TWIGA STARS IMEWIVA, SHEPOLOPOLO YATUA
Kikosi cha Twiga Stars. Wakati Zambia (Shepolopolo) imewasili leo mchana (Februari 27 mwaka huu), Twiga Stars imesema mazoezi yamewaingia barabara tayari kwa mechi dhidi ya Wazambia hao itakayochezwa kesho (Februari 28 mwaka huu). Mechi hiyo ya marudiano ya raundi ya kwanza ya michuano ya Afrika kwa Wanawake (AWC) itafanyika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi kuanzia saa 10 kamili jioni, na hakutakuwa na kiingilio....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-y8HBX3UUtH8/Uv_QyaeGDmI/AAAAAAAFNZc/-4-Qd6TPur8/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Twiga stars baada ya mpambano na shepolopolo
![](http://4.bp.blogspot.com/-y8HBX3UUtH8/Uv_QyaeGDmI/AAAAAAAFNZc/-4-Qd6TPur8/s1600/unnamed+(26).jpg)
10 years ago
TheCitizen09 Apr
Shepolopolo arrive to face Twiga Stars in decisive tie
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Kusuka au kunyoa Twiga au Shepolopolo?
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Shepolopolo kutua Dar kuikabili Twiga
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BMkOXfQ7gLc/UvzDWRH4NFI/AAAAAAAFM6U/G6lKWw_CjrU/s72-c/TFF1.jpg)
WIGA STARS YATUA LUSAKA TAYARI KWA MPAMBANO WAO NA ZAMBIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-BMkOXfQ7gLc/UvzDWRH4NFI/AAAAAAAFM6U/G6lKWw_CjrU/s1600/TFF1.jpg)
Kikosi cha wachezaji 19 wa Twiga Stars kimetua Lusaka, Zambia, leo (Februari 13 mwaka huu) huku Kocha Mkuu Rogasian akiahidi ushindani kwenye mechi dhidi ya wenyeji itakayochezwa Uwanja wa Nkoloma.
Kocha Kaijage aliwaambia waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda mara baada ya kikosi chake kutua kwa ndege ya Fastjet saa 3.30 asubuhi kwa saa za Zambia kuwa wamekuja kushindana, na si kushiriki.
Twiga Stars ambayo mara ya mwisho ilikutana na Zambia kwenye...
11 years ago
TheCitizen14 Feb
Twiga Stars out to down Zambians
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Twiga Stars kibaruani
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Twiga Stars yatolewa