MAMA TABITHA SIWALE: MWANAMKE SHUPAVU NA WA KWANZA KUWA WAZIRI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Whmxln6S1Zo/XomRB-yYDYI/AAAAAAALmDA/MnQMXNbzxb0nvdVCQ2nksZMRqszMXMy6ACLcBGAsYHQ/s72-c/32944855-519c-4acd-a77d-b9b2637b6bb0.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. Usuli:
Katika miaka ya karibuni, kwenye "social media" kumetamalaki picha na habari za utani dhidi ya Wanyakyusa@ "WANYAKI" zikionesha kwamba Wanyakyusa ni watu ambao hawajaenda shule na ni washamba kupindukia!.
Hata hivyo, ukweli ni kwamba mikoa ya Mbeya, Kilimanjaro na Bukoba ndiyo iliyokuwa ikitoa wasomi wengi na wa hali ya juu toka enzi za ukoloni na baada ya uhuru.
Haishangazi basi, tarehe 9.11.1975, mkoa wa Mbeya ulitoa mwanamke wa kwanza na kuweka historia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili16 Mar
Coronavirus: Tanzania yathibitisha kuwa na kisa cha kwanza
10 years ago
Vijimambo11 Oct
NICK WA PILI KUWA MSANII WA KWANZA WA BONGO FLAVOUR KUCHUKUA PhD TANZANIA.
![](http://api.ning.com/files/2VGrzzXedu1B0n9ugLrrUBRdcXoCClBl5uKXUhVqUiREmhVxPYHKn19GZPb8d-POCZH7ycYMgc01ZUKoFjK9Ewz*bIwZfvpo/a630dacaaaL.jpg)
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Kasisi wa kwanza mwanamke kuapishwa UK
9 years ago
BBCSwahili13 Dec
Mwanamke wa kwanza achaguliwa Saudi Arabia
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Mwanamke wa kwanza mweusi kucheza Ballerina
5 years ago
CCM BlogMWANAMKE WA KWANZA AJITOKEZA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
Kada wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Mwatum Mussa Sultan akiwa Mwanamke wa Kwanza kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar akiwa ni Mwanachama wa 11 kujitokeza kuchukua Fomu leo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. Akionesha mkoba ukiwa na Fomu za Kugombea Urais wa Zanzibar baada ya kukabidhiwa akiwaonesha Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo leo.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p10nFPJIjM0/Vk2d0QSB-MI/AAAAAAAIGx0/njuL_76ngEs/s72-c/DSC_0373-FILEminimizer.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: MH. KASSIM MAJALIWA APITISHWA KUWA WAZIRI MKUU WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p10nFPJIjM0/Vk2d0QSB-MI/AAAAAAAIGx0/njuL_76ngEs/s640/DSC_0373-FILEminimizer.jpg)
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, muda mfupi uliopita limepitisha jina la Mbunge wa Jimbo la Rwangwa, Mh. Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa Serikali ya awamu ya tano baada ya jina lake kupelekwa Bungeni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
Mh. Majaliwa amepitishwa kwa kura 258 sawa na asilimia 73.5% ya kura zote za ndio.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jJvG6Dn7i74iHLuKU3sYFLE*2NHMKZtpmhHHZIRttfZkrybWXtyu1fiCs*9fqlw*nSAM9j10k8X4uVdN1N0bNnL/webwombishopgetty.jpg)
KASISI WA KWANZA MWANAMKE KUAPISHWA NCHINI UINGEREZA LEO
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Monalisa Sibanda ni mwanandondi wa kulipwa wa kwanza mwanamke nchini Zimbabwe