Dk Kebwe kupinga matokeo mahakamani
Siku chache tu baada ya Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii dk Stephen Kebwe kubwagwa na mgombea wa Chadema katika uchaguzi wa wabunge jimbo la Serengeti Mkoa wa Mara,amesema anakata rufaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Oct
CCM kupinga mahakamani matokeo ya majimbo manne
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kutoridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye majimbo ya Kawe, Ndanda, Mikumi na Iringa Mjini na kimesema kitayapinga matokeo hayo mahakamani.
9 years ago
Mwananchi29 Oct
CCM kupinga matokeo ya Mdee, Mch. Msigwa mahakamani
9 years ago
StarTV04 Nov
 CUF kwenda mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi Tabora mjini.
Chama cha Wananchi CUF Mkoa wa Tabora kimeazimia kufungua kesi mahakamani mapema wiki hii kupinga matokeo ya ubunge dhidi ya mgombea wa CCM aliyetangazwa kuwa mshindi wa Jimbo la Tabora Mjini.
Kauli hiyo imetolewa kutokana na kile kilichodaiwa kuwa mgombea wa CUF alipata kura nyingi zaidi ya mgombea wa Chama cha Mapinduzi.
Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia CUF chini ya mwamvuli wa UKAWA, Peter Mkufya akisisitiza kwenda mahakamani kwa kile kinachodaiwa kuporwa...
5 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani
9 years ago
VijimamboKIWIA AKANUSHA KUZIMIA BAADA YA MATOKEO KUTANGAZWA. ASEMA ANATARAJIA KUFUNGUA KESI MAHAKAMANI KWANI BADO HAJASAINI MATOKEO.
Aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mkoani Mwanza na Mgombea wa nafasi hiyo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa Highness Kiwia, anatarajia kufungua kesia ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimboni humo kwa madai kwamba haukuwa wa huru na haki kutokana na kugubikwa na changamoto mbalimbali.
Kiwia ambae ameshindwa kutetea jimbo hilo baada kuchukuliwa na Angelina Mabula kutoka Chama cha Mapinduzi CCM,...
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Arfi kupinga Bunge la Katiba mahakamani
![Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Said-Arfi.jpg)
Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi
Na Elizabeth Hombo, Dodoma
MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi (Chadema), amesema ana mpango wa kwenda mahakamani ili kupata ufafanuzi wa mahakama juu ya uhalali wa Bunge Maalumu la Katiba kuachana na Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Hatua hiyo imekuja ikiwa ni siku chache tu baada ya mwandishi wa habari, Said Kubenea chini ya wakili, Peter Kibatala kufungua kesi mahakamani kutaka Bunge la Katiba lisitishwe.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa...
9 years ago
Habarileo01 Nov
Mgombea kupinga matokeo
ALIYEKUWA mgombea ubunge Jimbo jipya la Nsimbo mkoani Katavi, Gerald Kitabu kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amekataa matokeo ya jimbo hilo yaliyotangazwa na kumpa ushindi mpinzani wake, Richard Mbogo wa Chama Cha Mapinduzi(CCM).
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Kafulila aibuka kupinga matokeo ya Mwilima
9 years ago
Mwananchi28 Oct
CCM kupinga matokeo majimbo manne