Mradi wa kinga ya afya wanufaisha Nachingwea
VIJIJI 21 katika wilaya za Nachingwea na Masasi vimepatiwa dawa, pembejeo za kilimo na mifugo ya mbuzi na ng’ombe wa maziwa na kuchimba visima vya maji vifupi na virefu, kupitia mradi wa kinga ya afya na uhakika wa chakula.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 May
Mradi wanufaisha maelfu ya wasichana Mtwara
WASICHANA wa mkoani Mtwara wamefaidika na elimu ya afya na vifaa, vitakavyowasaidia kujisitiri wakati wa hedhi. Elimu hii na msaada vimetolewa kupitia mradi wa Hakuna Wasichoweza, unaotekelezwa na asasi ya T-MARC Tanzania.
11 years ago
Habarileo26 Jul
Mradi mkubwa wa maji Masasi -Nachingwea wazinduliwa
KERO ya miaka mingi ya uhaba mkubwa wa maji kwa wakazi wa miji ya Masasi, mkoani Mtwara na Nachingwea, mkoani Lindi, hatimaye imemalizika baada ya kuzinduliwa kwa mradi mkubwa ambao unatoa huduma ya maji kwa wakazi wa miji hiyo.
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AKIZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI NACHINGWEA, MASASI, WAZIRI CHIKAWE AMSHUKURU
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Tezi kibofu, afya na kinga ya maradhi yanayotukabili -sehemu ya 1
10 years ago
GPLBIMA YA AFYA YA KUWAPATIA KINGA WAENDESHA BODABODA YAZINDULIWA
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar atoa tahadhari juu ya ugonjwa wa KIPINDUPINDU.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake.
Mkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini kwake Wizara ya Afya juu tahadhari ya ukonjwa wa Kipindupindu hivyo amewashauri wananchi kununua chakula kilicho hifadhiwa vizuri ama chakula kimoto na kujiepusha kutumia juice zinazotengenezwa kienyeji. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar
[ZANZIBAR]....
5 years ago
MichuziWORLD VISION TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA KUWAKINGA NA CORONA WATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA
Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa vifaa tiba na kinga vyenye thamani ya shilingi milioni 29 kwa ajili ya kusaidia watumishi wa sekta ya afya katika mkoa wa Shinyanga kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona ‘Covid 19’ wanapohudumia wagonjwa.
Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Ijumaa Mei 8, 2020 na Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa John Massenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Massenza alisema wao kama...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Mradi wa Tuimarishe Afya wapongezwa
MRADI wa Health Promotion and System Strengthening (HPSS), ambao pia unajulikana kama ‘Tuimarishe Afya Project’ unaofadhiliwa na serikali ya Uswisi, umepongezwa kwa kuwa moja ya miradi saidizi katika kuimarisha afya...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mpango wa NHIF wanufaisha wananchi 4,200
WATANZANIA 4,200 kutoka mikoa mitano nchini wamenufaika na mpango wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wa kupeleka madaktari bingwa mikoani. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10