Mgombea udiwani CCM apita bila kupingwa
Licha ya upinzani mkali wa kisiasa kati ya vyama vya CCM, Chadema na ACT-Wazalendo katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, mgombea udiwani wa CCM wa Kata ya Kagera, Kebelezo Gregory amefanikiwa kupita bila kupingwa baada ya pingamizi lililowekwa dhidi ya wagombea wenzake kukubaliwa na msimamizi msaidizi wa uchaguzi katika kata hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Filikunjombe apita bila kupingwa, wapinzani wake waingia mitini na fomu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-j_awmLdlqTQ/VdsZpAdIRAI/AAAAAAACAEY/Buc04cooQOE/s640/blogger-image--1635206624.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-4RDuPCMDd1E/VdsVXTvQwbI/AAAAAAACAEM/JlChphoiar4/s640/blogger-image--816864011.jpg)
![blogger-image-737464366](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-737464366.jpg)
Mzee Kada wa Chadema akimpongeza mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe baada ya kupewa barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-ha9uY3b3FRo/VdsTx91s_8I/AAAAAAACADo/OqlD12You68/s640/blogger-image-2045842457.jpg)
![blogger-image--1715103721](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-1715103721.jpg)
Filikunjombe akionyesha barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-TUU_ukM5QV8/VdsT2STiLSI/AAAAAAACADw/chGpXPraTPM/s640/blogger-image--1568280623.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BW9opX4BqT0/VcC0-sQwxII/AAAAAAAHt3w/yzrGcN088s0/s72-c/MMGL0331.jpg)
MKUTANO MKUU WA CHADEMA WAMPITISHA BILA KUPINGWA MH. LOWASSA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA NA DKT. JUMA HAJI DUNI MGOMBEA MWENZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BW9opX4BqT0/VcC0-sQwxII/AAAAAAAHt3w/yzrGcN088s0/s640/MMGL0331.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aS4lc3hgu8o/VcC0-PsoIDI/AAAAAAAHt3o/71rMRImzqnU/s640/MMGL0055.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Jul
Shein apita bila jasho CCM
KIKAO cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM -Zanzibar kwa kauli moja imependekeza kwa Kamati Kuu jina la Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuteuliwa kuwania tena kiti cha Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.
10 years ago
Mtanzania11 Sep
‘Atakayeruhusu CCM kushinda bila kupingwa kushughulikiwa’
![Freeman Mbowe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Freeman-Mbowe.jpg)
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kiongozi yeyote ndani ya chama hicho ambaye ataruhusu mgombea kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushinda uchaguzi bila kupingwa atashughulikiwa.
Mbowe alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua uchaguzi wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA) uliofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Alisema katika uchaguzi wa Serikali za...
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Waliotangazwa kupita bila kupingwa CCM wakatiwa rufaa
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Mgombea udiwani Kata ya Uyole CCM afariki ghafla
9 years ago
MichuziMGOMBEA UDIWANI WA CCM THADEY MASSAWE AOMBA KURA ILI ACHAGULIWE
Mgombea wa udiwani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM kata ya Ndugumbi, jimbo la Kinondoni, Thadey Massawe,akizungumza sambamba na kuomba kura ili achaguliwe kuwa diwani wa kata hiyo mbele ya wanachama wa chama chake eneo la Texas Magomeni Kagera Dar es salaam jana.
9 years ago
GPLMGOMBEA UDIWANI KATA YA MBAGALA KUU (CCM) YUSUF MANJI AZINDUA KAMPENI ZAKE
9 years ago
Dewji Blog20 Sep
Mgombea udiwani kata ya Mbagala Kuu (CCM) Yusuf Manji azindua kampeni zake Dar
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10