Wananchi waomba serikali kurudisha oparesheni tokomeza ujangili
Mkuu wa wilaya ya Manyoni, Fatuma Toufiq (wa kwanza kushoto) na anayefuata ni Dc wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda na mkuu wa wilaya mpya ya Ikungi, Manju Masambya (wa tatu kushoto).Picha zote na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Manyoni
SERIKALI wilaya ya Manyoni mkoani Singida imeiomba serikali kuu kuangalia uwezekano wa kurejesha mapema zoezi la oparesheni ‘tokomeza ujangili’, ili kudhibiti kasi kubwa iliyopo ya majangili kuua wanyama pori hasa tembo.
Ombi hilo limetolewa hivi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
KAIRUKI: Serikali kuendelea kuiwezesha Tume Oparesheni Tokomeza
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki (MB) akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Jaji Kiongozi Mstaafu Hamis Amir Msumi (kushoto) na Wajumbe wengine wa Tume hiyo, Majaji Wastaafu Stephen Ihema (kulia) na Vincent Lyimo ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana. (Oktoba 22, 2014).
Na Mwandishi wetu
Serikali imeahidi kuendelea kuiwezesha na kuipa ushirikiano Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza ili iendelee kutekeleza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QuyplVTgcgM/VAmEDdOoYFI/AAAAAAAGenY/hzcdXLFO5AY/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-TUME%2BOPERESHENI%2BTOKOMEZA.jpeg)
10 years ago
Vijimambo05 Jan
10 years ago
Habarileo31 Aug
Waomba operesheni tokomeza mauaji ya albino
SHIRIKISHO la vyama vya watu wenye ulemavu Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi (SHIVYAWATA) limeiomba Serikali kuendesha operesheni maalumu ya kutokomeza vitendo vya mauaji dhidi ya walemavu wa ngozi (albino) ikiwa ni pamoja na kuweka mikakati kwa ajili ya kuwabaini watu wanaojihusisha na matukio hayo ili sheria ichukue mkondo wake.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Ulaji fedha za ‘Tokomeza Ujangili’ usirudiwe
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Mawaziri 4 wabwagwa sakata la Tokomeza Ujangili
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Rais akabidhiwa ripoti ya Operesheni Tokomeza Ujangili
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Operesheni Tokomeza Ujangili imeongeza idadi ya walemavu
OPERESHENI Tokomeza Ujangili iliyoendeshwa kinyama, imesababisha ulemavu kwa baadhi ya wananchi. Ilikuwa ikiendeshwa na askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), polisi...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
UNYAMA, UBAKAJI NA MAUAJI: Operesheni Tokomeza Ujangili
OPERESHENI Tokomeza Ujangili imedhihirisha kwamba Tanzania imegeuka Guantanamo na imeacha kuwa ‘kisiwa cha amani’. Hakuna anayefurahia vitendo vya ujangili na uharibifu unaofanywa na majangili dhidi ya mazingira ya asili na...