SHEPOLOPPOLO KUTUA NCHINI KESHO TAYARI KUIKABILI TWIGA STARS KESHOKUTWA
Timu ya Taifa ya Zambia (Shepolopolo) inatua nchini kesho mchana (Februari 27 mwaka huu) kwa ajili ya mechi ya marudiano ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Tanzania (Twiga Stars) itakayochezwa keshokutwa (Februari 28 mwaka huu).
Shepolopolo yenye msafara wa watu 29 itawasili kwa ndege ya Fastjet ikitokea Lusaka na itafikia kwenye hoteli ya Accomondia kwa ajili ya mechi hiyo itakayochezwa Uwanja wa Azam Complex ulioko Chamazi kuanzia saa 10 kamili jioni.
Waamuzi wa mechi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Shepolopolo kutua Dar kuikabili Twiga
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Twiga Stars kuikabili She-polopolo
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Twiga Stars kuelekea Zambia kesho
11 years ago
GPL
YEMI ALADE KUTUA NCHINI KESHO JUMATANO
10 years ago
Michuzi
TAIFA STARS TAYARI KUWAKABILI MALAWI KESHO CCM KIRUMBA

Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa bei za sh. 5,000 kwa mzunguko, sh. 12,000 kwa jukwaa kuu na sh.20,000 kwa viti vya jukwaa kuu maalum. Taifa Stars inashika nafasi ya 100 katika...
10 years ago
Michuzi
MKWASA ASEMA STARS IPO TAYARI KUWAVAA NIGERIA KESHO

10 years ago
GPL
CHRISTIAN BELLA KUTUA LEO NCHINI, TAYARI KWA SHOO YAKE JUMAMOSI HII DAR LIVE
10 years ago
Michuzi28 Mar
MALAWI WAFANYA MAZOEZI CCM KIRUMBA LEO, TAYARI KUKUTANA NA TAIFA STARS KESHO JUMAPILI
Wakibadilishana Mawazo wakati Wachezaji wa Malawi wanajifua mara ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jioni ya leo.
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa...
11 years ago
GPL
TUPO TAYARI KUIKABILI ZIMBABWE- NOOIJ