MWIGULU NCHEMBA AZINDUA HUDUMA MPYA BENKI YA MAENDELEO YA KKKT
Naibu waziri wa fedha, Mwigulu Lameck Nhemba, (Kushoto), akiteta jambo na Mkuu wa Kanisa la Kiluteri la Kiinjili Tanzania, (KKKT), Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa, wakati alipozindua huduma mpya ya benki hiyo ijulikanayo kama "MB Mobile". Huduma hiyo itamuwezesha mteja wa benki hiyo inayomilikiwa na KKKT, kuweza kufanya miamala mbalimbali kupitia simu ya mkononi. Miamala hiyo ni kama vile, kuweka fedha, kujua salio kwenye akaunti, kuhamisha fedha toka kwenye akaunti yako, kununua luku,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-w-TYYZdSbyY/VcSLmAbQvhI/AAAAAAAHvBc/ZOB2JfSS3GI/s72-c/Akq5-M0atK4YY9ikbEIIc563v1BnKOFFBqVzbrDa5QsR.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-w-TYYZdSbyY/VcSLmAbQvhI/AAAAAAAHvBc/ZOB2JfSS3GI/s640/Akq5-M0atK4YY9ikbEIIc563v1BnKOFFBqVzbrDa5QsR.jpg)
10 years ago
Vijimambo05 Jan
VIJANA NCHINI TANZANIA WAMTAJA MWIGULU NCHEMBA KUWA NDIYE RAIS MPYA WANAYEMTEGEMEA,ASIFIKA KWA KUSIMAMIA KIDETE MASLAHI YA NCHI
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10906524_1534701896785266_2251235586334794179_n.jpg?oh=35f6e1462487023744e386cb8cf9d278&oe=55299967&__gda__=1429597534_886fd6c4005f2138cf2796df26c47505)
*Vijana wataka chama chake kimpe nafasi
Claudia Kayombo
WAKATI vyama vya siasa havijatangaza majina ya wagombea urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, vijana mbalimbali wameanza kutoa maoni ya nani anafaa kumrithi Rais Jakaya Kikwete.
Vijana wengi wamesema kuwa, Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, ndiye anayestahili kumrithi Rais Kikwete kutokana na utendaji wake wa kazi.
Hatua ya vijana kumtaja Nchemba, ni mwendelezo...
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AZINDUA BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA (TADB) DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cxd6Ymt_sYs/VMywkVF5c2I/AAAAAAAHAgA/09DW3oEOhus/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
warsha ya siku moja kujadili mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka 25 ya benki ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania yafanyika jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cxd6Ymt_sYs/VMywkVF5c2I/AAAAAAAHAgA/09DW3oEOhus/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3a417g2wFyw/VMywc-Ek_yI/AAAAAAAHAf4/nRPrFqscG4A/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rBtvKRurUGI/VMywoulaVMI/AAAAAAAHAgU/rxnhJgCeMmg/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sJq_lrvNDNw/U7Vo6JdtRWI/AAAAAAAFuqc/bqKgj8n2G8c/s72-c/unnamed+(55).jpg)
VODACOM NA CRDB BENKI WAZINDUA HUDUMA MPYA YA M-PESA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sJq_lrvNDNw/U7Vo6JdtRWI/AAAAAAAFuqc/bqKgj8n2G8c/s1600/unnamed+(55).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vYI3pbqd8vc/U7Vo6IO2EMI/AAAAAAAFuqU/CJM_oDaGOUs/s1600/unnamed+(56).jpg)
9 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AZINDUA MPANGO KABAMBE WA MJI MPYA WA KIGAMBONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-lZpkJnhJsLw/VfaZTONw_rI/AAAAAAAH4qI/Kiiw7DR9J7s/s640/10.jpg)
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Benki ya BOA waletea wateja wake huduma mpya ya kutuma fedha Kimataifa ya ‘WARI’
Mkurugenzi wa ICT , Bw. Willington Munya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa huduma hiyo mpya ya BOA. anayefuatia ni Meneja wa E.Banking, Bi. Editha Jumbe na wa mwisho ni Afisa masoko Danieli Sarungi. ( Picha na Niccomediatz).
Benk ya BOA Tanzania imeleta huduma mpya kwa wateja wake ijulikanayo kama WARI-huduma ya kutuma fedha kimataifa ambapo kwa sasa huduma hiyo imeingia nchini na mteja anaweza kutuma na kupokea fedha ndani na nje bila ya kuwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/90DmblW-uGk/default.jpg)