Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


China: Rafiki wa Afrika au mkoloni mpya?

Siku chache zilizopita, kulikuwa na mkutano kati ya China na nchi za Afrika ujulikanao kama Forum on Africa China Coo-peration uliofanyika jijini Johannesburg nchini Afrika ya Kusini.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BALOZI WA CHINA NCHINI NA MHE. MASELE WAZUNGUMZA JUU YA MKUTANO WA JUKWAA LA VIONGOZI VIJANA AFRIKA NA CHINA

Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Dr. Lu Youqing akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)  juu ya mkutano wa kimataifa wa viongozi vijana wa Afrika na China unatorajiwa kufanyika kuanzia Machi 27 na kumalizika Machi 31 katika Ukumbi wa Hoteli ya Ngurdoto, jijini Arusha.Kushoto ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira),Mhe. Stephen Masele.Balozi wa China hapa nchini, Mhe. Dr. Lu Youqing akipeana mkono na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ifahamu njia mpya ya kuzika mwili ambayo ni rafiki kwa mazingira

Kampuni moja ya Marekani imedai kwamba njia mpya ya kuzika mwili inasaidia kuzuia kaboni zaidi ya tani moja, kulingana na utafiti

 

10 years ago

Africanjam.Com

10 years ago

Mwananchi

Umanamba huu wa tangu enzi za mkoloni utaisha lini?

Mkoa wa Kigoma upo magharibi ya Tanzania. Wakazi wake wanajishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula na biashara, zaidi ikiwa zao la Kahawa linalostawi kwa wingi katika eneo zima la Manyovu.

 

10 years ago

Mwananchi

Umanamba huu ni tangu enzi za mkoloni utaisha lini?

Historia inaonyesha kwamba enzi za utawala wa kikiloni chini ya Mjerumani na hata Mwingereza baadhi ya watu wa Kigoma walichukuliwa na kupelekwa katika mikoa ya Morogoro, Pwani na Tanga kufanya kazi ya kulima mashamba ya Mkonge.

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Marekani inahofia China Afrika?

Rais Barack Obama wa Marekani, wiki hii anatarajiwa kukutana na viongozi wa nchi zipatazo 50 za Afrika, mjini Washngton.

 

11 years ago

BBCSwahili

China na Japan zang'ang'ania Afrika

China na Japan zimeanza kukosoana kuhusu sera zao Barani Afrika kila nchi ikiahidi kuongeza kiwango cha msaada kwa bara hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania mwenyeji wa Jukwaa la vijana Afrika na China

Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete anatarajiwa kuzindua Jukwaa la kimataifa la  vijana kutoka nchi 43 za Africa na China lenye  lengo la kudumisha urafiki ,ushirikiano wa kimaendeleo  katika Nyanja za kiuchumi ,kijamii na kisiasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani