NAVY KENZO: TUPO TAYARI KUKINUKISHA TAIFA
Wasanii wanaounda kundi linalotikisa Bongo, Navy Kenzo (Nahreel na Aika) wakiwa ndani ya studio za Global TV Online kabla ya kuhojiwa. WAKATI macho na masikio yote yameelekezwa katika Uwanja wa Taifa, Agosti 8, mwaka huu katika Tamasha la Usiku wa Matumaini, kundi linalotikisa Bongo, Navy Kenzo limesema lipo tayari kukinukisha.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Dec
Ikulu: Tupo tayari
Fredy Azzah na Esther Mbussi, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya Bunge kuhitimisha mjadala wa uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kupitisha maazimio nane ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha watendaji na wanasiasa waliohusika, Ikulu imesema itayafanyia kazi maazimio hayo kwa uzito mkubwa.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, alipozungumza na MTANZANIA juu ya hatua iliyofikiwa katika kutekeleza maazimio yaliyofikiwa na Bunge.
Balozi...
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Mwansasu: Tupo tayari dhidi ya Misri
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7Km8K8v4UKA/VIGAm5UymWI/AAAAAAAG1YI/wahKwZBS3FE/s72-c/unnamed.jpg)
Tupo tayari kwa Uhurumarathon 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-7Km8K8v4UKA/VIGAm5UymWI/AAAAAAAG1YI/wahKwZBS3FE/s1600/unnamed.jpg)
MAANDALIZI ya mbio za Uhuru, Uhuru Marathon, zinazotarajiwa kufanyika Desemba 7 (jumapili) jijini Dar es Salaam yamekamilika, huku wanaridha kadhaa kutoka ndani na nje ya...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Tupo tayari kupokea Katiba inayoburushwa?
SWALI la msingi na lenye maana kwa kipindi hiki, ni kujiuliza kama tunaamini kuwa mchakato wa Katiba unakwenda vizuri, na hakuna tatizo, Je Watanzania wameulizwa kama wapo tayari kuipokea Katiba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzUuf2fgrkEdPvvglHGRdHTW4HIO4V7hcD3UQNOtgwB8JVLQwAyGZxL3BoDJ6O8NIqKkaYneTRutWMz*yI6iiqrd/1MARTNOOIJ2.jpg?width=650)
TUPO TAYARI KUIKABILI ZIMBABWE- NOOIJ
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Navy Kenzo wagombewa kimataifa
NA SHARIFA MMASI
PRODYUZA na msanii wa Bongo Fleva, Nahreel na Aika Mareale, wanaounda kundi la Navy Kenzo, wamesema wamepokea maombi ya idadi kubwa ya wasanii wa kimataifa wanaotaka kufanya nao kazi.
Nareal alisema kwamba, maombi hayo kutoka kwa wasanii hao ambao hakutaka kuwaweka wazi kwa kuwa bado hawajakamilisha makubaliano yao yametokana na kufanya vizuri kwa video ya wimbo wao wa ‘Game’ waliomshirikisha Vanessa Mdee.
Nahreel aliongeza kwamba, video ya wimbo huo imekuwa ikichezwa katika...
11 years ago
Bongo510 Jul
New Video: Navy Kenzo — Chelewa
10 years ago
Bongo525 Nov
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Navy Kenzo gumzo Nigeria
NA CHRISTOPHER MSEKENA
KUNDI la Navy Kenzo linaloundwa na wapenzi, Emmanuel Mkono ‘Nahreel’ na Aika Mareale ‘Aika’ limekuwa gumzo nchini Nigeria kutokana na wimbo wao wa ‘Game’ waliomshirikisha Vanessa Mdee kupigwa mara kwa mara katika redio na televisheni za huko.
Nahreel alisema amekuwa akipokea simu kutoka kwa watangazaji wa vituo mbalimbali vya redio na runinga vya nchini humo kwa ajili ya mahojiano, huku wengine wakimpongeza kwa wimbo huo unaofanya vizuri nchini humo.
“Wanadai ‘audio’...