WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AZINDUA BARAZA LA WAUGUZI NA WAKUNGA
Na Ramadhani Ali/Maelezo Zanzibar Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif ameliagiza Baraza la Wauguzi na Wakunga Zanzibar kusimamia kwa karibu watendaji wa kada hiyo ili waweze kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi.
Akizungumza katika uzinduzi rasmi wa Baraza Wauguzi na Wakunga katika Chuo cha Sayanzi ya Afya Mbweni, Waziri Rashid Seif amesema wauguzi na wakunga ni walezi wanaoshughulikia matatizo ya watu hivyo wanatakiwa kutekeleza wajibu wao kwa uadilifu.
Amesema ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAKUNGA WA JADI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WATALAM WA AFYA ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo05 May
SERIKALI YAANZISHA KURUGENZI YA WAUGUZI NA WAKUNGA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/114.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/44.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wakunga waliozawadiwa zawadi mbalimbali kutokana na mchango wao katika kuwahudumia wajawazito wanaojifungua katika meneo mbalimbali nchini. Mheshimiwa Pinda alikuwa mgeni rasmi katika sherehe...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p0skiUrWc0Q/Xrrh6mgVgEI/AAAAAAALp98/xKU-BD6MNXIIQbCTGPCKW1sQcdBDsochwCLcBGAsYHQ/s72-c/432px-Florence_Nightingale_%2528H_Hering_NPG_x82368%2529.jpg)
FLORENCE NIGHTINGALE, MUASISI WA SIKU YA WAUGUZI NA WAKUNGA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-p0skiUrWc0Q/Xrrh6mgVgEI/AAAAAAALp98/xKU-BD6MNXIIQbCTGPCKW1sQcdBDsochwCLcBGAsYHQ/s400/432px-Florence_Nightingale_%2528H_Hering_NPG_x82368%2529.jpg)
LEO MEI 12 dunia inasherehekea siku ya Wauguzi na wakunga duniani huku umuhimu na mchango mkubwa wao katika sekta ya afya ukigusa mamilioni ya wananchi hasa wanawake.
Muasisi wa siku hii adhimu kwa wauguzi na wakunga ni Florence Nightingale; "Mwanamke wa Taa" ambaye alisimama kidete katika kuinua viwango vya uuguzi pamoja kuwaelimisha Wauguzi.
Harakati zake zilianza baada ya kufika nchini Uturuki mwaka 1854 ambapo nchi hiyo ilikuwa katika vita ya Krimea, Florence...
11 years ago
MichuziWaziri Kabaka azindua Baraza la Wafanyakazi SSRA
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, akifunua pazi ili kuzindua Baraza la Wafanyakazi wa SSRA, Bagamoyo leo.Anayepiga makofi ni Mkurugenzi Mkuu wa SSRA, Bi. Irene Isaka.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Bi. Irene Isaka, akisoma hotuba yake na kisha kumkaribisha Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka,...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AFANYA ZIARA KATIKA WITUO VYA AFYA MKOA WA KASKAZINI ''A'' UNGUJA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7_nSzbKywc/VZMCKvS9f5I/AAAAAAAHmB8/nC6Gb_cdMqI/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI , UTALII NA MICHEZO ZANZIBAR AZINDUA HOTELI TAUSI Palace, MJI MKONGWE ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7_nSzbKywc/VZMCKvS9f5I/AAAAAAAHmB8/nC6Gb_cdMqI/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-U5CLJQSXo7k/VZMCKg8VgvI/AAAAAAAHmCE/s-pY3yj9QQA/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DX6J-2SWxb8/VZMCKl4ZIpI/AAAAAAAHmCA/DMhzE4etUjc/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-93TINW48zs4/Xmy-CckSlkI/AAAAAAALjWs/szllbcHTY74m5Sp_WEyXOTr4b7cepWqIwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5733.jpg)
WAZIRI WA BIASHARA NA VIWANDA ZANZIBAR BALOZI AMINI SALUM ALI AZINDUA CHUMVI YA ZALT ZANZIBAR.BZMHE.
![](https://1.bp.blogspot.com/-93TINW48zs4/Xmy-CckSlkI/AAAAAAALjWs/szllbcHTY74m5Sp_WEyXOTr4b7cepWqIwCLcBGAsYHQ/s640/DSC_5733.jpg)
WAZIRI wa Biashara na Viwanda Zanzibar.Mhe. Balozi Amina Salum Ali, akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi waBidhaa ya Chumvi ya Zalt inayotengenezwa na Kampuni ya Swahili Coast Salt, hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika mgahawa wa 6Degress South Shangani Jijini Zanzibar.(Na. Mpiga Picha Wetu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_5646.jpg)
WAZIRI wa Biashara na Viwanda Zanzibar.Mhe. Balozi Amina Salum Ali, akizungumza na Mkurugenzi wa Kampuni ya Swahili Coast Salt.Bi. Stephanie Said, wakati wa hafla ya ...
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR MAHMOUD THABIT KOMBO AFUNGA MAFUNZO YA SIKU 10 YA MFUMO WA UKUSANYAJI TAARIFA ZA AFYA