Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi wa Palestina kuongoza maandamano

Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Dk Nasri Abu Jaish atakuwa miongoni mwa watu watakaoandamana kesho kupinga mauaji ya Wapalestina katika eneo la ukanda wa Gaza yanayofanywa na Israel.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazuka Palestina

Maandamano makubwa yamefanyika katika ukingo wa Magharibi mwa Palestina karibu na mpaka wake na Israel kupinga mashambulio.

 

10 years ago

Habarileo

Lipumba kuongoza maandamano ya CUF

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimepanga kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 14 tangu mauaji ya Zanzibar, kesho.

 

10 years ago

Mtanzania

Waziri wa Z’bar leo kuongoza maandamano ya CUF Dar

MINOLTA DIGITAL CAMERANA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetangaza maandamano yanayofanyika leo jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Waziri wa Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Juma Duni Haji.
Duni ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CUF, anatarajiwa kuwaongoza wafuasi wa chama hicho katika maandamao hayo licha ya Jeshi la Polisi kuyazuia.
Mbali ya Waziri Duni, maandamano hayo pia yataongozwa na viongozi wengine waandamizi wa chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa...

 

11 years ago

Michuzi

HAWZAT IMAM SWADIQ KUONGOZA MAANDAMANO YA KULAANI MAUAJI YA HUKO GAZA

Na Rose Masaka MAELEZO-Dar es Salaam
TAASISI ya  Hawzat Imam Swadiq wameandaa maandamano ya kulaani mashambulizi yanayofanywa na Vikosi vya Israel dhidi ya wananchi wa Palestina wasio na hatia.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Taasisi hiyo Profesa Abdul Shariff, maandamano hayo yanalenga kuueleza ulimwengu kuwa wananchi wa Tanzania wanalaani mauaji yanayoendelea huko Gaza Palestina.
Amesema kuwa maandamano hayo  ambayo yatafanyika siku ya Ijumaa  Julai 25 mwaka huu yanatarajia kuanzia Kituo cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Balozi: Mgogoro wa Palestina na Israel si wa dini

Balozi wa Palestina nchini, Dk Nasri Abujaish amesema mgogoro unaoendelea kati ya taifa lake na Israel hauna uhusiano wowote na dini kama inavyoenezwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi Palestina ataka Israel ikemewe

BALOZI wa Palestina nchini, Nasri Abu Jaish, ameiomba Tanzania na jumuiya ya kimataifa kuikemea Israel iache kufanya mauaji ya kinyama kwa Wapalestina. Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari jijini...

 

11 years ago

Dewji Blog

Balozi wa Palestina awaomba wanahabari Tanzania kupaza sauti

Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Nasri Abu Jaish akizungumza katika mkutano na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.

Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Nasri Abu Jaish akizungumza katika mkutano na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.

Mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Abdul Sheriff akiwasilisha mada katika mkutano huo.

Mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Abdul Sheriff akiwasilisha mada katika mkutano huo.

IMG_00921

 

Sheikh Jalala (katikati) akizungumza katika mkutano huo.

Meza kuu ikifuatilia majadiliano katika mkutano huo na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.

Meza kuu ikifuatilia majadiliano katika mkutano huo na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.

Baadhi ya wahariri na wageni waalikwa wakiwa katika mkutano na ubalozi wa Palestina.

Baadhi ya wahariri na wageni waalikwa wakiwa katika mkutano na ubalozi wa Palestina.

Baadhi ya wahariri na wageni waalikwa wakiwa katika mkutano na ubalozi wa Palestina.

Baadhi ya wahariri...

 

11 years ago

GPL

BALOZI WA PALESTINA AWAOMBA WANAHABARI TANZANIA KUPAZA SAUTI‏

Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Nasri Abu Jaish akizungumza katika mkutano na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari. Mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Abdul Sheriff akiwasilisha mada katika mkutano huo. Sheikh Jalala (katikati) akizungumza katika mkutano huo.…

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA PALESTINA NCHINI TANZANIA, ANAYEMALIZA MUDA WAKE

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Nasir Abu Jaish, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 19, 2015 kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Nasir Abu Jaish, anayemaliza muda wake wa kazi nchini wakati alipofika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani