Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampuni yatozwa bil. 1/- kwa uzembe

KAMPUNI ya ujenzi ya Db Shapriya Co  LTD, imepewa adhabu ya kulipa sh milioni 11 kila siku  kwa siku 100 kuanzia Machi 4, mwaka huu, kutokana na kutomaliza mradi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!

Kundi la waamuzi wa kesi (jury) katika mahakama ya Florida nchini Marekani limeiamuru kampuni ya sigara ya RJ Reynolds Tobacco kumlipa mwanamke aliyefiwa na mume wake kwa saratani ya mapafu dola bilioni 23.6. Adhabu hiyo inajulikana kitaalum kama ‘Punitive damages’ na hutolewa kuyakatisha tamaa makampuni au watu kufanya mambo mabaya huku fidia au ‘compensatory damages’ […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni ‘yapiga’ bil. 3/- za Serikali

KAMPUNI ya Erolink imeiibia serikali kiasi cha sh bilioni tatu za mapato kutoka kwa waajiriwa wapya katika kipindi cha miaka mitatu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI



Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Guinea ya Ikweta yatozwa Faini na CAF

Guinea ya Ikweta imetozwa Faini baada ya vurugu zilizotokea katika mechi kati ya Timu ya nchi hiyo na Ghana

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watendaji 15 mbaroni kwa uzembe

JESHI la Polisi mkoani Geita linawashikilia watendaji wa kata 15 za Wilaya ya Geita kwa tuhuma za kushindwa kuwakamata wazazi na walezi walioshindwa kuwapeleka watoto shule za sekondari. Agizo la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kuwakumbuka waliokufa kwa uzembe wa watawala

Na Charles Misango WIKI hii yametokea mambo mawili makubwa hapa nchini, lakini kwa bahati mbaya hayakupewa uzito stahiki. Huko Mtwara, mamia ya wakazi wake walikuwa katika maombolezo mazito ya ndugu...

 

10 years ago

Habarileo

17 ‘jela’ kwa uzembe maabara za Kikwete

MKUU wa Wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, Festo Kiswaga amewasweka rumande watendaji 17 wa vijiji na kupewa barua za onyo kali, huku mmoja akifukuzwa kazi kwa uzembe wa kutosimamia ipasavyo ujenzi wa maabara za shule za sekondari.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF iwajibike kwa uzembe huu wa U-23

Juzi, gazeti hili liliandika habari ya kusikitisha iliyohusu timu ya Taifa ya Vijana, chini ya umri wa miaka 23 ‘Ngorongoro Heroes’ kuondolewa kwenye mchakato wa kufuzu kushiriki michezo ya Olimpiki mwakani mjini Rio de Janeiro, Brazil.

 

9 years ago

Global Publishers

Tigo yapigwa faini kwa uzembe

????????????????????????????????????

Meneja Mkuu wa Tigo, Deigo Gutierrez

Na mwandishi Wetu
KAMPUNI ya MIC Tanzania Limited (Tigo) chini ya mkurugenzi wake, Diego Gutierrez imepigwa faini ya Sh. Milioni 25 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kosa la kushindwa kudhibiti utumaji wa ujumbe wa ulaghai na udanganyifu kwa wateja wake.

Taarifa ya faini hiyo ilitolewa hivi karibuni jijini Dar na Mkurugenzi wa TCRA, Dk. Ally Simba ambapo alisema kampuni hiyo na makampuni mengine ya simu, yameshindwa kudhibiti utumaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani