JK azindua huduma ya afya mtandao
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
RAIS Jakaya Kikwete amezindua mradi mpya wa huduma ya afya kwa njia ya mtandao (Telemedicine) katika kituo cha afya cha Mwaya, wilayani Ulanga.
Mradi huo ni moja ya utekelezaji wa sera ya afya ya mwaka 2007 na una lengo la kuboresha huduma za afya vijijini ili kupunguza vifo vya watoto wenye umri chini ya imaka mitano na wajawazito.
Rais alisema huduma hizo zitasaidia kutatua matatizo yaliyoshindikana katika zahanati na kwamba watahakikisha huduam zote muhimu...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s72-c/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s640/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b5c06735-ef65-4901-9094-4edc9a418852-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/09a3b3d2-a405-43e5-9eca-2d4b6b034c1a-1024x683.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Dk. Seif azindua bodi ya ushauri huduma za afya
WAJUMBE wapya wa bodi ya ushauri ya uongozi wa hospitali binafsi, wametakiwa kuhakikisha sheria inayosimamia vituo vya kutolea huduma za afya inafanyiwa maboresho ili usimamizi uwe na ufanisi zaidi. Akizungumza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Tiifzbr0ql0/XlZ7htbe0-I/AAAAAAAA9CA/vFo-kZB5X5UCku9KAnV9A28SpAn8ghyVwCNcBGAsYHQ/s72-c/F87A2189-2-1-768x343.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AZINDUA AZINDUA MTANDAO WA VIONGOZI WAVAWAKE AFRIKATAWI LA TANAS
![](https://1.bp.blogspot.com/-Tiifzbr0ql0/XlZ7htbe0-I/AAAAAAAA9CA/vFo-kZB5X5UCku9KAnV9A28SpAn8ghyVwCNcBGAsYHQ/s640/F87A2189-2-1-768x343.jpg)
Hayo ameyasema leo jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa Mtandao wa viongozi Wanawake Afrika tawi la Tanzania amesema nchi imekuwa ya 14 katika kuzindua tawi hilo na kesho nchi ya Uganda inatarajia kuzindua hivyo itakuwa nchi ya 15.
Mhe.Samia amesema kuwa kumekuwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaf5Mvqu5oYa-Sld-Ljmi-Uc4UfmSD1ExIvJIrezxUZAoyrZ5cY1sMF2pzygAsErWx7GxnS2BNbIZ4nSg1xXJPvl/1.jpg?width=650)
9 years ago
StarTV22 Dec
Sera Ya Afya Kutotungiwa Sheria yasababisha  Wazee nchini wakosa huduma bora za afya
Kukosekana kwa huduma bora katika sekta ya afya inayowatambua wazee kupata matibabu bora na bure kunatokana na sera ya wazee kutotungiwa sheria tangu mwaka 2003 inayotoa muongozo kwa watendaji wa Serikali na taasisi mbalimbali kuwahudumia.
Licha ya sera hiyo kutoa mwongozo kwa kila zahanati, kituo cha afya na hospitali za wilaya na mkoa kuwa na chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya wazee ikiwemo daktari anayetambua magonjwa yao lakini bado sera hiyo haitekelezwi.
Naibu Mkurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MUONGOZO WA MPANGO HUDUMA ZA AFYA KATIKA JAMII PAMOJA NA MATUMIZI YA DASHBODI YA VIASHIRIA YA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s640/001.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/002.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/003.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy...
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi
. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.
Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.
Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...
9 years ago
Habarileo03 Oct
Kikwete azindua usajili biashara kwa mtandao
RAIS Jakaya Kikwete amezindua huduma ya usajili jina la biashara kwa njia ya mtandao inayotolewa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni Nchini (BRELA), ambayo imeondoa mazingira ya rushwa na kuokoa muda.
10 years ago
GPLMWIGULU AZINDUA MTANDAO WA MATAWI WA UTT MFI