Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MRATIBU WA MATAWI YA CCM MAREKANI LOVENESS MAMUYA AZINDUA SHINA JIPYA JIJI LA WASOMI TULSA, OKLAHOMA


Mratibu wa Matawi ya CCM Ndugu. Loveness Mamuya akisema machache wakati wa Uzinduzi wa Shina Jipya, Tulsa OklahomaViongozi Wandamizi wa Shina la Jipya Kushoto Ndugu Emmanuel J Kamara na Katibu wake Ndugu Edgar ChiwangaMdau Akifurahia Kupata Kadi yakeMjumbe Bryceson Motto akimwaga Sera kwa WanaCCM waliyojumuikaKikao Kikiendelea








Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Vijimambo

MRATIBU WA CCM MAREKANI LOVENESS MAMUYA AKIMKABIDHI KADI YA UANACHAMA ANDREW SMASHER

ANDREW SMASHER NI MDAU WA SIKU NYINGI - HAPA AKICHUKUA UANACHAMA RASMI WA CCM JIJINI MINNEAPOLIS, MINNESOTA JANA KWENYE UZINDUZI WA SHINA LA CCM  MJINI HUKO

 

10 years ago

Vijimambo

MRATIBU WA MATAWI YA CHAMA CHA CCM MAREKANI AWAKARIBISHA NYAMA CHOMA MAKADA WENZAKE

Bi. Loveness Mamuya ambaye ni mratibu wa matawi ya CCM nchini Marekani akiwa katika picha ya pamoja na Mbunge mtarajiwa Jimbo la Kawe Bwn. Gabriel Munasa siku ya Jumamosi April 18, 2015 nyumbani kwake mji wa Odenton, Maryland alipowaandalia nyama choma ya nguvu. kutoka kushoto ni Loveness Mamuya, Gabriel Munasa, Kelvin Mbogo na Dr. Secelela Malecela wakifurukutwa na chama cha CCM walipopata ukodak na bendera ya chama. Mwenyekiti wa Vijana CCM mkoa wa Katavi Bwn. Kelvin Mbogo nae akipata...

 

11 years ago

Vijimambo

UZINDUZI WA SHINA JIPYA LA CCM NDANI YA JIJI LA VIONGOZI WICHITA, KANSAS

Mratibu wa Matawi ya CCM Marekani Loveness Mamuya aliwaomba wanaCCM Wichita wawe mfano bora Kwa kujitokeza kwenye jumuiya ya TaWichita kwani Jumuiya ni kwanza na kuwaomba waweze kupendana na kushirikiana kwanza kama watanzania. Tumefungua matawi tukiwa na niya ya kukutanisha watanzania ili waweze kuchangia maendeleo ya Nchi yetu. Chama Cha Mapinduzi kinatambuwa jamii ya watanzania na ushirikano wao. Pia aliwaomba watu wajiunge na jumuiya kwanza na kushirikiana kwa karibu na vilevile kukemea...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPENI ZA CCM ZAPAMBA MOTO,MWIGULU,LOVENESS MAMUYA WASHIRIKI UFUNGUZI WA KAMPENI KISESA-MEATU

Mwigulu Nchemba na Mgombea Ubunge Jimbo la Kisesa-Meatu Ndg.Mpina wakiwasili Uwanja wa Mkutano hii leo wakati wa Ufunguzi wa kampeni katika Jimbo hilo.Mapokezi ya Mgombea Ubunge Jimbo la kisesa wakati wa Mkutano wa kufungua kampeni za Ubunge na Udiwani hii leo.Mwigulu NChemba akisalimiana na Wananchi wa Kisesa hii leo alipokwenda kufanya ufunguzi wa kampeni katika Jimbo hilo.Makada wa chama cha Mapinduzi wakifuatilia Mkutano wa Kufungua Kampeni Jimbo la Kisesa.Kada Mtiifu wa Chama cha...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA WA DADA YAKE LOVENESS MAMUYA


Watanzania  tujumuike na dada yetu Loveness Mamuya, na kuhudhuria msiba wa  kifo cha  dada yake mpendwa MERCY MAMUYA MTUI kilichotokea leo alfajiri Tanzania.

Kwa wakazi wa DMV na vitongoji vyake msiba upo nyumbani kwa Bi Loveness Mamuya.

 kama ilivyo mila na desturi yetu tunaomba tumfariji katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.

ADDRESS:  1005 Meandaring way Odeton MD 21113

NAMBA YA SIMU: LOVENESS MAMUYA:240-4230437

       AZIZI: 301-768-9195  


Mwenyezi mungu amlaze marehemu mahala pema...

 

11 years ago

Vijimambo

UFUNGUZI WA SHINA JIPYA LA CCM MINNESOTA NI SHIDAEEER!

 Mwenyekiti wa Shina la Minnesota Ndugu Christabella Shalita    Katibu wa Shina Ndugu Celina TeshaKada Mpya wa CCM Minnesota Ndugu Moshi BaghdellahMwanachama Mpya na Mjumbe Ndugu Andrew SmasherNdugu Abdul Baghdellah na Mwakilishi Kutoka CCM Oklahoma M/Kitti wa Shina Emmanuel Kamala wakibadilishana MikakatiMwakilishi kutoka CCM Newyork Seif Akida na Katibu wa Shina Ndugu Celina Tesha














 

11 years ago

Vijimambo

Kada Mzalendo Loveness Mamuya na Mrejesho wa Kwanini Usiku wa Jakaya ni Kitu cha Kujivunia Daima

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE NA MAENDELEO NCHINI TANZANIA


1.   UTANGULIZI

Binadamu hakuumbwa katika ombwe, ameumbwa akiwa katika dimbwi la majukumu, kwake binafsi, familia, jamii na dunia kwa ujumla. Wachache sana wanaoweza kupitia ngazi zote za uwajibikaji huu. Katika hao wachache, hatutasita kumtaja Jakaya Khalifan Mrisho Kikwete. Ili kujijenga vema katika misingi ya uongozi, Jakaya Kikwete alijijenga vema katika taasisi hizi za msingi na alipikwa...

 

10 years ago

Vijimambo

JESSICA MUSHALA, LOVENESS MAMUYA NA CHRIS LUKOSI WAKANUSHA HABARI KUHUSIANA KUTANGAZA VITA BAADA YA KUKOSA UKUU WA WILAYA

Bi. Jessica Mushala          Bi. Loveness Mamuya              Bwn. Chris Lukosi
Habari iliyoandikwa leo kwenye mtandao wa Jamii Forums na mdau ambaye hakujitambulisha jina na baadae kusambaa kwenye mitandao mbalimbali ikiwemo SMS na Whatsup iliyobeba kichwa cha habari "Makada wa CCM Diaspora watangaza vita baada ya kukosa ukuu wa Wilaya"
Vijimambo ilibidi uwavutie waya kwa nyakati tofauti wahusika wakuu waliotajwa kwenye habari hoyo kutaka kujua kulikoni na kama habari yenyewe ina ukweli ndani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani