Jaji adai fidia ya milioni 300/= kwa ajali ya uzembe wa dereva
Jaji wa Mahakama Kuu, Grace Mwakipesile amefungua kesi ya madai ya kulipwa fidia ya Sh milioni 300 kutokana na majeraha na maumivu aliyoyapata katika ajali aliyoipata mkoani Shinyanga.
Amefungua kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya dereva Kamota Hassan, Michael Mosha na kampuni ya bima ya Zanzibar. Kesi hiyo itatajwa Agosti 4 mwaka huu mbele ya Hakimu Mkazi Hellen Riwa.
Katika hati ya madai, Jaji Grace anaiomba mahakama iamuru walalamikiwa hao wamlipe fedha hizo kutokana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-TNILQgM3k*YlBOF9VePRlsYCj2JeMibeSubgD3OhqoSzH5xp1e8xF5Kj0FJMooNUzQr*7LkKfsB13Vif5gIIan/magari.jpg?width=650)
KWA UZEMBE HUU AJALI ZITAKWISHA KWELI?
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Sk9CMnR8xXo/VMXmwZdSeSI/AAAAAAACWOY/hoy7FKUlrCo/s72-c/mtikila.jpg)
*MTIKILA AMSHITAKI MOKIWA, ADAI FIDIA YA SH BILIONI 1 KWA KUDHALILISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Sk9CMnR8xXo/VMXmwZdSeSI/AAAAAAACWOY/hoy7FKUlrCo/s640/mtikila.jpg)
10 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA-MADEREVA WALIOSABABISHA AJALI KWA UZEMBE KUFUTIWA LESENI ZAO.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
KIKOSI cha Usalama Barabarani kimesema wanazifuta leseni zote kwa madereva waliosababisha ajali kwa uzembe zikiwemo ajali za hivi karibuni.
Hayo ameyasema leo...
9 years ago
Bongo529 Sep
Meneja wa Q-Chief na MB Dog adai ameshatumia zaidi ya mil 300 kwa wasanii hao
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Sunfish hutaga mayai milioni 300 kwa mkupuo
NI nadra kwa samaki aina ya sunfish kuishi katika makundi. Mara nyingi samaki hawa huishi wawili wawili kama si mmoja mmoja. Hata hivyo tofauti ni pale ambapo wanapotafuta namna ya...
10 years ago
GPLDEREVA WA BODABODA ANUSURIKA KUFA KWA AJALI
11 years ago
GPL11 years ago
Mwananchi17 Jun
Adai fidia vyeti vyake kutumika
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Mvulana aliyetuhumiwa kuwa 'gaidi' adai fidia