Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWIGULU AZINDUA MTANDAO WA MATAWI WA UTT MFI

Mwigulu Nchemba akihutubia wajumbe, wanabodi na wafanyakazi wa UTT katika uzinduzi wa mtandao wa matawi wa UTT MFI.
… Akiwa katika picha ya pamoja na wakurugenzi wa bodi na wafanyakazi wa UTT.
Baadhi ya…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba aifagilia UTT Microfinance

 Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wakuu wa Taasisi ya kifedha ya UTT Microfinance, baada ya kukata utepe kuzindua taasisi hiyo, Dar es Salaam jana. Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Bw. Mwigulu Nchemba (wa pili kushoto), akikata utepe kuzindua rasmi Taasisi ya huduma za Kifedha ya UTT Microfinance, Dar es Salaam jana. Wa pili Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi Balozi Fadhili Mbaga na Mtendaji Mkuu wa UTT, Bw. James Washima (kushoto).Naibu ...

 

5 years ago

CCM Blog

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AZINDUA AZINDUA MTANDAO WA VIONGOZI WAVAWAKE AFRIKATAWI LA TANAS

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) ambazo zimepiga hatua katika kuwapatia Wanawake nafasi za uongozi na kufikia asilimia 36.7.

Hayo ameyasema leo jijini Dodoma  wakati wa uzinduzi wa Mtandao wa viongozi Wanawake Afrika tawi la Tanzania amesema nchi imekuwa ya 14 katika kuzindua tawi hilo na kesho nchi ya Uganda inatarajia kuzindua hivyo itakuwa nchi ya 15.

Mhe.Samia amesema kuwa kumekuwa na...

 

10 years ago

Vijimambo

MRATIBU WA MATAWI YA CCM MAREKANI LOVENESS MAMUYA AZINDUA SHINA JIPYA JIJI LA WASOMI TULSA, OKLAHOMA


Mratibu wa Matawi ya CCM Ndugu. Loveness Mamuya akisema machache wakati wa Uzinduzi wa Shina Jipya, Tulsa OklahomaViongozi Wandamizi wa Shina la Jipya Kushoto Ndugu Emmanuel J Kamara na Katibu wake Ndugu Edgar ChiwangaMdau Akifurahia Kupata Kadi yakeMjumbe Bryceson Motto akimwaga Sera kwa WanaCCM waliyojumuikaKikao Kikiendelea








 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA AZINDUA HUDUMA MPYA BENKI YA MAENDELEO YA KKKT

Naibu waziri wa fedha, Mwigulu Lameck Nhemba, (Kushoto), akiteta jambo na Mkuu wa Kanisa la Kiluteri la Kiinjili Tanzania, (KKKT), Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa, wakati alipozindua huduma mpya ya benki hiyo ijulikanayo kama "MB Mobile". Huduma hiyo itamuwezesha mteja wa benki hiyo inayomilikiwa na KKKT, kuweza kufanya miamala mbalimbali kupitia simu ya mkononi. Miamala hiyo ni kama vile, kuweka fedha, kujua salio kwenye akaunti, kuhamisha fedha toka kwenye akaunti yako, kununua luku,...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

JK azindua huduma ya afya mtandao


NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
RAIS Jakaya Kikwete  amezindua mradi mpya wa huduma  ya afya kwa njia ya mtandao (Telemedicine) katika kituo cha afya  cha Mwaya, wilayani Ulanga.
Mradi huo ni moja ya utekelezaji wa sera ya afya ya mwaka 2007 na una lengo la kuboresha huduma za afya vijijini ili kupunguza vifo vya watoto wenye umri chini ya imaka mitano na wajawazito.
Rais alisema huduma hizo zitasaidia kutatua matatizo yaliyoshindikana katika zahanati na kwamba watahakikisha huduam zote muhimu...

 

9 years ago

Dewji Blog

UTT-PID yashiriki mkutano wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS jijini Dar es Salaam!

1 (1)

Maafisa masoko wa UTT-PID, Laurence Nzuki  (kushoto) na  Martin Mchanjila (katikati) wakitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea kwenye banda hilo la UTT-PID wakati wa mkutano huo wa mwaka wa Wanahisa wa UTT-AMIS uliofanyika mwishoni mwa wiki, Novemba 21-22.2015, Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID)  inafanya miradi mbalimbali ikiwemo  huduma za uuzwaji wa viwanja katika...

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete azindua usajili biashara kwa mtandao

RAIS Jakaya Kikwete amezindua huduma ya usajili jina la biashara kwa njia ya mtandao inayotolewa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni Nchini (BRELA), ambayo imeondoa mazingira ya rushwa na kuokoa muda.

 

5 years ago

Michuzi

MAMA SAMIA AZINDUA MTANDAO WA WANAWAKE AFRIKA TAWI LA TANZANIA

Charles James, Michuzi TV

TANZANIA imepiga hatua kubwa katika kutoa nafasi kwa wanawake kwenye nafasi za uongozi kulinganisha na nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).

Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan wakati akizindua mtandao wa wanawake viongozi kwa bara la Afrika tawi la Tanzania (AWLN).

Amesema licha ya Nchi za kiafrika kutoa nafasi ndogo kwa wanawake kwenye ngazi za kimaamuzi lakini serikali nchini imepiga hatua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani