RAIS KIKWETE AKIZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI NACHINGWEA, MASASI, WAZIRI CHIKAWE AMSHUKURU
![](http://3.bp.blogspot.com/-3eJWNPCjWYA/U9IlFnPbF-I/AAAAAAAF6Ak/GCeSQh85fiA/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Rais Jakaya Kikwete (katikati) akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Mradi mkubwa wa Maji kwa upande wa Wilaya ya Nachingwea katika Kijiji cha Chiumbati mkoani Lindi. Mradi huo mkubwa wenye thamani ya Shilingi Bilioni 34.6 pia unajumlisha Wilaya ya Masasi iliyopo Mkoa wa Mtwara. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe. Wapili kushoto ni Waziri wa Maji, Prof Jumanne Magembe, na kushoto ni Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Jul
Mradi mkubwa wa maji Masasi -Nachingwea wazinduliwa
KERO ya miaka mingi ya uhaba mkubwa wa maji kwa wakazi wa miji ya Masasi, mkoani Mtwara na Nachingwea, mkoani Lindi, hatimaye imemalizika baada ya kuzinduliwa kwa mradi mkubwa ambao unatoa huduma ya maji kwa wakazi wa miji hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bLf6taEHR2E/U_hU9fhazgI/AAAAAAAGBnU/_nRKy3-KaYE/s72-c/u10.jpg)
Rais Kikwete azindua mradi mkubwa wa maji morogoro, awataka viongozi waache woga katika kusimamia sheria
![](http://2.bp.blogspot.com/-bLf6taEHR2E/U_hU9fhazgI/AAAAAAAGBnU/_nRKy3-KaYE/s1600/u10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DizsFs4igeI/U_hVYYbxHcI/AAAAAAAGBnc/m09Z4afSpJw/s1600/u12.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iP2mKrWAGnM/U_hXrlAE8iI/AAAAAAAGBpc/18UkHjE6C-A/s1600/u26.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kPm-iNPMWIs/U_hX3W0HFPI/AAAAAAAGBps/G5uVS_t2grM/s1600/u27.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YRUzuGeZk9g/VdTlI8djt9I/AAAAAAAHyVg/5DmJ5F1CP6o/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Naibu waziri wa maji akagua ujenzi wa mradi mkubwa wa maji Bunda
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAJI AMOSI MAKALA ATEMBELEA ENEO LA MRADI MKUBWA WA MAJI WA MWANGA/KOROGWE.
PICHA ZAIDI...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vXGadZUqlWU/VcaxGqTakNI/AAAAAAAAjoo/ITjO-tPZSgw/s72-c/12.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI SAFI MKOANI LINDI,AWAAGA WANANCHI WA LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-vXGadZUqlWU/VcaxGqTakNI/AAAAAAAAjoo/ITjO-tPZSgw/s640/12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p4G-gnmk8Cw/VcaxHM1SuyI/AAAAAAAAjos/yx-4BHGbhmg/s640/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-m5ULtBA7jpA/Vca4qJQ_n6I/AAAAAAAAjqE/lAmZ6lJ2V9k/s640/08.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-YSbZ-gToqN0/VTtAnpZV86I/AAAAAAAA7fg/-3nKYZwi5f4/s72-c/AMI%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MH AMOS MAKALLA AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI KIJIJI CHA MKONGO NAKAWALE
![](http://1.bp.blogspot.com/-YSbZ-gToqN0/VTtAnpZV86I/AAAAAAAA7fg/-3nKYZwi5f4/s1600/AMI%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Maji, Mh Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Namtumbo pamoja na mambo mengine amezindua mradi mkubwa Maji kijiji cha Mkongo Nakawale ambao watu zaidi ya 4000 wanapata Maji safi.
Aidha amekagua mradi wa Maji Milonji na ametoa agizo hadi kufikia tarehe 12 mei mwaka huu mkandarasi awe amekamilisha kuchimba...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni
![](http://2.bp.blogspot.com/-qf2kJrf2ApE/U_TMnJwScBI/AAAAAAAGA9w/PQH5wIenR2g/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xm1XeshQta4/U_TMnTV5pEI/AAAAAAAGA9s/XI0MMyay-dk/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Jul
KERO YA MAJI: JK atimiza ahadi Masasi, Nachingwea
10 years ago
MichuziMAALIM SEIF AKIZINDUA MRADI WA MAJI SAFI,PEMBA