Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mradi wa kinga ya afya wanufaisha Nachingwea

VIJIJI 21 katika wilaya za Nachingwea na Masasi vimepatiwa dawa, pembejeo za kilimo na mifugo ya mbuzi na ng’ombe wa maziwa na kuchimba visima vya maji vifupi na virefu, kupitia mradi wa kinga ya afya na uhakika wa chakula.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mradi wanufaisha maelfu ya wasichana Mtwara

WASICHANA wa mkoani Mtwara wamefaidika na elimu ya afya na vifaa, vitakavyowasaidia kujisitiri wakati wa hedhi. Elimu hii na msaada vimetolewa kupitia mradi wa Hakuna Wasichoweza, unaotekelezwa na asasi ya T-MARC Tanzania.

 

11 years ago

Habarileo

Mradi mkubwa wa maji Masasi -Nachingwea wazinduliwa

KERO ya miaka mingi ya uhaba mkubwa wa maji kwa wakazi wa miji ya Masasi, mkoani Mtwara na Nachingwea, mkoani Lindi, hatimaye imemalizika baada ya kuzinduliwa kwa mradi mkubwa ambao unatoa huduma ya maji kwa wakazi wa miji hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKIZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI NACHINGWEA, MASASI, WAZIRI CHIKAWE AMSHUKURU

Rais Jakaya Kikwete (katikati) akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mradi mkubwa wa Maji kwa upande wa Wilaya ya Nachingwea katika Kijiji cha Chiumbati mkoani Lindi. Mradi huo mkubwa wenye thamani ya Shilingi Bilioni 34.6 pia unajumlisha Wilaya ya Masasi iliyopo Mkoa wa Mtwara. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe. Wapili kushoto ni Waziri wa Maji, Prof Jumanne Magembe, na kushoto ni Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete.

 

10 years ago

Mwananchi

Tezi kibofu, afya na kinga ya maradhi yanayotukabili -sehemu ya 1

Wiki hii, Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete, alikuwa Marekani kufanyiwa matibabu ya tezi ya uume, hospitali ya John Hopkins, Baltimore. Kitakwimu maradhi haya huwafika asilimia 45 ya wanaume walioshapitisha miaka 60.

 

10 years ago

GPL

BIMA YA AFYA YA KUWAPATIA KINGA WAENDESHA BODABODA YAZINDULIWA

Mkuu wa Kitengo cha Elimu na Mafunzo kutoka Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani ACP Abel Swai (kushoto) akiteta jambo na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Nje wa Vodacom Rosalynn Mworia (kulia) wakati wa hafla ya uzinduzi wa bima ya waendesha pikipiki (bodaboda) iliyofanyika katika viwanja vya TCC Chang’ombe jijini. Hafla hiyo ya uzinduzi ilidhaminiwa na Vodacom Tanzania.…

...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkurugenzi Kinga na Elimu ya Afya Zanzibar atoa tahadhari juu ya ugonjwa wa KIPINDUPINDU.

KIPINDUWMkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari  Ofisini kwake.

KIPINDUZMkurugenzi Kinga na elimu ya afya Dkt. Mohd Dahoma akizungumza na waandishi wa Habari  Ofisini kwake Wizara ya Afya juu tahadhari ya ukonjwa wa Kipindupindu hivyo amewashauri wananchi kununua chakula kilicho hifadhiwa vizuri ama chakula kimoto na kujiepusha kutumia juice zinazotengenezwa kienyeji. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar 

[ZANZIBAR]....

 

5 years ago

Michuzi

WORLD VISION TANZANIA YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA NA KINGA KUWAKINGA NA CORONA WATOA HUDUMA ZA AFYA SHINYANGA


Shirika la World Vision Tanzania limetoa msaada wa vifaa tiba na kinga vyenye thamani ya shilingi milioni 29 kwa ajili ya kusaidia watumishi wa sekta ya afya katika mkoa wa Shinyanga kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya Corona ‘Covid 19’ wanapohudumia wagonjwa.

Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Ijumaa Mei 8, 2020 na Meneja wa World Vision Tanzania Kanda ya Ziwa John Massenza kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga.
Massenza alisema wao kama...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa Tuimarishe Afya wapongezwa

MRADI wa Health Promotion and System Strengthening (HPSS), ambao pia unajulikana kama ‘Tuimarishe Afya Project’ unaofadhiliwa na serikali ya Uswisi, umepongezwa kwa kuwa moja ya miradi saidizi katika kuimarisha afya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mpango wa NHIF wanufaisha wananchi 4,200

WATANZANIA 4,200 kutoka mikoa mitano nchini wamenufaika na mpango wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wa kupeleka madaktari bingwa mikoani. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani