliko mwanamichezo yeyote aliyestaafu. Pesa aliyoingiza mwaka jana, ni zaidi ya dola milioni 90 ya mshahara aliolipwa kwenye kipindi cha miaka 15 aliyochezea kwenye timu za Chicago Bulls […]
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Israel yaapa kulipiza kisasi kwa Hamas
Israel imeapa kulipiza kisasi dhidi ya wapiganaji wa Hamas wanaotuhumiwa kuwaua vijana watatu wa Israel
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QVt6fxtGBNA/Xts092UAV5I/AAAAAAALsyc/dVKh_4MYzQ8afikq5IIHozEeWD-Y2C7eACLcBGAsYHQ/s72-c/Ofisi%2Bya%2BArdhi%2BRukwa.png)
Ofisi ya Ardhi Rukwa yaapa kutoa huduma kwa weledi na haki.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QVt6fxtGBNA/Xts092UAV5I/AAAAAAALsyc/dVKh_4MYzQ8afikq5IIHozEeWD-Y2C7eACLcBGAsYHQ/s640/Ofisi%2Bya%2BArdhi%2BRukwa.png)
Msananga amesema kuwa lengo la wizara kuwapunguzia wananchi gharama za usafiri kufuata huduma ambazo hivi sasa...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Tumwogope Mungu kwa matendo yetu kila siku na kila wakati!
Bila kumwogopa Mungu, hatuwezi kupiga hatua kama taifa. Tunaambiwa kwamba kumwogopa Mungu ndiyo mwanzo wa maarifa na mafanikio. Ingawa Taifa letu halina dini, lakini watu wake wote wanamwamini Mwenyezi Mungu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*DF4NDKAWBfRqMkk67n37qCeSfMcotVGtkicEh9ge8cpL3i-0WWBCC03lemTYTwdiXDaY05j8m9unG9Fgt-1OFm/maximo.jpg)
Maximo atumia umafia kuimaliza Azam
Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, amesema atatumia upungufu aliuona dhidi ya wapinzani wao Azam FC katika mechi za michuano ya Kombe la Kagame kuifunga timu hiyo huku akikiri kuwa mchezo huo utakuwa mgumu. Timu hizo zinatarajiwa kujitupa uwanjani kesho Jumapili katika mechi ya Ngao ya Jamii itakayopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania