MWIGULU AZINDUA MTANDAO WA MATAWI WA UTT MFI
Mwigulu Nchemba akihutubia wajumbe, wanabodi na wafanyakazi wa UTT katika uzinduzi wa mtandao wa matawi wa UTT MFI. … Akiwa katika picha ya pamoja na wakurugenzi wa bodi na wafanyakazi wa UTT. Baadhi ya…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNaibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba aifagilia UTT Microfinance
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Tiifzbr0ql0/XlZ7htbe0-I/AAAAAAAA9CA/vFo-kZB5X5UCku9KAnV9A28SpAn8ghyVwCNcBGAsYHQ/s72-c/F87A2189-2-1-768x343.jpg)
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AZINDUA AZINDUA MTANDAO WA VIONGOZI WAVAWAKE AFRIKATAWI LA TANAS
![](https://1.bp.blogspot.com/-Tiifzbr0ql0/XlZ7htbe0-I/AAAAAAAA9CA/vFo-kZB5X5UCku9KAnV9A28SpAn8ghyVwCNcBGAsYHQ/s640/F87A2189-2-1-768x343.jpg)
Hayo ameyasema leo jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa Mtandao wa viongozi Wanawake Afrika tawi la Tanzania amesema nchi imekuwa ya 14 katika kuzindua tawi hilo na kesho nchi ya Uganda inatarajia kuzindua hivyo itakuwa nchi ya 15.
Mhe.Samia amesema kuwa kumekuwa na...
10 years ago
VijimamboMRATIBU WA MATAWI YA CCM MAREKANI LOVENESS MAMUYA AZINDUA SHINA JIPYA JIJI LA WASOMI TULSA, OKLAHOMA
10 years ago
VijimamboMWIGULU NCHEMBA AZINDUA HUDUMA MPYA BENKI YA MAENDELEO YA KKKT
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Aug
JK azindua huduma ya afya mtandao
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
RAIS Jakaya Kikwete amezindua mradi mpya wa huduma ya afya kwa njia ya mtandao (Telemedicine) katika kituo cha afya cha Mwaya, wilayani Ulanga.
Mradi huo ni moja ya utekelezaji wa sera ya afya ya mwaka 2007 na una lengo la kuboresha huduma za afya vijijini ili kupunguza vifo vya watoto wenye umri chini ya imaka mitano na wajawazito.
Rais alisema huduma hizo zitasaidia kutatua matatizo yaliyoshindikana katika zahanati na kwamba watahakikisha huduam zote muhimu...
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
UTT-PID yashiriki mkutano wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS jijini Dar es Salaam!
Maafisa masoko wa UTT-PID, Laurence Nzuki (kushoto) na Martin Mchanjila (katikati) wakitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea kwenye banda hilo la UTT-PID wakati wa mkutano huo wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS uliofanyika mwishoni mwa wiki, Novemba 21-22.2015, Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) inafanya miradi mbalimbali ikiwemo huduma za uuzwaji wa viwanja katika...
9 years ago
Habarileo03 Oct
Kikwete azindua usajili biashara kwa mtandao
RAIS Jakaya Kikwete amezindua huduma ya usajili jina la biashara kwa njia ya mtandao inayotolewa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni Nchini (BRELA), ambayo imeondoa mazingira ya rushwa na kuokoa muda.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sXAaYSI09-s/XlaYwmjeR9I/AAAAAAALfm0/6SJ-RFYbZWEQ4sl_F9EkW7kQEo_NMNuKwCLcBGAsYHQ/s72-c/5e4b0a84-eb3a-4ee6-8cf2-f119944a82fe.jpg)
MAMA SAMIA AZINDUA MTANDAO WA WANAWAKE AFRIKA TAWI LA TANZANIA
TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kutoa nafasi kwa wanawake kwenye nafasi za uongozi kulinganisha na nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan wakati akizindua mtandao wa wanawake viongozi kwa bara la Afrika tawi la Tanzania (AWLN).
Amesema licha ya Nchi za kiafrika kutoa nafasi ndogo kwa wanawake kwenye ngazi za kimaamuzi lakini serikali nchini imepiga hatua...