Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri Wassira, Kebwe wabwagwa

MAWAZIRI wawili wa Serikali ya Awamu ya Nne, wamebwagwa katika kinyang’anyiro cha ubunge baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuchukua majimbo ya Bunda Mjini na Serengeti.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mawaziri wabwagwa

MATOKEO ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri 4 wabwagwa sakata la Tokomeza Ujangili

Dar es Salaam/Dodoma. Rais Jakaya Kikwete leo ametengua uteuzi wa mawaziri wanne kufuatia shutuma nzito dhidi yao katika sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

11 years ago

Habarileo

Waliomshitaki Pinda wabwagwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyokuwa inamkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwa kuwa waliofungua kesi hiyo hawana haki kisheria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal wabwagwa na Man City 6-3

Manchester City, wametoa ujumbe mkali kwa mahasimu wao kwenye ligi ya Premier Arsenal baada ya kuwacharaza mabao sita kwa matatu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Kebwe azindua ‘Tuimarishe Afya’

NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Kebwe Stephen, amezindua mradi ujulikanao kama ‘Tuimarishe Afya’ mkoani hapa, akisema Tanzania inashika nafasi ya pili barani Afrika katika usambazaji dawa...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Kebwe kupinga matokeo mahakamani

Siku chache tu baada ya Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii dk Stephen Kebwe kubwagwa na mgombea  wa Chadema katika uchaguzi wa wabunge jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara,amesema anakata rufaa.

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Kebwe afurahia Ukawa kutoelewana Serengeti

NA BENJAMIN MASESE

KEBWE-22April2015MGOMBEA  ubunge   Serengeti kwa tiketi ya CCM, Dk. Steven Kebwe   amesema anafurahia kuona Ukawa ukishindwa kuelewana na chama kinachosimamisha mgombea   Serengeti.

Amesema hadi sasa vyama hivyo vipo katika mvutano mkubwa kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha NCCR Mageuzi na Chama cha Wananchi (CUF), kitendo ambacho kimesababisha kuwapo   makundi.

Akizungumza na MTANZANIA jana kwa   simu kuhusu  siku anayotarajia kuzindua kampeni jimboni humo, Dk....

 

11 years ago

TheCitizen

20,000 plus fistula cases treated in a year: Kebwe

>A total of 21,605 women, who were suffering from fistula, had been operated on for the past one year, the government said yesterday.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kebwe: Ustawi wa jamii si kusuluhisha ndoa pekee

NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Kebwe Stephe Kebwe, amesema ustawi wa jamii haupo kwa ajili ya kusuluhisha masuala ya ndoa pekee, bali kuna mambo mbalimbali kama msongo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani