DOKII ATIMIZA AHADI YA SHAMBA KWA LUCY KOMBA
![](http://api.ning.com:80/files/aDnEqQYbuL-IPz7nq4-7bmFKoSAykk2V4P15ZHT0iiC07YyNtpZtrzTFYi9B4TaR2ixYqXo2Dkf2VD-IVETsiP3-w1fl8Jka/mvutano.jpg)
Stori: Imelda Mtema  MSANII mkongwe wa filamu Ummy Wenslaus ‘Dokii’ amemkabidhi swahiba wake Lucy Komba, kiwanja chenye ukubwa wa robo hekari, kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani, tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita, ikiwa ni kutekeleza ahadi aliyoitoa kwenye kicheni pati yake. Msanii mkongwe wa filamu Ummy Wenslaus ‘Dokii’. “Mimi naona tunaendana kitabia na Lucy, alinipa kazi moja...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/po*b5pjX*enUW8mbMyqmnyOJZ4PQteRetaCGhXcKqaNHRuub4gEOjihfxLHAbZexFGTtSlnwmtV*EdzNhHtgGHBcPpfqk-CF/lucy.jpg)
DOKII AMZAWADIA KIWANJA LUCY KOMBA
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
JK atimiza ahadi kwa wasanii nchini
Terrence J. (Jenkins).
Ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa wasanii wa Tanzania kuwa atachangia kuinua kiwango cha ujuzi na weledi wao kwa kuwaandalia mafunzo yatayoendeshwa na magwiji wa sanaa kutoka Marekani sasa imetimia.
Akizindua Kampeni ya Uzalendo kwa Vijana inayoendeshwa na Muungano wa Wasanii Tanzania kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma mwezi uliopita, Juni 14, 2014, Rais Kikwete aliahidi kuchangia kuinua kiwango cha usanii na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-muxvh66Y_Bw/VngJSs5Z0NI/AAAAAAAINsg/tpj-NUgAPTE/s72-c/IMG-20151218-WA0062.jpg)
MBUNGE WA MLALO ATIMIZA AHADI YAKE KWA WANAMLALO
![](http://3.bp.blogspot.com/-muxvh66Y_Bw/VngJSs5Z0NI/AAAAAAAINsg/tpj-NUgAPTE/s640/IMG-20151218-WA0062.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U-X6y9D40JI/VngJS6mFlPI/AAAAAAAINs4/e-uAEUgakew/s640/IMG-20151218-WA0064.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6jwNOllOjTM/VngJS_cyY5I/AAAAAAAINsk/I1IbgVSpXwc/s640/IMG-20151218-WA0063.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Pinda atimiza ahadi yake kwa kukabidhi mizinga 600 Singida
Afisa mwanadamizi wa mamlaka ya misitu kanda ya kati, Joyce akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi mizinga 600 iliyotolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyoahidi mwaka 2013.
Katibu Tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye sherehe ya kukabidhi Mizinga 600 iliyotolewa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyoahidi mwaka 2013. Aliyeketi ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utallii, Mahamoud Mgimwa.
Naibu Waziri wa Mali asili na utalii, Mahamoud Mgimwa (kulia) akimkabidhi mbunge wa...
5 years ago
MichuziRC Wangabo atimiza ahadi yake ya kutoa magongo ya kutembelea kwa mlemavu
Mh. Wangabo amesema kuwa katika kongamano hilo lilihudhuriwa na walemavu zaidi ya 700 na kusema kuwa bado kuna wengine ambao wanahitaji...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0zZcxM0Izc/Xs-zBlKVDKI/AAAAAAALr3E/TX-IGBEEAEUCUCMDSHcwpTmmTyWMHPdqQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS ATIMIZA AHADI YAKE KWA MAAFISA TARAFA MKOA WA SHINYANGA
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainab Telack amekabidhi Pikipiki 14 kwa Maafisa Tarafa wa Mkoa wa Shinyanga kwa lengo la kurahisisha utendaji kazi wao na kuonya kuwa hatarajii kuona pikipiki hizo zikitumika nje ya shughuli za Serikali.
Kiongozi huyo wa Mkoa wa Shinyanga amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais John Pombe Magufuli na kuwataka maafisa tarafa hao kuhakikisha pikipiki hizo zinatunzwa vizuri ili wengine waweze kuzitumia na kuwaonya watendaji hao kutotumia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6Bro0FzpZTo/VNRvbVs_lYI/AAAAAAAHCK4/eEIkI2JXE-w/s72-c/unnamed%2B(49).jpg)
BALOZI SEIF IDD ATIMIZA AHADI YAKE KWA CCM MKOA WA SINGIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6Bro0FzpZTo/VNRvbVs_lYI/AAAAAAAHCK4/eEIkI2JXE-w/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eu94W6pfQVI/VNRvbvmpvjI/AAAAAAAHCK8/1smLFKIgqEY/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATIMIZA AHADI YAKE KWA MAAFISA TARAFA MKOA WA MWANZA
Mongella amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake (ahadi ya Rais Dkt. Magufuli) ya kutoa pikipiki kwa Maafisa Tarafa wote Tanzania aliyoitoa alipokutana na viongozi hao Juni 04, 2019 Ikulu...
11 years ago
MichuziMH: NAMELOK SOKOINE ATIMIZA AHADI YAKE KWA KIKUNDI CHA VIKOBA- ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFOOwvovJLA/U8KalQrs01I/AAAAAAABDAI/8_trhJoUHkQ/s1600/3.jpg)