Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasichana shupavu washinda wanaume

Wasichana wawili wa India walipambana na wanaume waliowasumbua na kuwashinda

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Je,wanaume huvutiwa na wasichana wadogo?

Idadi kubwa ya wanaume huwapenda wasichana walio na umri wa miaka ya 20

 

10 years ago

BBCSwahili

Twitter:Wanaume na wasichana wagombana

Maelfu ya wanaume nchini Saudia wanajaribu kuwatoa wanawake katika mtandao wa twitter ,lakini juhudi hizo zinaambulia patupu.

 

10 years ago

Habarileo

Mwamunyange: Rais Kikwete ni shupavu

Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange (kushoto) akikagua moja ya mabweni matano mapya ya kikosi cha JKT Mafinga jana. (Picha na Frank Leonard).MKUU wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange amemsifu Rais Jakaya Kikwete akisema ni shupavu, huku akiwataka vijana waogope kupotoshwa kimawazo na kifikra ili wawe wazalendo.

 

10 years ago

Habarileo

Askari shupavu wa kike atunukiwa nishani

Rais Jakaya Kikwete akimvalisha Nishani ya Ushupavu, Koplo Laura Philip Mushi wakati wa hafla ya utoaji wa Nishani ya Kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano kwa madaraja mbalimbali katika hafla ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar iliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu, Dar es Salaam juzi. (Picha na Ikulu).RAIS Jakaya Kikwete ametunuku watu 42 nishani akiwamo askari wa kike, Koplo Laura Mushi (32) kwa ushupavu alioonesha baada ya kupambana na kujiokoa dhidi ya majambazi waliomvamia hivi karibuni katika kituo cha ulinzi Mikumi, Morogoro.

 

11 years ago

Mwananchi

Wako wapi wanawake shupavu wa TANU?

>Hivi karibuni kulikuwa na maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika yaliyohitimishwa Desemba 9 katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

5 years ago

Michuzi

CLAUDIO VIERA, MLEMAVU SHUPAVU ALIYETIMIZA NDOTO ZAKE


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
WENGI hufikiri kuwa kuzaliwa kawaida ni kawaida, ila kwa Claudio Viera de Oliveira ni tofauti kabisa, yeye amezaliwa kichwa kikiwa kimeangalia juu pamoja na ulemavu wa mikono na miguu,na alipozaliwa madaktari walimshauri mama yake Maria Jose Vieira amuache Claudio afe kwani angemsumbua mno katika malezi lakini mama yake alipuuzia ushauri huo.
Licha ya ulemavu huo Claudio hakukata tamaa, akiwa na miaka 40 aliweza kuandika kitabu kilichohusu maisha yake...

 

5 years ago

Michuzi

MAMA TABITHA SIWALE: MWANAMKE SHUPAVU NA WA KWANZA KUWA WAZIRI TANZANIA


By MZEE WA ATIKALI  ✍️✍️✍️


1. Usuli:

Katika miaka ya karibuni, kwenye "social media" kumetamalaki picha na habari za utani dhidi ya Wanyakyusa@ "WANYAKI" zikionesha kwamba Wanyakyusa ni watu ambao hawajaenda shule na ni washamba kupindukia!.

Hata hivyo, ukweli ni kwamba mikoa ya Mbeya, Kilimanjaro na Bukoba ndiyo iliyokuwa ikitoa wasomi wengi na wa hali ya juu toka enzi za ukoloni na baada ya uhuru.

Haishangazi basi, tarehe 9.11.1975, mkoa wa Mbeya ulitoa mwanamke wa kwanza na kuweka historia...

 

10 years ago

Vijimambo

Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi


Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...

 

10 years ago

Vijimambo

Chelsea, Man U, City washinda

ngumiBy Israel Saria on February 12, 2015
Mzunguko wa 25 wa Ligi Kuu ya England (EPL) umemalizika kwa ushindi kwa timu kubwa, huku kocha wa Aston Villa, Paul Lambert akifukuzwa kazi.

Chelsea walipata ushindi kwa tabu dhidi ya Everton kwa bao la dakika za mwisho la Willian, hivyo kujiweka pointi saba mbele ya mabingwa watetezi, Manchester City.
Gareth Barry alipewa kadi nyekundu iliyozua mzozo na kocha wa Everton, Roberto Martinez alisema kwamba Chelsea wanajaribu kuwashawishi waamuzi.
Kadhalika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani