Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lipumba kuongoza maandamano ya CUF

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimepanga kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 14 tangu mauaji ya Zanzibar, kesho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lipumba azima maandamano ya CUF

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahimu Lipumba amefanikiwa kuzima maandamano ya Jumuiya ya Vijana wa chama hicho yaliyopangwa kufanyika jana.

 

10 years ago

Mtanzania

Waziri wa Z’bar leo kuongoza maandamano ya CUF Dar

MINOLTA DIGITAL CAMERANA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza maandamano yanayofanyika leo jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Waziri wa Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Juma Duni Haji.
Duni ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CUF, anatarajiwa kuwaongoza wafuasi wa chama hicho katika maandamao hayo licha ya Jeshi la Polisi kuyazuia.
Mbali ya Waziri Duni, maandamano hayo pia yataongozwa na viongozi wengine waandamizi wa chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

LIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA


Chama cha wananchi CUF kimesema kuwa siku ya Jumapili ya Tarehe 14 mwezi huu wa sita ndiyo siku rasmi ya kumkabidhi rasmi form ya kuomba kugombea urais wa jamhuri ya muunganoi wa Tanzania mwenyekiti wa chama hicho Profesa IBRAHIM LIPUMBA baada ya kujitokeza mwenyewe katika chama hicho kuomba nafasi hiyo licha ya chama hicho kutangaza kwa muda mrefu watu kujitokeza kutangaza nia.Naibu Mkurugenzi Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo akizngumza na wanahabari mbalimbali makao makuu ya chama...

 

11 years ago

Mwananchi

Balozi wa Palestina kuongoza maandamano

Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Dk Nasri Abu Jaish atakuwa miongoni mwa watu watakaoandamana kesho kupinga mauaji ya Wapalestina katika eneo la ukanda wa Gaza yanayofanywa na Israel.

 

11 years ago

Michuzi

HAWZAT IMAM SWADIQ KUONGOZA MAANDAMANO YA KULAANI MAUAJI YA HUKO GAZA

Na Rose Masaka MAELEZO-Dar es Salaam
TAASISI ya  Hawzat Imam Swadiq wameandaa maandamano ya kulaani mashambulizi yanayofanywa na Vikosi vya Israel dhidi ya wananchi wa Palestina wasio na hatia.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Taasisi hiyo Profesa Abdul Shariff, maandamano hayo yanalenga kuueleza ulimwengu kuwa wananchi wa Tanzania wanalaani mauaji yanayoendelea huko Gaza Palestina.
Amesema kuwa maandamano hayo  ambayo yatafanyika siku ya Ijumaa  Julai 25 mwaka huu yanatarajia kuanzia Kituo cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Maandamano ya vijana CUF yapigwa marufuku

Licha ya Jumuiya ya vijana wa Chama cha Wananchi (CUF) kusisitiza azma yao ya kuandamana leo, polisi imepiga marufuku maandamano hayo na kusema halitosita kutumia nguvu endapo vijana wa chama hicho watakaidi amri ya kutoandamana.

 

10 years ago

Habarileo

CUF yatii amri, yasitisha maandamano

Mwenyekiti wa CUF Taifa, Profesa Ibrahim LipumbaCHAMA cha Wananchi (CUF) kimesalimu amri kwa kukubali kutii agizo ya jeshi la polisi kwa kusitisha maandamano yao yaliypokuwa yafanyike jana, Jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Maandamano ya Vijana CUF yapigwa ‘stop’

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaPOLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imepiga marufuku maandamano ya Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Wananchi (JUVICUF) kutokana na kile ilichosema yana lengo la kusababisha uvunjifu wa amani.

 

10 years ago

Daily News

Lipumba resigns from CUF leadership


IPPmedia
Lipumba resigns from CUF leadership
Daily News
THE coalition of main opposition parties (UKAWA) yesterday suffered a big blow, after Civic United Front (CUF) National Chairman, Professor Ibrahim Lipumba, resigned from the leadership of his party. Prof Lipumba accused the co-leaders of the coalition ...
Tanzania's opposition leaders step down to protest candidate choiceReuters Africa
Music and Politics Forever IntertwinedAllAfrica.com
Tanzania's October election offers choice of improved...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani