Waomba operesheni tokomeza mauaji ya albino
SHIRIKISHO la vyama vya watu wenye ulemavu Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi (SHIVYAWATA) limeiomba Serikali kuendesha operesheni maalumu ya kutokomeza vitendo vya mauaji dhidi ya walemavu wa ngozi (albino) ikiwa ni pamoja na kuweka mikakati kwa ajili ya kuwabaini watu wanaojihusisha na matukio hayo ili sheria ichukue mkondo wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
UNYAMA, UBAKAJI NA MAUAJI: Operesheni Tokomeza Ujangili
OPERESHENI Tokomeza Ujangili imedhihirisha kwamba Tanzania imegeuka Guantanamo na imeacha kuwa ‘kisiwa cha amani’. Hakuna anayefurahia vitendo vya ujangili na uharibifu unaofanywa na majangili dhidi ya mazingira ya asili na...
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Shindikilagi ya Sungusungu ilivyotumika kwa mauaji ‘Operesheni Tokomeza Ujangili’
10 years ago
Mtanzania22 Aug
Polisi waomba ushirikiano kukabili mauaji ya albino
![Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Isaya-Mngulu.jpg)
Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
MKURUGENZI wa Makosa ya Jinai (DCI), Isaya Mngulu, amesema vitendo vya mauaji ya albino vimeanza kushamiri tena katika baadhi ya maeneo nchini.
Amesema kutokana na hali hiyo, jeshi la polisi limewaomba wananchi, asasi za raia, viongozi wa dini na wanasiasa kushirikiana nao waweze kukamata mtandao wa watu wanaojihusisha na shughuli hizo na kuwachukulia hatua.
Alisema kuwa vitendo hivyo vinahusishwa moja...
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Operesheni Tokomeza inarudi
10 years ago
Habarileo11 Apr
JK apokea Ripoti ya Operesheni Tokomeza
RAIS Jakaya Kikwete jana alipokea Ripoti ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza katika hafla fupi ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Fedha za Operesheni Tokomeza zayeyuka
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, amesema kuwa kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya Operesheni Tokomeza Ujangili hazijulikani zilipo. Alisema kuwa...
10 years ago
Habarileo23 Oct
Operesheni Tokomeza kuendelea kuwezeshwa
SERIKALI imeahidi kuendelea kuiwezesha na kuipa ushirikiano Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza ili iendelee kutekeleza na hatimaye kukamilisha majukumu yake kama ilivyokusudiwa.
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Kesi 43 Operesheni Tokomeza zimeamuliwa
JUMLA ya kesi 43, kati ya 45 zilizofunguliwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, Mkoa wa Katavi wakati wa Operesheni Tokomeza Ujangili tayari zimesikilizwa na kutolewa uamuzi na Mahakama ya...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Wassira: Operesheni Tokomeza ilikuwa na madhara
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) na Mbunge wa Bunda, Steven Wassira, amefunguka na kusema kuwa hakuna mtu yeyote serikalini mwenye akili timamu anayeweza kukubali kuwa Operesheni...