BIMA YA AFYA YA KUWAPATIA KINGA WAENDESHA BODABODA YAZINDULIWA
![](http://api.ning.com:80/files/M2P*yMJoo7Ne2ZbOf1wVF9aXjWosKlUeX7*18RjgBLlWrAHOjRVkN*Qt64Wh1JiiX2XB9QJAoJWg9F7ZeCKQht3OprSz6fss/001.jpg?width=650)
Mkuu wa Kitengo cha Elimu na Mafunzo kutoka Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani ACP Abel Swai (kushoto) akiteta jambo na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Nje wa Vodacom Rosalynn Mworia (kulia) wakati wa hafla ya uzinduzi wa bima ya waendesha pikipiki (bodaboda) iliyofanyika katika viwanja vya TCC Chang’ombe jijini. Hafla hiyo ya uzinduzi ilidhaminiwa na Vodacom Tanzania.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8JpRgSiJD2c/U0U_QCBt8gI/AAAAAAAFZbg/ZrZuPBYAA_c/s72-c/unnamed+(14).jpg)
waendesha bodaboda lindi wapatiwa mafunzo, wapima afya kwa hiari
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
BAVICHA kuwasaidia waendesha bodaboda
BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA), limeahidi kuwasaidia waendesha bodaboda waliozuiwa kufanya shughuli zao katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Wiki chache zilizopita, Serikali ya...
10 years ago
Habarileo03 Feb
Waendesha bodaboda Mbeya waonywa
WAENDESHA bodaboda jijini Mbeya wametakiwa kuitumia kazi hiyo kujiletea maendeleo badala ya kukubali kutumika na wanasiasa wachache kuvuruga amani iliyopo.
11 years ago
Dewji Blog09 Aug
Maisha ya waendesha Bodaboda hatarini
Ofisa wa Jeshi la Polisi Jijini Dar es Salaam akichukua funguo za Pikipiki wakati wa zoezi endelevu la kuwakamata waendesha Bodaboda, Zoezi hili kwa kiasi kikubwa limeongeza uhalifu mitaani.(Picha na maktaba).
Na Mwandishi wetu
Operesheni ya kukamata Pikipiki maarufu kama bodaboda zinazoingia katikati ya Jiji la Dar es Salaam, imedaiwa kuhatarisha maisha ya watu kutokana na polisi kutozingatia usalama wa wapanda pikipiki hao wanapowakamata na kuwasababishia ajali.
Baadhi ya waandishi wa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Waendesha bodaboda wafa ajalini
WAENDESHA pikipiki wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika ajali tofauti. Akielezea ajali hizo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema dereva wa pikipiki ‘bodaboda’,...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
PSPF yawafikia wasanii na waendesha bodaboda
WASANII, waendesha bodaboda pamoja na wadau wengine kutoka sekta binafsi, jana walinufaika na huduma iliyotolewa na Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF) katika Tamasha la Waendesha Bodaboda lililofanyika...
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Apec kuzindua baraza la waendesha bodaboda
SHIRIKA la Kupunguza Umaskini na Kutunza Mazingira nchini (APEC), linajiandaa kuzindua Baraza la Taifa la Waendesha Bodaboda nchini Desemba 15 mwaka huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam...
11 years ago
MichuziWaziri wa Afya atembelea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya jijini Dar
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Waendesha bodaboda Ilala kuandamana hadi Ikulu
Afisa Habari wa Bodaboda Wilaya ya Ilala, Abdallah Bakari ‘Dullah’ akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar.
Na Andrew Chale
Waendesha Bodaboda Wilaya ya Ilala wamepanga kuandamana hadi Ikulu kuonana n Rais kwa ajili ya kutoa malalamiko yao dhidi ya Mkurugenzi wa Jiji, Meya na Mkuu wa Mkoa kwa kile wanachodai viogozi hao kushindwa kudhibiti vitendo vya manyanyaso wanavyofanyiwa na askari mgambo wa jiji ambao wamekuwa wakiwakamata pamoja na kupora Pikipiki...