SNOW KUBWA INAKUJA PWANI YA MASHARIKI YA MAREKANI, ZAIDI YA NDEGE 2,000 ZASITISHA SAFARI ZAKE
Theluji ya futi 3 inayitarajiwa kuanguka leo pwani ya mashariki na kuingia katika historia ya tufani za theluji zilizowahi anguka hapo nyuma. Mamlaka ya hali ya hewa walitoa onyo kwa wananchi wanaoishi maeneo ya New Jersey kuelekea Jimbo la Indiana watarajie tufani kubwa ya theluji.
Miji itakayoathirika ni New York City, Boston, Providence, Hartford na Portland kikubwa kilichoelezewa hapa ni upepo mkali utakaoambatana na tufani hii ya theluji watu zaidi ya milioni 28 wataathirika na tufani...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Ndege zasitisha safari kuingia Israili
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam
Shirika la ndege la Etihad Airways (http://www.etihad.com) ni shirika la ndege la kitaifa la Umoja wa Falme za Kiarabu, ambalo linatarajia kuongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku Mjini Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi Tanzania.
Safari hizi za ndege kati ya Abu Dhabi na Dar es Salaam, zitaanza tarehe 1 mwezi Desemba 2015, zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.
Dar es Salaam itakuwa...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uC4z4pZTWwI/VMbFo02gjZI/AAAAAAADWd0/vBf08z2KUrs/s72-c/2518910C00000578-2926322-image-a-143_1422306856341.png)
HAKUNA SHULE, KAZI WALA NDEGE KURUKA NEW YORK ZAIDI YA NDEGE 6,000 CANCELS HADI JUMATANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-uC4z4pZTWwI/VMbFo02gjZI/AAAAAAADWd0/vBf08z2KUrs/s1600/2518910C00000578-2926322-image-a-143_1422306856341.png)
inayoendelea kushuka kama imeagizwa vile yasababisha shule kufungwa hadi jumatano kazi na usafiri wa chini na anga stop kwa siku mbili.
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNc69jlM8wk/VMbF8ziOywI/AAAAAAADWd8/kvLyN-IXUjY/s1600/2518459500000578-2926322-image-a-104_1422302014268.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDJH5i5rf3M/VMbGGPOVszI/AAAAAAADWeE/BwYpmR8MN00/s1600/251843A300000578-2926322-image-a-98_1422301949369.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFf0rQEGZeM/VMbGTLudDiI/AAAAAAADWeM/KiLoC6p-yaQ/s1600/25188AEA00000578-2926322-image-a-136_1422305873624.png)
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Tanzania kujenga bandari kubwa zaidi Afrika Mashariki
9 years ago
Bongo507 Oct
Hanscana adai studio ya video anayojenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki
10 years ago
Michuzi27 Jan
Dhoruba kubwa ya theluji na upepo mkali kupelekea kusimama kwa huduma za umma kaskazini mashariki ya Marekani
![A plow truck clears snow off South Church Street, in Hazleton, Pennsylvania on Monday. The area received another three-inches of snow overnight](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/26/2515B31A00000578-2926322-image-a-34_1422289883755.jpg)
By Abou Shatry Washington DC
Zaidi ya watu 60 million wataathirika kutokana na kimbunga kikubwa cha upepo unaoambatana na unyeshaji wa theleji katika eneo la kaskazini mashariki ya Marekani.
Kwa mujibu wa kitengo cha hali ya hewa nchini Marekani, imetaja maeneo ambayo yataathiriwa na dhoruba hiyo, ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4vSqhPTrovk/Vnf25LsgaRI/AAAAAAAINqo/F2xEGHdbYQI/s72-c/Etihad%2BAirways%2527%2BBoeing%2B787%2Bset%2Bto%2Bfly%2Bto%2Bfive%2Bfurther%2Bdestinations%2Bin%2B2016%2B%25281%2529.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LATANGAZA KUSAMBAZWA KWA BOEING 787S KWA SAFARI ZAKE MWAKA 2016
![](http://4.bp.blogspot.com/-4vSqhPTrovk/Vnf25LsgaRI/AAAAAAAINqo/F2xEGHdbYQI/s640/Etihad%2BAirways%2527%2BBoeing%2B787%2Bset%2Bto%2Bfly%2Bto%2Bfive%2Bfurther%2Bdestinations%2Bin%2B2016%2B%25281%2529.jpg)
Matarajio ya kuwasili kwa ndege hizo mpya aina ya Boeing 787s ni ndani ya miezi saba ijayo, kuanzia Mei 2016, ndege hizo “Dreamliners” zenye uwezo wa kubeba abiria 299 zitaanza kutoa huduma kwenda Dusseldorf, Perth, Shanghai, Istanbul na Johannesburg kutoka Abu...
10 years ago
Mtanzania19 Jan
TMA: Mvua kubwa inakuja
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Utabiri wa Hali ya Hewa Tanznaia (TMA) ,imetoa tahadhari ya kuwapo kwa vipindi vya mvua kubwa inayozidi milimita 50 ndani ya saa 24 kati ya Januari 18 na 20 mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mjini Dar es Salaam jana na mamlaka hiyo, ilisema maeneo yatakayoathirika na mvua hiyo ni pamoja na mikoa ya Ruvuma, Mtwara, Lindi, Morogoro, Pwani, Dar es Salaam na Kisiwa cha Unguja.
Taarifa hiyo ilisema hali hiyo inatokana na kuimarika kwa...