Mawaziri 4 wabwagwa sakata la Tokomeza Ujangili
Dar es Salaam/Dodoma. Rais Jakaya Kikwete leo ametengua uteuzi wa mawaziri wanne kufuatia shutuma nzito dhidi yao katika sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Aug
Mawaziri wabwagwa
MATOKEO ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.
9 years ago
Habarileo27 Oct
Mawaziri Wassira, Kebwe wabwagwa
MAWAZIRI wawili wa Serikali ya Awamu ya Nne, wamebwagwa katika kinyang’anyiro cha ubunge baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuchukua majimbo ya Bunda Mjini na Serengeti.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Ulaji fedha za ‘Tokomeza Ujangili’ usirudiwe
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
UNYAMA, UBAKAJI NA MAUAJI: Operesheni Tokomeza Ujangili
OPERESHENI Tokomeza Ujangili imedhihirisha kwamba Tanzania imegeuka Guantanamo na imeacha kuwa ‘kisiwa cha amani’. Hakuna anayefurahia vitendo vya ujangili na uharibifu unaofanywa na majangili dhidi ya mazingira ya asili na...
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Rais akabidhiwa ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Operesheni Tokomeza Ujangili imeongeza idadi ya walemavu
OPERESHENI Tokomeza Ujangili iliyoendeshwa kinyama, imesababisha ulemavu kwa baadhi ya wananchi. Ilikuwa ikiendeshwa na askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), polisi...
11 years ago
Mwananchi03 May
JK aunda Tume kuchunguza Operesheni Tokomeza Ujangili
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Wananchi waomba serikali kurudisha oparesheni tokomeza ujangili
Mkuu wa wilaya ya Manyoni, Fatuma Toufiq (wa kwanza kushoto) na anayefuata ni Dc wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda na mkuu wa wilaya mpya ya Ikungi, Manju Masambya (wa tatu kushoto).Picha zote na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Manyoni
SERIKALI wilaya ya Manyoni mkoani Singida imeiomba serikali kuu kuangalia uwezekano wa kurejesha mapema zoezi la oparesheni ‘tokomeza ujangili’, ili kudhibiti kasi kubwa iliyopo ya majangili kuua wanyama pori hasa tembo.
Ombi hilo limetolewa hivi...
10 years ago
IPPmedia11 Sep
Inquiry commission on 'Tokomeza Ujangili' starts work next week
IPPmedia
IPPmedia
Finally, the commission picked to inquire into the ill-fate operation, Tokomeza Ujangili (Anti-poaching), will officially starts its work next week after four months of a lull. According to information released to the media yesterday by the Ministry of Constitutional ...