Mradi wa Tuimarishe Afya wapongezwa
MRADI wa Health Promotion and System Strengthening (HPSS), ambao pia unajulikana kama ‘Tuimarishe Afya Project’ unaofadhiliwa na serikali ya Uswisi, umepongezwa kwa kuwa moja ya miradi saidizi katika kuimarisha afya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Dk. Kebwe azindua ‘Tuimarishe Afya’
NAIBU Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Kebwe Stephen, amezindua mradi ujulikanao kama ‘Tuimarishe Afya’ mkoani hapa, akisema Tanzania inashika nafasi ya pili barani Afrika katika usambazaji dawa...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Wawekezaji wapongezwa kuimarisha sekta ya afya
WAWEKEZAJI wamepongezwa kwa kushirikiana na jamii katika kujenga miradi mbalimbali ambayo itasaidia kuleta maendeleo na kuimarisha Sekta ya Afya. Kauli hiyo ilitolewa na Makamu wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi alipofungua hospitali ya kisasa ya akinamama wajawazito katika eneo la Pwani Mchangani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_ovq2s9L66w/U53ZPakpUBI/AAAAAAAFqyA/I7VKNU9yZ6A/s72-c/unnamed+(34).jpg)
MRADI WA PROSPER KURUDISHA SHULENI WATOTO WALIOKOSA ELIMU SIKONGE WAPONGEZWA
11 years ago
Habarileo07 Jun
Mradi wa kinga ya afya wanufaisha Nachingwea
VIJIJI 21 katika wilaya za Nachingwea na Masasi vimepatiwa dawa, pembejeo za kilimo na mifugo ya mbuzi na ng’ombe wa maziwa na kuchimba visima vya maji vifupi na virefu, kupitia mradi wa kinga ya afya na uhakika wa chakula.
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Dk. Parseko Kone afunga mradi wa TMEP Singida na kuwaasa vijana kuzingatia elimu ya afya
Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la Health Actions Promotions Association (HAPA), David Mnkaje, akitoa taarifa yake juu ya kumalizika kwa mradi wa ushiriki sawa kwa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia (TMEP) mbele ya wadau waliofanikisha mradi huo wa miaka mine uliomalizika mwaka jana.Wa pili kushoto ni kaimu katibu tawala sekretarieti mkoa wa Singida Tiluganilwa Mayunga na wa kwanza kushoto ni meneja wa mradi wa TMEP,Cuthbert Maendaenda.
Kaimu Katibu Tawala miundo...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Tuimarishe mafundisho ya dini kulea watoto wetu
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Tuimarishe matumizi ya kamera za CCTV kwa usalama wetu