Dk. Kebwe azindua ‘Tuimarishe Afya’
NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Kebwe Stephen, amezindua mradi ujulikanao kama ‘Tuimarishe Afya’ mkoani hapa, akisema Tanzania inashika nafasi ya pili barani Afrika katika usambazaji dawa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Mradi wa Tuimarishe Afya wapongezwa
MRADI wa Health Promotion and System Strengthening (HPSS), ambao pia unajulikana kama ‘Tuimarishe Afya Project’ unaofadhiliwa na serikali ya Uswisi, umepongezwa kwa kuwa moja ya miradi saidizi katika kuimarisha afya...
10 years ago
Vijimambo07 Jun
NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII,DK STEPHEN KEBWE AHITIMISHA KAMPENI YA FISTULA MJINI DODOMAâ€
![](http://api.ning.com/files/Bsue-*vlnnbc2SKozOrKel2VFCrkfDgYktZ7HwCtz1-G8rFuHbO*CrBShOOKi8*iq8PC4RM3muMaqqzjKgrEJSmSJjPyxhJt/fistulawasanii.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/Bsue-*vlnna7D76s*te7z2wRLNeikuiiFyYUKUZAKKYhbRZFmhCe034cr3jPtmUQ5amxdY0RTsflDpIQ11rKdjoLA6l3O82E/fistulawasanii_02.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bsue-*vlnnbc2SKozOrKel2VFCrkfDgYktZ7HwCtz1-G8rFuHbO*CrBShOOKi8*iq8PC4RM3muMaqqzjKgrEJSmSJjPyxhJt/fistulawasanii.jpg?width=650)
NAIBU WAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII,DK STEPHEN KEBWE AHITIMISHA KAMPENI YA FISTULA MJINI DODOMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s72-c/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s640/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b5c06735-ef65-4901-9094-4edc9a418852-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/09a3b3d2-a405-43e5-9eca-2d4b6b034c1a-1024x683.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Aug
JK azindua huduma ya afya mtandao
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
RAIS Jakaya Kikwete amezindua mradi mpya wa huduma ya afya kwa njia ya mtandao (Telemedicine) katika kituo cha afya cha Mwaya, wilayani Ulanga.
Mradi huo ni moja ya utekelezaji wa sera ya afya ya mwaka 2007 na una lengo la kuboresha huduma za afya vijijini ili kupunguza vifo vya watoto wenye umri chini ya imaka mitano na wajawazito.
Rais alisema huduma hizo zitasaidia kutatua matatizo yaliyoshindikana katika zahanati na kwamba watahakikisha huduam zote muhimu...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Dk. Seif azindua bodi ya ushauri huduma za afya
WAJUMBE wapya wa bodi ya ushauri ya uongozi wa hospitali binafsi, wametakiwa kuhakikisha sheria inayosimamia vituo vya kutolea huduma za afya inafanyiwa maboresho ili usimamizi uwe na ufanisi zaidi. Akizungumza...
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Waziri Fenella azindua wiki ya Afya ya Kinywa na Meno
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (MB) (wapili kutoka kushoto) akiwa katika matembezi ya amani ikiwa ni katika hafla ya uzinduzi wa Wiki ya Afya ya Kinywa na Meno jana jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (MB) katikati akiingia katika viwanja vya Salender Bridge Club wmara baada ya kumalizika kwa matembezi ya amani yaliyolenga kuhamasisha umma kuhusu kujali afya zao jana jijini Dar es...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AZINDUA BARAZA LA WAUGUZI NA WAKUNGA
Akizungumza katika uzinduzi rasmi wa Baraza Wauguzi na Wakunga katika Chuo cha Sayanzi ya Afya Mbweni, Waziri Rashid Seif amesema wauguzi na wakunga ni walezi wanaoshughulikia matatizo ya watu hivyo wanatakiwa kutekeleza wajibu wao kwa uadilifu.
Amesema ...