Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shepolopolo kutua Dar kuikabili Twiga

Timu ya soka ya wanawake ya Zambia inatarajiwa kuwasili Dar es Salaam Jumatano kwa mechi yake ya marudiano na Twiga Stars.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SHEPOLOPPOLO KUTUA NCHINI KESHO TAYARI KUIKABILI TWIGA STARS KESHOKUTWA

Timu ya Taifa ya Zambia (Shepolopolo) inatua nchini kesho mchana (Februari 27 mwaka huu) kwa ajili ya mechi ya marudiano ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Tanzania (Twiga Stars) itakayochezwa keshokutwa (Februari 28 mwaka huu). Shepolopolo yenye msafara wa watu 29 itawasili kwa ndege ya Fastjet ikitokea Lusaka na itafikia kwenye hoteli ya Accomondia kwa ajili ya mechi hiyo itakayochezwa Uwanja wa Azam Complex ulioko Chamazi kuanzia saa 10 kamili jioni. Waamuzi wa mechi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kusuka au kunyoa Twiga au Shepolopolo?

Ni kusuka au kunyoa ambapo kitendawili cha timu gani itafuzu kucheza fainali za michezo ya Afrika kwa upande wa soka la wanawake .

 

11 years ago

GPL

TWIGA STARS IMEWIVA, SHEPOLOPOLO YATUA

Kikosi cha Twiga Stars. Wakati Zambia (Shepolopolo) imewasili leo mchana (Februari 27 mwaka huu), Twiga Stars imesema mazoezi yamewaingia barabara tayari kwa mechi dhidi ya Wazambia hao itakayochezwa kesho (Februari 28 mwaka huu). Mechi hiyo ya marudiano ya raundi ya kwanza ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (AWC) itafanyika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi kuanzia saa 10 kamili jioni, na hakutakuwa na kiingilio....

 

11 years ago

Michuzi

Twiga stars baada ya mpambano na shepolopolo

 Balozi wa Tanzania nchini Zambia Mhe. Grace MUJUMA (kati, gauni la njano)  na maafisa wake walipokutana na viongozi wa timu ya twiga stars na wachezaji wa timu hiyo kwa chakula cha jioni nyumbani kwa Balozi baada ya mpambano mkali na mgumu uliofanyikana kwenye Uwanja wa Nkoloma jijini Lusaka Zambia. Twiga stars ilifungwa bao 2-1.  Kocha wa Twiga Stars, Rogasian Kaijage alisema amebaini upungufu katika kikosi chake ambao ataufanyia kazi kabla ya mechi ya marudiano ili timu yake iweze...

 

10 years ago

TheCitizen

Shepolopolo arrive to face Twiga Stars in decisive tie

Zambia’s Shepolopolo jetted into the country yesterday ready for the second leg of the All Africa Games (AAG) against Twiga Stars tomorrow.

 

10 years ago

BBCSwahili

Twiga Stars kuikabili She-polopolo

Twiga Stars,itashuka dimbani kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuwakarisbisha timu ya taifa Zambia 'The She-Polopolo'.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yarudi Dar kuikabili Gor Mahia

Timu ya Simba inarudi jijini Dar es Salaam kesho kwa ajili ya mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, huku kocha Patrick Phiri akitarajia kuwatumia washambuliaji wake wapya wa kigeni Mkenya Raphael Kiongera na Mganda Emanuel Okwi.

 

10 years ago

GPL

SAMANTHA WA BBA KUTUA DAR

Mshiriki wa BBA kutoka Afrika Kusini, Samantha. SAMANTHA KUTUA DAR: Mshiriki wa BBA kutoka Afrika Kusini, Samantha leo anatarajiwa kutua nchini kuungana na mshindi wa Mil. 514 za shindano hilo, Idris Sultan!

 

9 years ago

Habarileo

Algeria kutua kesho Dar

WAKATI timu yaTaifa ya Algeria ikitarajiwa kuwasili Dar es Salaam kesho kwa mchezo dhidi ya Taifa Stars, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo huo huku cha chini kikiwa ni Sh 5,000.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani