KERO YA MAJI: JK atimiza ahadi Masasi, Nachingwea
>Rais Jakaya Kikwete amezindua mradi wa maji wa Mbwinji unaotoa huduma kwa wakazi wilayani hapa na Nachingwea mkoani Lindi na kulifanya tatizo hilo sugu la ukosefu wa maji lililokuwa linawakabili wakazi wa wilaya hizo kuwa historia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Jul
Mradi mkubwa wa maji Masasi -Nachingwea wazinduliwa
KERO ya miaka mingi ya uhaba mkubwa wa maji kwa wakazi wa miji ya Masasi, mkoani Mtwara na Nachingwea, mkoani Lindi, hatimaye imemalizika baada ya kuzinduliwa kwa mradi mkubwa ambao unatoa huduma ya maji kwa wakazi wa miji hiyo.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3eJWNPCjWYA/U9IlFnPbF-I/AAAAAAAF6Ak/GCeSQh85fiA/s72-c/unnamed+(17).jpg)
RAIS KIKWETE AKIZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI NACHINGWEA, MASASI, WAZIRI CHIKAWE AMSHUKURU
![](http://3.bp.blogspot.com/-3eJWNPCjWYA/U9IlFnPbF-I/AAAAAAAF6Ak/GCeSQh85fiA/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9ho_YlzI_FE/U9IlGPeqHvI/AAAAAAAF6Aw/cWG0zlz5YlI/s1600/unnamed+(18).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Diamond atimiza ahadi
HATIMAYE mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ ametimiza ahadi ya kuwasomesha watoto ambao walishinda shindano la kucheza mtindo wake wa ‘Ngololo’ katika sherehe alizoziandaa maalumu...
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
JK atimiza ahadi kwa wasanii nchini
Terrence J. (Jenkins).
Ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa wasanii wa Tanzania kuwa atachangia kuinua kiwango cha ujuzi na weledi wao kwa kuwaandalia mafunzo yatayoendeshwa na magwiji wa sanaa kutoka Marekani sasa imetimia.
Akizindua Kampeni ya Uzalendo kwa Vijana inayoendeshwa na Muungano wa Wasanii Tanzania kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma mwezi uliopita, Juni 14, 2014, Rais Kikwete aliahidi kuchangia kuinua kiwango cha usanii na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-muxvh66Y_Bw/VngJSs5Z0NI/AAAAAAAINsg/tpj-NUgAPTE/s72-c/IMG-20151218-WA0062.jpg)
MBUNGE WA MLALO ATIMIZA AHADI YAKE KWA WANAMLALO
![](http://3.bp.blogspot.com/-muxvh66Y_Bw/VngJSs5Z0NI/AAAAAAAINsg/tpj-NUgAPTE/s640/IMG-20151218-WA0062.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U-X6y9D40JI/VngJS6mFlPI/AAAAAAAINs4/e-uAEUgakew/s640/IMG-20151218-WA0064.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6jwNOllOjTM/VngJS_cyY5I/AAAAAAAINsk/I1IbgVSpXwc/s640/IMG-20151218-WA0063.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDnEqQYbuL-IPz7nq4-7bmFKoSAykk2V4P15ZHT0iiC07YyNtpZtrzTFYi9B4TaR2ixYqXo2Dkf2VD-IVETsiP3-w1fl8Jka/mvutano.jpg)
DOKII ATIMIZA AHADI YA SHAMBA KWA LUCY KOMBA
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Mwakilishi Jimbo la Kiembe Samaki atimiza ahadi za Kampeni
Mwakilishi wa Jimbo la Kiembe samaki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (wakatikati) wakiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Jimbo la Kiembe Samaki Ramadhan Mrisho wa kushoto, kulia Mwenyekiti wa Kamati ya michezo ya Jimbo hilo Juma Abdul-rabi kabla ya kukabidhi pesa taslim na vifaa vya michezo kwa timu za Jimbo hilo ikiwa ni ahadi aliyoitoa wakati wa kampeni zake hafla hiyo imefanyika katika Hoteli ya Ocean View Mjini Zanzibar.
Diwani wa Jimbo la Kiembe samaki Bw. Gharib Mohamed Addy akizungumza na...
5 years ago
MichuziRC Wangabo atimiza ahadi yake ya kutoa magongo ya kutembelea kwa mlemavu
Mh. Wangabo amesema kuwa katika kongamano hilo lilihudhuriwa na walemavu zaidi ya 700 na kusema kuwa bado kuna wengine ambao wanahitaji...
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Pinda atimiza ahadi yake kwa kukabidhi mizinga 600 Singida
Afisa mwanadamizi wa mamlaka ya misitu kanda ya kati, Joyce akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi mizinga 600 iliyotolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyoahidi mwaka 2013.
Katibu Tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi Mizinga 600 iliyotolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyoahidi mwaka 2013. Aliyeketi ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utallii, Mahamoud Mgimwa.
Naibu Waziri wa Mali asili na utalii, Mahamoud Mgimwa (kulia) akimkabidhi mbunge wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10