JESSICA MUSHALA, LOVENESS MAMUYA NA CHRIS LUKOSI WAKANUSHA HABARI KUHUSIANA KUTANGAZA VITA BAADA YA KUKOSA UKUU WA WILAYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-CIFdnnriAx4/Uk2IjCDEqZI/AAAAAAAAE4I/-rUZul_FRWc/s72-c/IMG-20131003-WA0011.jpg)
Bi. Jessica Mushala Bi. Loveness Mamuya Bwn. Chris Lukosi
Habari iliyoandikwa leo kwenye mtandao wa Jamii Forums na mdau ambaye hakujitambulisha jina na baadae kusambaa kwenye mitandao mbalimbali ikiwemo SMS na Whatsup iliyobeba kichwa cha habari "Makada wa CCM Diaspora watangaza vita baada ya kukosa ukuu wa Wilaya"
Vijimambo ilibidi uwavutie waya kwa nyakati tofauti wahusika wakuu waliotajwa kwenye habari hoyo kutaka kujua kulikoni na kama habari yenyewe ina ukweli ndani...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi12 Feb
TAARIFA YA MSIBA WA DADA YAKE LOVENESS MAMUYA
Watanzania tujumuike na dada yetu Loveness Mamuya, na kuhudhuria msiba wa kifo cha dada yake mpendwa MERCY MAMUYA MTUI kilichotokea leo alfajiri Tanzania. Kwa wakazi wa DMV na vitongoji vyake msiba upo nyumbani kwa Bi Loveness Mamuya. kama ilivyo mila na desturi yetu tunaomba tumfariji katika kipindi hiki kigumu cha majonzi. ADDRESS: 1005 Meandaring way Odeton MD 21113 NAMBA YA SIMU: LOVENESS MAMUYA:240-4230437 AZIZI: 301-768-9195
Mwenyezi mungu amlaze marehemu mahala pema...
10 years ago
Vijimambo29 Dec
PICHA ZINGINE SHEREHE YA MIAKA 25 YA NDOA YA AMOS NA JESSICA MUSHALA
![IMG_9718](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9718.jpg?w=714)
![IMG_9733](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9733.jpg?w=714)
![IMG_9716](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9716.jpg?w=714)
![IMG_9591](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9591.jpg?w=714)
![IMG_9700](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9700.jpg?w=714)
![IMG_9635](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9635.jpg?w=714)
![IMG_9596](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9596.jpg?w=714)
![IMG_9675](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9675.jpg?w=714)
![IMG_9686](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9686.jpg?w=714)
![IMG_9689](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9689.jpg?w=714)
![IMG_9690](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9690.jpg?w=714)
![IMG_9625](https://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/12/img_9625.jpg?w=714)
10 years ago
VijimamboSHEREHE YA MIAKA 25 YA NDOA YA AMOS NA JESSICA MUSHALA IJUMAA DESEMBA 26, 2014
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1xNgUlrVdnQ/VFaNYef28jI/AAAAAAABLyI/DxQn2h8dTGw/s72-c/blogger-image-1397358458.jpg)
MRATIBU WA CCM MAREKANI LOVENESS MAMUYA AKIMKABIDHI KADI YA UANACHAMA ANDREW SMASHER
![](http://2.bp.blogspot.com/-1xNgUlrVdnQ/VFaNYef28jI/AAAAAAABLyI/DxQn2h8dTGw/s1600/blogger-image-1397358458.jpg)
10 years ago
VijimamboKada Mzalendo Loveness Mamuya na Mrejesho wa Kwanini Usiku wa Jakaya ni Kitu cha Kujivunia Daima
1. UTANGULIZIBinadamu hakuumbwa katika ombwe, ameumbwa akiwa katika dimbwi la majukumu, kwake binafsi, familia, jamii na dunia kwa ujumla. Wachache sana wanaoweza kupitia ngazi zote za uwajibikaji huu. Katika hao wachache, hatutasita kumtaja Jakaya Khalifan Mrisho Kikwete. Ili kujijenga vema katika misingi ya uongozi, Jakaya Kikwete alijijenga vema katika taasisi hizi za msingi na alipikwa...
10 years ago
VijimamboMRATIBU WA MATAWI YA CCM MAREKANI LOVENESS MAMUYA AZINDUA SHINA JIPYA JIJI LA WASOMI TULSA, OKLAHOMA
9 years ago
Vijimambo21 Sep
KAMPENI ZA CCM ZAPAMBA MOTO,MWIGULU,LOVENESS MAMUYA WASHIRIKI UFUNGUZI WA KAMPENI KISESA-MEATU
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12047074_428101090725458_1216147968023663156_n.jpg?oh=a1488b21bfb4f65dcca8684d68f9cdf1&oe=569D8541)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpl1/v/t1.0-9/12002080_428100854058815_5135986780182457092_n.jpg?oh=d4b8080fc859d6d77fa64f99b05716d2&oe=565F6D4D&__gda__=1453282753_84af7ea48c0c4260286b22029bc18bcb)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/12003212_428100804058820_8832908201740269439_n.jpg?oh=7b856c53a1acac90c0349bad90782928&oe=56A87FA0)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/12042708_428101204058780_7143938062512622436_n.jpg?oh=f18a1c5016d958d5c79c0f787fb68201&oe=565ED955)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/12032154_428100934058807_4845867612073923492_n.jpg?oh=82f08167bb84b475b02b7b481c42560b&oe=5697921C&__gda__=1452854979_6159e918638e80bca871e83ec3eab8a9)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12038119_428101027392131_3643435805773286259_n.jpg?oh=d3f6bbdb41e77ea448212d02482b801e&oe=56A3292B)
10 years ago
Vijimambo25 Feb
HABARI KWA KINA KUHUSIANA NA VURUGU YA WANANCHI BAADA YA POLISI KUUA MTU MMOJA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2634822/highRes/953708/-/maxw/600/-/t54iw4/-/kilolo.jpg)
Wananchi wakiangalia moto uliowashwa na watu wasiojulikana wakati wa vurugu baina ya polisi na wananchi katika mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa jana. Picha ya Mtandao HUKO ILULA MKOANI IRINGA
Kilolo. Polisi wa wa kituo cha Ilula kilicho Kilolo mkoani Iringa wanatuhumiwa kuua mtu mmoja, jambo lililoamsha vurugu kubwa zilizosababisha magari mawili kuchomwa moto.Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa wananchi waliokuwa na hasira walichoma moto magari yaliyokuwa yameegeshwa...
10 years ago
Vijimambo20 Feb
Aliyetemwa ukuu wa wilaya ageukia ubunge
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2629702/highRes/950184/-/maxw/600/-/ix45r7/-/ukuu.jpg)
Dar es Salaam. Siku moja baada ya uteuzi wake kutenguliwa na Rais Jakaya Kikwete, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu amesema sasa anageukia ubunge katika Jimbo la Singida Magharibi.Kingu alisema siku nyingi alikuwa na shauku ya kugombea ubunge katika jimbo hilo, kwamba kuondolewa katika wadhifa huo kutampa nafasi ya kujipanga na kuhakikisha anashinda jimbo hilo linaloongozwa na Mohamed Hamisi Missanga (CCM).“Unajua kwa muda...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10