Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BIMA YA AFYA YA KUWAPATIA KINGA WAENDESHA BODABODA YAZINDULIWA

Mkuu wa Kitengo cha Elimu na Mafunzo kutoka Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani ACP Abel Swai (kushoto) akiteta jambo na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Nje wa Vodacom Rosalynn Mworia (kulia) wakati wa hafla ya uzinduzi wa bima ya waendesha pikipiki (bodaboda) iliyofanyika katika viwanja vya TCC Chang’ombe jijini. Hafla hiyo ya uzinduzi ilidhaminiwa na Vodacom Tanzania.…

...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

waendesha bodaboda lindi wapatiwa mafunzo, wapima afya kwa hiari

Na Abdulaziz Video, Lindi Mfuko wa Afya Ya Jamii (CHF)Kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi wamewezesha kupimwa kwa Afya za Madereva Boda boda wa kata ya Kiwalala wilayani Lindi baada ya kufuzu mafunzo ya Udereva. Mafunzo yaliyotolewa chini ya Mpango shirikishi wa Polisi Jamii Mkoani Humo. Akiongea na madereva Boda boda mara baada ya kuwatunuku vyeti vya kufuzu mafunzo hayo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,Kamishna Msaidizi Renatha Mzinga ametoa wito kwa wahitimu hao kujali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA kuwasaidia waendesha bodaboda

BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limeahidi kuwasaidia waendesha bodaboda waliozuiwa kufanya shughuli zao katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Wiki chache zilizopita, Serikali ya...

 

10 years ago

Habarileo

Waendesha bodaboda Mbeya waonywa

WAENDESHA bodaboda jijini Mbeya wametakiwa kuitumia kazi hiyo kujiletea maendeleo badala ya kukubali kutumika na wanasiasa wachache kuvuruga amani iliyopo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Maisha ya waendesha Bodaboda hatarini

2

Ofisa wa Jeshi la Polisi Jijini Dar es Salaam akichukua funguo za Pikipiki wakati wa zoezi endelevu la kuwakamata waendesha Bodaboda, Zoezi hili kwa kiasi kikubwa limeongeza uhalifu mitaani.(Picha na maktaba).

Na Mwandishi wetu

Operesheni ya kukamata Pikipiki maarufu kama bodaboda zinazoingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam, imedaiwa kuhatarisha maisha ya watu kutokana na polisi kutozingatia usalama wa wapanda pikipiki hao wanapowakamata na kuwasababishia ajali.

Baadhi ya waandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waendesha bodaboda wafa ajalini

WAENDESHA pikipiki wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika ajali tofauti. Akielezea ajali hizo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema dereva wa pikipiki ‘bodaboda’,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

PSPF yawafikia wasanii na waendesha bodaboda

WASANII, waendesha bodaboda pamoja na wadau wengine kutoka sekta binafsi, jana walinufaika na huduma iliyotolewa na Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) katika Tamasha la Waendesha Bodaboda lililofanyika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Apec kuzindua baraza la waendesha bodaboda

SHIRIKA la Kupunguza Umaskini na Kutunza Mazingira nchini (APEC), linajiandaa kuzindua Baraza la Taifa la Waendesha Bodaboda nchini Desemba 15 mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Michuzi

Waziri wa Afya atembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya jijini Dar

Kaimu Mkurugezi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Hamis Mdee akimkabidhi Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt. Seif Rashid nakala ya Taarifa ya Utekelezaji wa Mfuko huo,wakati wa ziara ya Waziri kwenye Ofisi za Mfuko huo,jijini Dar es Salaam. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt. Seif Rashid akizungumza na watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (hawapo pichani) wakati alipotembelea Ofisi za Mfuko huo,jijini Dar es Salaam. Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dkt. Seif Rashid...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waendesha bodaboda Ilala kuandamana hadi Ikulu

SAM_3651

Afisa Habari wa Bodaboda Wilaya ya Ilala, Abdallah Bakari ‘Dullah’ akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar.

Na Andrew Chale

Waendesha Bodaboda Wilaya ya Ilala wamepanga kuandamana hadi Ikulu kuonana n Rais kwa ajili ya kutoa malalamiko yao dhidi ya Mkurugenzi wa Jiji, Meya na Mkuu wa Mkoa kwa kile wanachodai viogozi hao kushindwa kudhibiti vitendo vya manyanyaso wanavyofanyiwa na askari mgambo wa jiji ambao wamekuwa wakiwakamata pamoja na kupora Pikipiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani