Waliotangazwa kupita bila kupingwa CCM wakatiwa rufaa
Chama cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema), kimekata rufaa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwa majimbo ya Mlalo, Bumbuli, Ludewa na Peramiho yaliyotangazwa kuwa wagombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wamepita bila kupingwa kwa madai kuwa waliotangaza hawana mamlaka hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMBUNGE WA LUDEWA DEO FILIKUNJOMBE APINGWA KUPITA BILA KUPINGWA MCHAKATO WA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Mgombea udiwani CCM apita bila kupingwa
10 years ago
Mtanzania11 Sep
‘Atakayeruhusu CCM kushinda bila kupingwa kushughulikiwa’
![Freeman Mbowe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Freeman-Mbowe.jpg)
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kiongozi yeyote ndani ya chama hicho ambaye ataruhusu mgombea kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushinda uchaguzi bila kupingwa atashughulikiwa.
Mbowe alitoa kauli hiyo jana wakati akifungua uchaguzi wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA) uliofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam.
Alisema katika uchaguzi wa Serikali za...
9 years ago
Habarileo25 Aug
NEC sasa yaanza uhakiki waliopita bila kupingwa
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema inawasiliana na wasimamizi wa uchaguzi katika ngazi za halmashauri ili kupata idadi kamili ya wagombea waliopita bila upingwa katika ngazi za ubunge na udiwani.
11 years ago
Dewji Blog17 May
Bajeti ya Wizara ya mambo ya ndani ya nchi yapita bila kupingwa
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Naibu wake, Pereira Sirima (kulia) wakipongezwa na Wabunge baada ya bunge kupitisha bajeti ya Wizara hiyo, bungeni mjini Dodoma May 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, bungeni mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Makambako, Deo Sanga (kushoto) na Mbunge wa Viti Maaliam, Lediana Mng’ong’o...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Filikunjombe apita bila kupingwa, wapinzani wake waingia mitini na fomu
![](http://lh3.googleusercontent.com/-j_awmLdlqTQ/VdsZpAdIRAI/AAAAAAACAEY/Buc04cooQOE/s640/blogger-image--1635206624.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-4RDuPCMDd1E/VdsVXTvQwbI/AAAAAAACAEM/JlChphoiar4/s640/blogger-image--816864011.jpg)
![blogger-image-737464366](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-737464366.jpg)
Mzee Kada wa Chadema akimpongeza mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe baada ya kupewa barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-ha9uY3b3FRo/VdsTx91s_8I/AAAAAAACADo/OqlD12You68/s640/blogger-image-2045842457.jpg)
![blogger-image--1715103721](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/blogger-image-1715103721.jpg)
Filikunjombe akionyesha barua ya kupita bila kupingwa.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-TUU_ukM5QV8/VdsT2STiLSI/AAAAAAACADw/chGpXPraTPM/s640/blogger-image--1568280623.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI NYALANDU ARUHUSU WANANCHI WANOENDA KWENYE MATIBABU KITUO CHA AFRICA AMINI KUPITA BILA KULIPA HIFADHINI
Waziri Nyalandu akitoa maamuzi ya serikali kuhusiana na hadha hiyo ambapo ameruhusu wananchi wanaoelekea katika kituo hicho kwa ajili ya kupata matibabu wapite bila ya kutozwa chochote.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BW9opX4BqT0/VcC0-sQwxII/AAAAAAAHt3w/yzrGcN088s0/s72-c/MMGL0331.jpg)
MKUTANO MKUU WA CHADEMA WAMPITISHA BILA KUPINGWA MH. LOWASSA KUWA MGOMBEA URAIS WA TANZANIA NA DKT. JUMA HAJI DUNI MGOMBEA MWENZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BW9opX4BqT0/VcC0-sQwxII/AAAAAAAHt3w/yzrGcN088s0/s640/MMGL0331.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aS4lc3hgu8o/VcC0-PsoIDI/AAAAAAAHt3o/71rMRImzqnU/s640/MMGL0055.jpg)
10 years ago
Habarileo09 Jul
Kingunge asisitiza haki ya kukata rufaa CCM
MUASISI wa Chama Cha Mapinduzi, Kingunge Ngombale-Mwiru amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoa nafasi ya rufaa kwa watu watakaoona kutotendewa haki katika kuwania urais kupitia chama hicho.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10