Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri 4 wabwagwa sakata la Tokomeza Ujangili

Dar es Salaam/Dodoma. Rais Jakaya Kikwete leo ametengua uteuzi wa mawaziri wanne kufuatia shutuma nzito dhidi yao katika sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mawaziri wabwagwa

MATOKEO ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.

 

9 years ago

Habarileo

Mawaziri Wassira, Kebwe wabwagwa

MAWAZIRI wawili wa Serikali ya Awamu ya Nne, wamebwagwa katika kinyang’anyiro cha ubunge baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuchukua majimbo ya Bunda Mjini na Serengeti.

 

11 years ago

Mwananchi

Ulaji fedha za ‘Tokomeza Ujangili’ usirudiwe

Tunaipongeza jumuiya ya kimataifa kwa kuungana na Tanzania katika vita yake dhidi ya ujangili ambao umewaangamiza wanyamapori, wakiwamo tembo kwa kiasi kikubwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UNYAMA, UBAKAJI NA MAUAJI: Operesheni Tokomeza Ujangili

OPERESHENI Tokomeza Ujangili imedhihirisha kwamba Tanzania imegeuka Guantanamo na imeacha kuwa ‘kisiwa cha amani’. Hakuna anayefurahia vitendo vya ujangili na uharibifu unaofanywa na majangili dhidi ya mazingira ya asili na...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais akabidhiwa ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili

Tume iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete Mei Mosi mwaka jana kuchunguza vitendo vilivyotokana na uendeshaji wa Operesheni ya Tokomeza Ujangili ambayo iliwang’oa mawaziri wanne, imemaliza kazi jana na kukabidhi ripoti kwa Rais Jakaya Kikwete, Ikulu, Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Operesheni Tokomeza Ujangili imeongeza idadi ya walemavu

OPERESHENI Tokomeza Ujangili iliyoendeshwa kinyama, imesababisha ulemavu kwa baadhi ya wananchi. Ilikuwa ikiendeshwa na askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), polisi...

 

11 years ago

Mwananchi

JK aunda Tume kuchunguza Operesheni Tokomeza Ujangili

>Rais Jakaya Kikwete ameunda Tume ya Uchunguzi, kuhusu vitendo vilivyotokana na Uendeshaji wa Operesheni Tokomeza.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi waomba serikali kurudisha oparesheni tokomeza ujangili

DSC056171

Mkuu wa wilaya ya Manyoni, Fatuma Toufiq (wa kwanza kushoto) na anayefuata ni Dc wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda na mkuu wa wilaya mpya ya Ikungi, Manju Masambya (wa tatu kushoto).Picha zote na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Manyoni

SERIKALI wilaya ya Manyoni mkoani Singida imeiomba serikali kuu kuangalia uwezekano wa kurejesha mapema zoezi la oparesheni ‘tokomeza ujangili’, ili kudhibiti kasi kubwa iliyopo ya majangili kuua wanyama pori hasa tembo.

Ombi hilo limetolewa hivi...

 

10 years ago

IPPmedia

Inquiry commission on 'Tokomeza Ujangili' starts work next week


IPPmedia
Inquiry commission on 'Tokomeza Ujangili' starts work next week
IPPmedia
Finally, the commission picked to inquire into the ill-fate operation, Tokomeza Ujangili (Anti-poaching), will officially starts its work next week after four months of a lull. According to information released to the media yesterday by the Ministry of Constitutional ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani