Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SAMANTHA WA BBA KUTUA DAR

Mshiriki wa BBA kutoka Afrika Kusini, Samantha. SAMANTHA KUTUA DAR: Mshiriki wa BBA kutoka Afrika Kusini, Samantha leo anatarajiwa kutua nchini kuungana na mshindi wa Mil. 514 za shindano hilo, Idris Sultan!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

SEEN&HEARD: Idris and Samantha are the toast of Dar

>One week after Idris joined the millionaire’s club after winning the BBA Hotshots in South Africa, the 21-year old has scored on another front.

 

10 years ago

Mtanzania

Idris awakwepa washiriki BBA Dar

IDRISNA THERESIA GASPER
MSHIRIKI wa Big Brother Afrika ‘BBA’ Hot Shot 2014 kutoka nchini Namibia, Luis Munana, amemwagia sifa aliyekuwa Miss Tanzania 2016, Wema Sepetu kuwa ni mwenye mvuto wa kipekee.
Lakini licha ya kutoa sifa hizo, mshiriki mwenzao ambaye ndiye mwenyeji wao, Idris Sultan, hakutokea katika sherehe hiyo jambo lililozua minong’ono kwa watu baada ya tetesi kwamba ana ugomvi na Wema Sepetu.
Wema alimwagiwa sifa hizo alipokuwa katika sherehe za Instagram Party katika viwanja vya...

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA BBA HOTSHOTS APOKELEWA KWA KISHINDO JIJINI DAR

Mshindi wa zaidi ya milioni 500 za shindano la Big Brother Hotshots, Idris Sultan baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere muda si mrefu.…

 

9 years ago

Habarileo

Algeria kutua kesho Dar

WAKATI timu yaTaifa ya Algeria ikitarajiwa kuwasili Dar es Salaam kesho kwa mchezo dhidi ya Taifa Stars, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo huo huku cha chini kikiwa ni Sh 5,000.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Real Madrid kutua Dar Agosti 22

WARATIBU wa ziara ya mabingwa wa kihistoria wa michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid ya Hispania, wametangaza rasmi siku ya ujio wa msafara wa nyota 25 na mashabiki...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shepolopolo kutua Dar kuikabili Twiga

Timu ya soka ya wanawake ya Zambia inatarajiwa kuwasili Dar es Salaam Jumatano kwa mechi yake ya marudiano na Twiga Stars.

 

11 years ago

GPL

Tambwe, Kaze kutua Dar kesho

Mshambuliaji  wa kimataifa wa Simba, Gilbert Kaze ( katikati) na Amissi Tambwe (kulia). Na Lucy Mgina
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe na beki wa timu hiyo, Gilbert Kaze, wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam kesho Jumanne tayari kwa kuanza mazoezi na wenzao. Kocha wa Simba, Mcroatia, Zdravok Logarusic, aliwachimba mkwara kwa kudai atawakata mishahara nyota wote ambao walichelewa kujiunga na kikosi...

 

10 years ago

Habarileo

Mtaalamu wa mifupa kutoka India kutua Dar

MTAALAMU wa viungo na mifupa kutoka India Dk Shrirang Deodhar anatarajiwa kuwasili nchini kesho Jumamosi kwa ajili ya kuwafanyia uchunguzi na matibabu watu wanaosumbuliwa na maradhi hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wapinzani wa Yanga na Azam kutua Dar es salaam leo

>Wapinzani wa Yanga timu ya Komorozine de Domoni kutoka Comoro watatua nchini leo tayari kwa mchezo wa Jumamosi wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa Taifa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani