Shein apita bila jasho CCM
KIKAO cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM -Zanzibar kwa kauli moja imependekeza kwa Kamati Kuu jina la Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuteuliwa kuwania tena kiti cha Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Mgombea udiwani CCM apita bila kupingwa
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Filikunjombe apita bila kupingwa, wapinzani wake waingia mitini na fomu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-j_awmLdlqTQ/VdsZpAdIRAI/AAAAAAACAEY/Buc04cooQOE/s640/blogger-image--1635206624.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-4RDuPCMDd1E/VdsVXTvQwbI/AAAAAAACAEM/JlChphoiar4/s640/blogger-image--816864011.jpg)
![blogger-image-737464366](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-737464366.jpg)
Mzee Kada wa Chadema akimpongeza mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe baada ya kupewa barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-ha9uY3b3FRo/VdsTx91s_8I/AAAAAAACADo/OqlD12You68/s640/blogger-image-2045842457.jpg)
![blogger-image--1715103721](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-1715103721.jpg)
Filikunjombe akionyesha barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-TUU_ukM5QV8/VdsT2STiLSI/AAAAAAACADw/chGpXPraTPM/s640/blogger-image--1568280623.jpg)
11 years ago
Habarileo04 Mar
Sitta apita CCM
KAMATI ya Uongozi ya Chama Cha Mapinduzi ( C C M ) imempitisha Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, kwa kauli moja kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba.
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-j5vgT2mJ6is/Vkt7TPyB7lI/AAAAAAAArhU/V4T57IqANuo/s72-c/8.jpg)
DK. TULIA ACKSON APITA UNAIBU SPIKA CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-j5vgT2mJ6is/Vkt7TPyB7lI/AAAAAAAArhU/V4T57IqANuo/s640/8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n3swUSwB8P0/Vkt7YwCR5tI/AAAAAAAArhc/ZInvMnNajls/s640/11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6Dnla2W0rjc/Vkt7fLovi9I/AAAAAAAArhk/9quSU9UpU_A/s640/13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ddGB53TecPU/Vkt7hK8lUxI/AAAAAAAArhs/urO6OPlY0Lg/s640/10.jpg)
10 years ago
Mtanzania15 Dec
Ukawa waitoa jasho CCM
Na Waandishi Wetu, Dar na Mikoani UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeonekana kukitoa jasho Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji uliofanyika nchini kote jana. Licha ya kuwapo na mchuano mkali kati ya Ukawa na CCM, uchaguzi huo ulitawaliwa na dosari nyingi zilizosababisha uchaguzi usimamishwe katika maeneo kadhaa kutokana na vurugu au kukosekana vifaa vya kupigia kura. Mbali ya CCM, Chadema na CUF kuchuana vikali katika maeneo mbalimbali,...
11 years ago
Mwananchi02 Mar
CCM, Chadema wazidi kutoana jasho Kalenga
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PVFXqmJpmqY/VCF-RzdHACI/AAAAAAAGlWs/9Yag1l4WlRE/s72-c/IMG_6357.jpg)
DKT. SHEIN MGENI RASMI KATIKA SHEREHE ZA ELIMU BILA MALIPO AMAAN ZANZIBAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-PVFXqmJpmqY/VCF-RzdHACI/AAAAAAAGlWs/9Yag1l4WlRE/s1600/IMG_6357.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-alrf19HmXGE/VCF-PzQCHoI/AAAAAAAGlWg/J0qLoGwqA2g/s1600/IMG_6412.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GeTeYoBYCYQ/VMU_ZpwjzCI/AAAAAAACyfo/TuCiMkIzBFM/s72-c/_MG_2135.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM NA RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZINDUA SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-GeTeYoBYCYQ/VMU_ZpwjzCI/AAAAAAACyfo/TuCiMkIzBFM/s1600/_MG_2135.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1xv00UHX1T8/VMU_ZrBqsGI/AAAAAAACyfk/VGOa02-DC9o/s1600/_MG_2107.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--IwvigNOL34/VMTB-jA_NtI/AAAAAAAG_aQ/6_aztgnwFls/s72-c/5.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM,RAIS DKT SHEIN NA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE WAWASILI PEMBA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/--IwvigNOL34/VMTB-jA_NtI/AAAAAAAG_aQ/6_aztgnwFls/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-apIkYZCpk9M/VMTCCaHpIFI/AAAAAAAG_ag/GvIlkN2LZu0/s1600/7.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10