Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mradi wa Tuimarishe Afya wapongezwa

MRADI wa Health Promotion and System Strengthening (HPSS), ambao pia unajulikana kama ‘Tuimarishe Afya Project’ unaofadhiliwa na serikali ya Uswisi, umepongezwa kwa kuwa moja ya miradi saidizi katika kuimarisha afya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Kebwe azindua ‘Tuimarishe Afya’

NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Kebwe Stephen, amezindua mradi ujulikanao kama ‘Tuimarishe Afya’ mkoani hapa, akisema Tanzania inashika nafasi ya pili barani Afrika katika usambazaji dawa...

 

11 years ago

Habarileo

Wawekezaji wapongezwa kuimarisha sekta ya afya

WAWEKEZAJI wamepongezwa kwa kushirikiana na jamii katika kujenga miradi mbalimbali ambayo itasaidia kuleta maendeleo na kuimarisha Sekta ya Afya. Kauli hiyo ilitolewa na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi alipofungua hospitali ya kisasa ya akinamama wajawazito katika eneo la Pwani Mchangani Mkoa wa Kaskazini Unguja.

 

11 years ago

Michuzi

MRADI WA PROSPER KURUDISHA SHULENI WATOTO WALIOKOSA ELIMU SIKONGE WAPONGEZWA

Na Allan Ntana, Sikonge   MWENYEKITI wa halmashauri ya wilaya ya Sikonge mkoani Tabora Robert Kamoga amepongeza jitihada zinazofanywa na mradi wa PROSPER katika kutokomeza utumikishwaji watoto katika shughuli za kilimo huku akisifu utaratibu wa kurudishwa shule watoto wote waliokosa nafasi hiyo.   Kamoga ametoa pongezi hizo alipokuwa akizungumza na mamia ya wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya siku ya kupinga utumikishwaji watoto iliyofanyika kimkoa katika kijiji cha Udongo kata ya...

 

11 years ago

Habarileo

Mradi wa kinga ya afya wanufaisha Nachingwea

VIJIJI 21 katika wilaya za Nachingwea na Masasi vimepatiwa dawa, pembejeo za kilimo na mifugo ya mbuzi na ng’ombe wa maziwa na kuchimba visima vya maji vifupi na virefu, kupitia mradi wa kinga ya afya na uhakika wa chakula.

 

10 years ago

Dewji Blog

Dk. Parseko Kone afunga mradi wa TMEP Singida na kuwaasa vijana kuzingatia elimu ya afya

DSC04581

Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la Health Actions Promotions Association (HAPA), David Mnkaje, akitoa taarifa yake juu ya kumalizika kwa mradi wa ushiriki sawa kwa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia (TMEP) mbele ya wadau waliofanikisha mradi huo wa miaka mine uliomalizika mwaka jana.Wa pili kushoto ni kaimu katibu tawala sekretarieti mkoa wa Singida Tiluganilwa Mayunga na wa kwanza kushoto ni meneja wa mradi wa TMEP,Cuthbert Maendaenda.

DSC04584

Kaimu Katibu Tawala miundo...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuimarishe mafundisho ya dini kulea watoto wetu

Mwandishi mmoja wa gazeti hili aliwahi kuandika makala kuhusu nafasi ya mafunzo ya dini katika kuliandaa Taifa lenye maadili mema.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuimarishe matumizi ya kamera za CCTV kwa usalama wetu

Siku moja nilikuwa niko safarini nikaona basi lililokuwa linakuja mbele yangu likilipita jingine kwa mwendo wa kasi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani