WIGA STARS YATUA LUSAKA TAYARI KWA MPAMBANO WAO NA ZAMBIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-BMkOXfQ7gLc/UvzDWRH4NFI/AAAAAAAFM6U/G6lKWw_CjrU/s72-c/TFF1.jpg)
Kikosi cha wachezaji 19 wa Twiga Stars kimetua Lusaka, Zambia, leo (Februari 13 mwaka huu) huku Kocha Mkuu Rogasian akiahidi ushindani kwenye mechi dhidi ya wenyeji itakayochezwa Uwanja wa Nkoloma.
Kocha Kaijage aliwaambia waandishi wa habari kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda mara baada ya kikosi chake kutua kwa ndege ya Fastjet saa 3.30 asubuhi kwa saa za Zambia kuwa wamekuja kushindana, na si kushiriki.
Twiga Stars ambayo mara ya mwisho ilikutana na Zambia kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi14 Feb
TWIGA STARS YALALA 2-1 KWA ZAMBIA LEO JIJINI LUSAKA
Hadi dakika 45 za kwanza zinamalizika katika mechi hiyo iliyochezeshwa na mwamuzi Salma Mukansanga timu hizo zilikuwa suluhu.
Wenyeji ndiyo walianza kupata bao lililofungwa na Hellen Mubanga dakika ya 75. Mfungaji huyo aliyeingia kipindi cha pili nchini alimalizia wavuni...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-M2bjPE-MvMg/U812dvQPCpI/AAAAAAAF4iY/jOS87CJ222Y/s72-c/unnamed+(23).jpg)
BALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA MHE GRACE MUJUMA AFUTURISHA WATANZANIA WAISHIO LUSAKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-M2bjPE-MvMg/U812dvQPCpI/AAAAAAAF4iY/jOS87CJ222Y/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-i1fsOMLuPks/U812dyqRm6I/AAAAAAAF4ic/lGSiuLgHB60/s1600/unnamed+(24).jpg)
9 years ago
MichuziTHOMAS MASHALI AMSHINDA FRANCIS CHEKA KWA POINTI KWENYE MPAMBANO WAO MJINI MOROGORO
10 years ago
MichuziRAIS WA BUNGE LA SADC NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA MHE. ANNE MAKINDA ASHIRIKI MISA MAALUM YA KUMWOMBEA ALIYEKUWA RAIS WA ZAMBIA MAREHEMU MICHAEL SATA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE LA ZAMBIA MJINI LUSAKA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7pNmXgu36sQ/U_xOO1LO9jI/AAAAAAAGCeg/iL48VlBEXi0/s72-c/unnamed%2B(88).jpg)
DR. THOMAS KASHILILAH ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI TANZANIA YAFUNGUA OFISI LUSAKA ZAMBIA
Dhumuni kubwa la Mamlaka ya Bandari kufungua ofisi hii Lusaka ni baada ya kuwepo malalamiko kwa upande wa Zambia ambaye ni mteja wake mkubwa ya kuwepo ukiritimba wa utoaji wa mizigo yao. Hivyo Mamlaka ikaona ni vema kuja kufungua ofisi hapa Lusaka.
Sherehe za ufunguzi wa ofisi hii ulihudhuriwa na Mhe Dkt. Charles Tizeba Naibu Waziri wa Uchukuzi na viongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J9ovzJrKufw/VO8mkJTitaI/AAAAAAAHGDE/HpvmffgRWGg/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
JK amtembelea Rais Mstaafu Kaunda wa Zambia jijini Lusaka
![](http://3.bp.blogspot.com/-J9ovzJrKufw/VO8mkJTitaI/AAAAAAAHGDE/HpvmffgRWGg/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IZ7KfYXOvkY/VO8moot-bgI/AAAAAAAHGDg/9KIJ4IK6HYA/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-e-DEfSteOAc/VO8mmdQOpxI/AAAAAAAHGDM/rHfniICHqtY/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Vs8wDvuVEGo/VDwbOC2aElI/AAAAAAAGp6Y/bHi51b_Lveo/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
SHEREHE ZA NYERERE DAY ZAFANA SANA JIJINI LUSAKA, ZAMBIA