Ulaji fedha za ‘Tokomeza Ujangili’ usirudiwe
Tunaipongeza jumuiya ya kimataifa kwa kuungana na Tanzania katika vita yake dhidi ya ujangili ambao umewaangamiza wanyamapori, wakiwamo tembo kwa kiasi kikubwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Mawaziri 4 wabwagwa sakata la Tokomeza Ujangili
11 years ago
Mwananchi03 May
JK aunda Tume kuchunguza Operesheni Tokomeza Ujangili
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Rais akabidhiwa ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Operesheni Tokomeza Ujangili imeongeza idadi ya walemavu
OPERESHENI Tokomeza Ujangili iliyoendeshwa kinyama, imesababisha ulemavu kwa baadhi ya wananchi. Ilikuwa ikiendeshwa na askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), polisi...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
UNYAMA, UBAKAJI NA MAUAJI: Operesheni Tokomeza Ujangili
OPERESHENI Tokomeza Ujangili imedhihirisha kwamba Tanzania imegeuka Guantanamo na imeacha kuwa ‘kisiwa cha amani’. Hakuna anayefurahia vitendo vya ujangili na uharibifu unaofanywa na majangili dhidi ya mazingira ya asili na...
10 years ago
IPPmedia11 Sep
Inquiry commission on 'Tokomeza Ujangili' starts work next week
IPPmedia
IPPmedia
Finally, the commission picked to inquire into the ill-fate operation, Tokomeza Ujangili (Anti-poaching), will officially starts its work next week after four months of a lull. According to information released to the media yesterday by the Ministry of Constitutional ...
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Wananchi waomba serikali kurudisha oparesheni tokomeza ujangili
Mkuu wa wilaya ya Manyoni, Fatuma Toufiq (wa kwanza kushoto) na anayefuata ni Dc wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda na mkuu wa wilaya mpya ya Ikungi, Manju Masambya (wa tatu kushoto).Picha zote na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Manyoni
SERIKALI wilaya ya Manyoni mkoani Singida imeiomba serikali kuu kuangalia uwezekano wa kurejesha mapema zoezi la oparesheni ‘tokomeza ujangili’, ili kudhibiti kasi kubwa iliyopo ya majangili kuua wanyama pori hasa tembo.
Ombi hilo limetolewa hivi...
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Shindikilagi ya Sungusungu ilivyotumika kwa mauaji ‘Operesheni Tokomeza Ujangili’