Shepolopolo kutua Dar kuikabili Twiga
Timu ya soka ya wanawake ya Zambia inatarajiwa kuwasili Dar es Salaam Jumatano kwa mechi yake ya marudiano na Twiga Stars.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Feb
SHEPOLOPPOLO KUTUA NCHINI KESHO TAYARI KUIKABILI TWIGA STARS KESHOKUTWA
![](https://4.bp.blogspot.com/-7C7KMJ0Z0NQ/Uw3LmApvesI/AAAAAAAA_b8/w2qqMD9LAr4/s1600/Shepolopolo.jpg)
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Kusuka au kunyoa Twiga au Shepolopolo?
Ni kusuka au kunyoa ambapo kitendawili cha timu gani itafuzu kucheza fainali za michezo ya Afrika kwa upande wa soka la wanawake .
11 years ago
GPLTWIGA STARS IMEWIVA, SHEPOLOPOLO YATUA
Kikosi cha Twiga Stars. Wakati Zambia (Shepolopolo) imewasili leo mchana (Februari 27 mwaka huu), Twiga Stars imesema mazoezi yamewaingia barabara tayari kwa mechi dhidi ya Wazambia hao itakayochezwa kesho (Februari 28 mwaka huu). Mechi hiyo ya marudiano ya raundi ya kwanza ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (AWC) itafanyika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi kuanzia saa 10 kamili jioni, na hakutakuwa na kiingilio....
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-y8HBX3UUtH8/Uv_QyaeGDmI/AAAAAAAFNZc/-4-Qd6TPur8/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Twiga stars baada ya mpambano na shepolopolo
![](http://4.bp.blogspot.com/-y8HBX3UUtH8/Uv_QyaeGDmI/AAAAAAAFNZc/-4-Qd6TPur8/s1600/unnamed+(26).jpg)
10 years ago
TheCitizen09 Apr
Shepolopolo arrive to face Twiga Stars in decisive tie
Zambia’s Shepolopolo jetted into the country yesterday ready for the second leg of the All Africa Games (AAG) against Twiga Stars tomorrow.
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Twiga Stars kuikabili She-polopolo
Twiga Stars,itashuka dimbani kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuwakarisbisha timu ya taifa Zambia 'The She-Polopolo'.
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Simba yarudi Dar kuikabili Gor Mahia
Timu ya Simba inarudi jijini Dar es Salaam kesho kwa ajili ya mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia ya Kenya, utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, huku kocha Patrick Phiri akitarajia kuwatumia washambuliaji wake wapya wa kigeni Mkenya Raphael Kiongera na Mganda Emanuel Okwi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCt29U2YGZojNglH0HTV9QhZSpaIX412LZ9HN0GUUKCg3TI9g6l4TiU1W*NOviwKgqzzoXwYVoG29ZIgq6FMctIV/bbaidris.jpg?width=650)
SAMANTHA WA BBA KUTUA DAR
Mshiriki wa BBA kutoka Afrika Kusini, Samantha. SAMANTHA KUTUA DAR: Mshiriki wa BBA kutoka Afrika Kusini, Samantha leo anatarajiwa kutua nchini kuungana na mshindi wa Mil. 514 za shindano hilo, Idris Sultan!
9 years ago
Habarileo11 Nov
Algeria kutua kesho Dar
WAKATI timu yaTaifa ya Algeria ikitarajiwa kuwasili Dar es Salaam kesho kwa mchezo dhidi ya Taifa Stars, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo huo huku cha chini kikiwa ni Sh 5,000.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania